Hahahaha jasiri haachi asiliMimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon
Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema
Km wewe Mungu upangalo linakuwa bac atashindwa
Mazoea ni mabaya na inaonekana wewe ni mfu kifikra. Jua kwamba mtu aliyezoea kufanya ubaya kwa watu wake inafika mahala hukosa imani hata kwa mpambe wake. Wewe tuone sisi kama wapuuzi lakini kuna siku utakumbuka pindi utakapogeuziwa kibaoHatuwez kuwa na taifa la kambale lilikosa nidhaamu wakat unadai au unatimiza haki yako ya kikatiba ni lazma sheria na taratibu zizngatiwe uhuru usio na mipaka ni vurugu huwez kukurupuka baada ya kula maharage yako huko uje utukane watu kwa kigezo eti unakosoa pumbafu sana...
Watu kama nyie ndio wa kufundisha adabu naona baadh ya wazaz wanashndwa kutimiza majukum ya kulea watoto na kuwaachia mabeki tatu matokeo yake ndio kutuletea wapuuz kama mtoa post na genge lake...
..MAGU TUNYOOSHE TU BABA MWENDO HUOHUO AU ONGEZA KIDOGO..
Hili ni moja wapo ya Jaribu katika mwaka huu, Kumuombea jamaa yetu inahitaji uwe na imani kali sana. Ni sawa na kuwaombea watz. Kuna watu walikua wanaliombea Taifa ila kwa sasa wameacha wanajiuliza Mungu ana mpango gani na hawa watu wake.Hivi kuna mburul@ bado wanaendelea kumuombea..???...The devil himself
Kumbe unakiri kweli ameamua kutukandamiza? Kwanza nahisi kama hujielewi unazungumza nini wewe unasema tumpinge kwa hoja wakati yeye hataki kupingwa hivi nikueleweje? Umekunywa viroba?Ndio maana Nagufuli anaamua kuwabana watu wajinga kama ninyi sasa ishu ya viwanda hapa inatoka wapi? Mpinge Magufuli kwa hoja siyo unakuja hapa kwa vimaneno vyako vya jejeli alaf eti unasema ndio unakisoa
kakaa vipii,maono,hayo,watu wanayamoyoni pakutapikia hamna
Haswaa ndiyo maana yakeSimpendi huyo jamaa basi tu, dua zangu za kufeli mpaka sasa naamini mungu kazipokea, kishafeli katika Kila mipango yake, tunamuhesabia miaka 3 tu ijayo tukammalize kwenye sanduku,
Kwahiyo una amini kua kwakua wapi hao basi hatuitaji wawekezaji wengine
You are insured by mafia,Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon
Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema
Huko hawapigagi punyeto?Bora kushinda jukwaa la Malavidavi tu No stress
Wewe Gamba unaongea ujinga gani!! Ulishawahi kuona wapi au lini mtu ameikosoa serikali ya US au kumtukana Obama akafuatiliwa na CIA, FBI au Polisi wa US!? Wewe kwa hizo akili zako za zilizo fungwa na CCm unadhani viongozi wa US wana muda wa kufuatilia illusion and rumors kwenye mitandao!?Watu wenye hekima huwa wanawaonya kina Maxence kuhusu kucheka na watu wanaongea pumba na matusi kupitia nyuma ya keyboard lakini hawakusikia, ndiyo malipo ya kulea ujinga wanaanza kuyapata. Watu wanashangaa nini hata Marekani huko mnakotaka kukimbilia ukimbizi mitandao mikubwa kama yahoo inapelekeshwa na serikali itakua hapa? Watu tujifunze kuwa uhuru una mipaka yake, maana kama una uhuru wa kufanya lolote basi ua mtu uone kama huo uhuru wako utafuatwa, sentensi ya Uhuru inasema "una uhuru wa kufanya lolote ili mradi usivunje sheria" kwanini waliongeza hilo neno kuvunja sheria??? lakini MSIMISEKE SENIOR hapa kuna wengi wanajifanya wanajua huko hawajaverify hizo personel details zao. Mbaya zaidi wanaishi bongo na wanatumia mtandao wa bongo. Kwanini wasiende kutapika hizo nyonga zao katika mitandao ya kimataifa maana huko ndiko wataianika serikali labda na wao kiingereza kinawashinda.
Na ww uachage umbea mtaje huyo aliechangia bila staha tumjue?Inawezekana kabisa wengi wetu humu tumeathirika na Viroba, kwa uchangiaji huuu sion staha na U great thinker zaidi ni Uhuni na Usela mavi au Kutafuta umaarufu wa vitu vya ovyo ovyo.
Ndugu kusingiziwa ni jambo la kawaida kwa kila mtu na ktk maswala ya siasa tegemea lolote kwani ukipotezea shida iko wapi?hakuna anaependa kusingiziwa lakin ina maana wewe hua unagombana na kila mtu anaekusema vibaya wengine si unaishia kucheka tu maana hawajui watendalo.So lazima tuombe mioyo ya uvumilivu maana utawafunga wangapi kisa kusemwa noooooooo and not at all.embu jaribu kufikiria hili,wewe unasingiziwa au unazushiwa jambo ambalo halipo,mfano unaambiwa jambo baya ambayo litakuchukia na hata kukukoseshea stasha mbele ya jamii,utachukuliaje? na wakati huo jamii tayar nimeshaanza kuamini juu ya hilo jambo na kuanza kuwa na mihemko nalo,si utachukia siyo? au utafurahi na kuona ni jambo la kawaida? tafakari kwanza usione kawaida wakifanyiwa wenzako ,wewe je?
Mkuu huyo unaweza kuta ni mama wa watoto watano,mme wa mtu mmoja,vimichepuko serengeti sita,kadi ya lumumba na mkopo sugu usiolipika sacos yao huko lumumba ndio inabidi ajiwehushe kuposti ushuzi humu.Wewe Gamba unaongea ujinga gani!! Ulishawahi kuona wapi au lini mtu ameikosoa serikali ya US au kumtukana Obama akafuatiliwa na CIA, FBI au Polisi wa US!? Wewe kwa hizo akili zako za zilizo fungwa na CCm unadhani viongozi wa US wana muda wa kufuatilia illusion and rumors kwenye mitandao!?