Nataka Rais Magufuli ashindwe

Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Kwani mtu ukitoa maoni yako pasipo kutoa matusi au ukianzisha uzi wenye uhalisia na usio wa kichochezi unakuwa na hofu ya nini?

Tatizo lililopo kuna baadhi yetu tumekuwa maarufu kutunga stori za uongo na kuzijengea hoja then tunataka jamii iamini kama ni kweli kumbe ni upotoshaji

Mtu kama umeanzisha mada yako na ushahidi unao kwa nini uogope? Endapo utahitajika polisi si unapeleka ushahidi?

Fikiria mtu anayeanzisha uzi hapa eti Dangote anahamishia kiwanda Kenya na hizo habari zinasambaa dunia nzima kumbe ni uonge pasipo kufikiria negative impacts kwa wawekezeji walioko huko nje. Mtu kama huyu leo hawezi fanywa kitu sababu tu anatumia ID feki sishangai kesho akaibuka na jambo jingine

Watu wa namna hii lazima washughulikiwe hakuna kulea ujinga. Watanzania tumekuwa maarufu sana wa kupika majungu

Ninakubaliana na wewe kabisa uhuru wa kutoa maoni lazima uheshimiwe na watawala kwani ni takwa la kikatiba lakini uhuru huo lazima uzingatie utu na nidhamu.

Leo mtu akimchukia mtu flani sababu za kiitikadi za vyama au jambo lolote, kesho anamtungia tuhuma na kusambaza kwenye mitandao. Vitu vya namna hiyo siyo vya kulea
Tatizo ni double standards.Ingekua sheria zinatumiwa sawa kwa kila upande haina tatizo.Ni Mara ngapi viongozi wa upinzani wanadhalilishwa na kutungiwa stories za uongo halafu hakuna ufuatiliaji kama akifanyiwa hivyo wa upande wa serikali na chama tawala?
Haya ningeyaunga mkono kama sheria zingekua zinatumika kwa wote na haki sawa
 
Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon

Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema

Mmmmh
 
hakuna marefu yasiyo na ncha. wenzetu wakenya wanatucheka jinsi ambavyo huku tunanyanyaswa ukijifanya unamsema mtukufu au serikali yake. tumempa urais as sisi ndio maboss wake haipaswi kumtreat boss wako hivyo.

ingekua ivyo jela za marekani zote zingejaa watu kwa jinsi wanavyojua kuropoka ropoka
 
Miezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.

Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.

Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.

Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hizo azma yake iwe muhali.

Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.

Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.

Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.

Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.

Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.

Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.

Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?

Ameshafanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.Na tunategemea anytime atavunja vyama vyote vya siasa kitabaki CCM tu
 
hakuna marefu yasiyo na ncha. wenzetu wakenya wanatucheka jinsi ambavyo huku tunanyanyaswa ukijifanya unamsema mtukufu au serikali yake. tumempa urais as sisi ndio maboss wake haipaswi kumtreat boss wako hivyo.

ingekua ivyo jela za marekani zote zingejaa watu kwa jinsi wanavyojua kuropoka ropoka

Umasikini na kukosa Elimu kwetu.Kama mtanzania anaona sahihi kwa kijana wa upinzani uuawa na kufurahi hilo unategemea Kenya wasitucheke?
 
15539052_1638498666444446_1256930850713370624_n.jpg
 
Acha unazi na pia acha kufanya vitu kwa mihemko "Siku zote Mungu hapatani na uchafu ,acha kumchafua Mungu kwenye vitu vya aibu " kama unazungumzia yule Mungu wa mzizima uko sawa.

Unaweza kuthibithisha vitu vinne vinavyoonesha yeye ni chaguo la Mungu?
Angekua siyo chaguo la Mungu asingekua Rais hakuna haja ya sababu 4 hapo.Alafu unazi ndiyo kitu gani?
 
Miezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.

Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.

Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.

Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hizo azma yake iwe muhali.

Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.

Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.

Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.

Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.

Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.

Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.

Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?
Unajua huyu hakumbuki historia ya marais waliokumbana na nguvu ya raia na hatimaye kukimbia au kujiuzulu. Tatizo la baadhi ya marais wa afrika pindi wanapoingia madarakani hajifanya wao ndio mabosi badala ya raia waliomchagua kuwa mabosi utasikia wanasema nimechaguliwa kuwatumikia watu wote wakati si kweli. Huwezi kuwatumikia raia ambao kila kukicha unawapa vitisho .
 
tena ashindwe na alegee nyang'a nyang'a kwa kuondoa uhuru wa kuongea. hivi mbona jk alikuwa anachorwa hadi picha anawekwa manyonyo lakn mambo ya kukamatana hayakuwepo. khaaaa!!
 
Miezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.

Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.

Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.

Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hizo azma yake iwe muhali.

Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.

Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.

Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.

Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.

Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.

Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.

Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?

Mkuu hauogopi kutiwa kwenye sandarusi na na jiwe kubwa kiunoni,,,then unatoswa kunako bahari,,,....ni hatari kwakweli
 
Huyu rais nilidhani angekuwa wa maana kumbe bora mpenda safari Kikwete. Huu udikteta angeupeleka kwenye mambo ya msingi angefanya la maana sana. Seems hana shughuli anazi create kama Mjinga mjinga yule taahira Paul Makonda

Mmh
 
Angekua siyo chaguo la Mungu asingekua Rais hakuna haja ya sababu 4 hapo.Alafu unazi ndiyo kitu gani?
Pole sana siji hapa kufundisha mtu mzima maana ya unazi.

Naomba nihitimishe kwa kukuambia kuwa sio kila mtu ashikae madaraka na wadhifa ni chaguo la Mungu,usije ukakariri hivyo ,kuna viongozi wameingia madarakani kwa mapinduzi yaliyouwa raia wengi na kuacha familia maskini na zenye upweke.

Uongozi una mambo mengi ya giza usiyoyajua utaendelea kuimba chaguo la Mungu kama hujaona katika wa roho na imani yako ikiwa ndogo itapelekwa pelekwa kama chombo baharini.

Nimekuomba uainishe hata vitu vinne vinavyoonesha kama kuna mkono wa Mungu umeshindwa "kila la kheri katika imani yako ila mtafute sana na mjue Mungu na kazi yake na watu wake jinsi walivyo kisha angalia na kauli yako".
 
Umasikini na kukosa Elimu kwetu.Kama mtanzania anaona sahihi kwa kijana wa upinzani uuawa na kufurahi hilo unategemea Kenya wasitucheke?

issue sio elimu. ni mfumo wa uendeshaji wa siasa wa nchi yetu hii ndo unafanya watu wawe mabubu kwenye mambo yenye tija ya taifa. sababu ukiongeaa ongea mara umeng'olewa meno bila ganzi. mara huonekani so wanavyofanya mambo huwez mtu kukubali kuongea ongea ilihali unajua kuna impact gani mbeleni. naona mtukufu anataka kuchukua tabia za mu7 au kigame
 
Pole sana siji hapa kufundisha mtu mzima maana ya unazi.

Naomba nihitimishe kwa kukuambia kuwa sio kila mtu ashikae madaraka na wadhifa ni chaguo la Mungu,usije ukakariri hivyo ,kuna viongozi wameingia madarakani kwa mapinduzi yaliyouwa raia wengi na kuacha familia maskini na zenye upweke.

Uongozi una mambo mengi ya giza usiyoyajua utaendelea kuimba chaguo la Mungu kama hujaona katika wa roho na imani yako ikiwa ndogo itapelekwa pelekwa kama chombo baharini.

Nimekuomba uainishe hata vitu vinne vinavyoonesha kama kuna mkono wa Mungu umeshindwa "kila la kheri katika imani yako ila mtafute sana na mjue Mungu na kazi yake na watu wake jinsi walivyo kisha angalia na kauli yako".
Mpaka pale madaraka yake yatakapokoma ndiyo ataacha kua chaguo la Mungu na si vinginevyo.
 
Hatuwez kuwa na taifa la kambale lilikosa nidhaamu wakat unadai au unatimiza haki yako ya kikatiba ni lazma sheria na taratibu zizngatiwe uhuru usio na mipaka ni vurugu huwez kukurupuka baada ya kula maharage yako huko uje utukane watu kwa kigezo eti unakosoa pumbafu sana...
Watu kama nyie ndio wa kufundisha adabu naona baadh ya wazaz wanashndwa kutimiza majukum ya kulea watoto na kuwaachia mabeki tatu matokeo yake ndio kutuletea wapuuz kama mtoa post na genge lake...
..MAGU TUNYOOSHE TU BABA MWENDO HUOHUO AU ONGEZA KIDOGO..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom