Eliya Dawa
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 270
- 164
Nakudokezea kidog tu ktk kitabu kitakatifu" nabii Eliya aliwataka watu kubadili nia zao mbaya na kumrudia muumba wa mbingu na nchi lkn watu hawakuamini mpaka pale alipomwomba Mungu akashusha moto ukateketeza hadi mchanga wa eneo husika"
Mimi namwomba Raisi aendelee mbele zaidi ya hapo maana namuombea usiku na mchana Mungu ampe njozi za tanzania mpya yenye maadili na utii
Kimsingi aliomchagua kuwa pale ni Mungu kama wabisha jaribu kumtafuta umue ndo utajua Mungu kamweka mtumish wake na kwa taarifa iliyopo watu weupe nao wameanza kufanya kama anavyofanya Mh.
wakti fulan mwl aliwah kwenda kuwatembelea watoto wa wazungu na kujaribu kwenda wanakosoma alituambia kila mtoto darasani ana pc,sim,games nk hawasikilizi lkn ni juz tu ilotangazwa bbc kuwa watoto watachapwa na hawatotakiwa kwenda na sim shule na kila mzazi kurekebishe ta tabia ya mtt wake
Szonje ni Raisi ata umtukane atabaki kuwa raisi.
fanya linalokuhusu usije kuwa kama lema ambae saiv anae omba msamaha kwa rais wakti akiambiwa alijifanya mwamba.
Mimi namwomba Raisi aendelee mbele zaidi ya hapo maana namuombea usiku na mchana Mungu ampe njozi za tanzania mpya yenye maadili na utii
Kimsingi aliomchagua kuwa pale ni Mungu kama wabisha jaribu kumtafuta umue ndo utajua Mungu kamweka mtumish wake na kwa taarifa iliyopo watu weupe nao wameanza kufanya kama anavyofanya Mh.
wakti fulan mwl aliwah kwenda kuwatembelea watoto wa wazungu na kujaribu kwenda wanakosoma alituambia kila mtoto darasani ana pc,sim,games nk hawasikilizi lkn ni juz tu ilotangazwa bbc kuwa watoto watachapwa na hawatotakiwa kwenda na sim shule na kila mzazi kurekebishe ta tabia ya mtt wake
Szonje ni Raisi ata umtukane atabaki kuwa raisi.
fanya linalokuhusu usije kuwa kama lema ambae saiv anae omba msamaha kwa rais wakti akiambiwa alijifanya mwamba.