Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Haha kasiie unajiongeza hadi raha ...ofcoarse that's my plan
Congratulations, have you propose to her already or this is what you plan to do when you ask her that question......... will you....... me?

Halafu akujibu kwa sauti nyororo inayosindikizwa na tabasamu kubwaaa yeeeeesssss....

Ila uwe makini, huyo mwanaume anayetembea ndani ya huo mzunguko wa kopa wakati wewe unatangaza nia kwa mbeibe wako, yawezekana akavuruga mahusiano yako maana sio tuu kavuruga picha pia kaondoa concentration kwa walioweka uzio wa kopa.

All the best ..!
 
Its Kasie again.
One the lady I adimire.
I love you Kassie

Haahaaaa The Saint one......
Umenipa bonge ya tabasamu... si wajua wajua vile kupendwa kunavoleta faraja.....
It's like nimerudi nyumbani halafu unakuta katoto ka jirani kanacheza halafu unakafata na kukapa tabasamu kubwa maneno mazuri ya upendo unakanyanyua na kukakumbatia.... lazima acheke na kuona yuko salama.... hapa nimeelezea jinsi ya kusoma body language...

Thanks the Saint One, am blessed with your love. May Kasie's love get back to you and be blessed more for glittering peace harmony and love here in JF.
 
Hahahahahaaa
Waalaaah, Le Mahabat wa Kasie hata sio siri mbona anajulikana sana tuu.... wataka nirudie kumtaja hapaa?

Maadam haina madhara, Le Mahabat wa Kasie ni...... Daby ♡♡♡

Kama ni wako pole maana utakuwa ushaachwa au ndo kaniacha mie kaja kwako...... ngoja aje aweke msisitizo hapa.
Ila naona unamuita shemeji, natumai haulagi.... au hainaga ushemeji... hehehehehe

Gooday miss.
huhuhuhhhhh , that is my lovely shem and you are probably my wifi.

Welcome home kule kwetu tunasema boma.

Daby mbona imekuwa siri sanaaaaaaa

hongera mkuu maana kuna wengine najua umewaliza
 
Haha kasiie unajiongeza hadi raha ...ofcoarse that's my plan

Hahahahahaaa asantee, hongera sana mkakati bin wazo liko vizuri. Weka nguvu aka action tukio litimie muda utapofika.
 
huhuhuhhhhh , that is my lovely shem and you are probably my wifi.

Welcome home kule kwetu tunasema boma.

Daby mbona imekuwa siri sanaaaaaaa

hongera mkuu maana kuna wengine najua umewaliza

Hahahahahaaa hapo hakuna probability ni fulu wulu wifi aka Wi-Fi.

Kina nani wamelizwa tena? Walizwe kwa lipi?

Basi kumbe ulikuwa likizo, haikuwa siri hata kidogo alishawaambia hata dada zake wengine.

Asantee kwa hongera... hongera nawe kupata Le Wi-Fi... hehehehe
 
Subhai.....!!! Kulikoni?? Heheheheee kila nikisoma jina lako sumbai huwa akili inaniletea neno la kimasai subhai... sijui kwanini.... nisamehe tuu kama nakukwaza kukuita subhaii.

Naona umerudia post ya pili kuweka msisitizo hahahahahaa.....

Licha ya kuhisi una uzoefu nao ila ujue kusema maneno haya tena kwa msisitizo (kuwa wazee ni watamu) unawafanya waschana wapate msongo wa mawazo kuwa he wao sio watamu au wao ni watamu zaidi? Au na wao waanze kujifanya wazee ili wawe watamu...

Unajua kuna waschana ushawapa stress hapa ya kuutamani uzee ili wawe watamu heheheheheheee shauri yako watakununia na kukuchukia.....

Haya wacha kizee mie niendelee kufaidi na Le Mahabat wa Kasinde aka Kasie.
Umeona Yule mgombea wa uraisi kule France mambo yake?

Wazeee wakina Kasie Ni tulizo la moyo..... Utatulia tuu.....vijana wakike njaa nyingi hawana uzoefu...
Hahahahahaaa
Waalaaah, Le Mahabat wa Kasie hata sio siri mbona anajulikana sana tuu.... wataka nirudie kumtaja hapaa?

Maadam haina madhara, Le Mahabat wa Kasie ni...... Daby ♡♡♡

Kama ni wako pole maana utakuwa ushaachwa au ndo kaniacha mie kaja kwako...... ngoja aje aweke msisitizo hapa.
Ila naona unamuita shemeji, natumai haulagi.... au hainaga ushemeji... hehehehehe

Gooday miss.
Umeona Sasa........kijana wangu katulia. Kama maji ya mtungi.....

Mahaba mubasharaa.....
 
Hahahahahaaa hapo hakuna probability ni fulu wulu wifi aka Wi-Fi.

Kina nani wamelizwa tena? Walizwe kwa lipi?

Basi kumbe ulikuwa likizo, haikuwa siri hata kidogo alishawaambia hata dada zake wengine.

Asantee kwa hongera... hongera nawe kupata Le Wi-Fi... hehehehe
hahahahahaha, le Wi - Fi la ukweli eeeeh, waiting to have a privacy meeting to brief you about our BOMA
 
Umeona Yule mgombea wa uraisi kule France mambo yake?

Wazeee wakina Kasie Ni tulizo la moyo..... Utatulia tuu.....vijana wakike njaa nyingi hawana uzoefu...

Umeona Sasa........kijana wangu katulia. Kama maji ya mtungi.....

Mahaba mubasharaa.....
Hapo kwa wazee mbona kama sielewi vizuri dogo? please expandoooooooh

una maanisha Kasie ni muzeeeeee
 
Huyo Le mahabat bado ni siri eeeh, usije kuta wangu kaja kwako na mbwembwe zote hizo halafu mie nabaki kuchekelea uzi.

nauliza tu Mkuu

Cc. Daby shem wangu nisaidie mawazo
Shem haha...

Jiandae kuimba[emoji445][emoji445] wifi huyo huyo wifi huyo wifi huyo huyo wifi[emoji445][emoji445]x2 hahaha
 
Hahahahahaaa
Waalaaah, Le Mahabat wa Kasie hata sio siri mbona anajulikana sana tuu.... wataka nirudie kumtaja hapaa?

Maadam haina madhara, Le Mahabat wa Kasie ni...... Daby ♡♡♡

Kama ni wako pole maana utakuwa ushaachwa au ndo kaniacha mie kaja kwako...... ngoja aje aweke msisitizo hapa.
Ila naona unamuita shemeji, natumai haulagi.... au hainaga ushemeji... hehehehehe

Gooday miss.
Haha mamy nitasemaje sasa mimi.

Ok, I always remember that day I met you. my heart said go get you now you live in my world and I live in your world.

Dady love you much(nigerian voice).
 
Umeona Yule mgombea wa uraisi kule France mambo yake?

Wazeee wakina Kasie Ni tulizo la moyo..... Utatulia tuu.....vijana wakike njaa nyingi hawana uzoefu...

Umeona Sasa........kijana wangu katulia. Kama maji ya mtungi.....

Mahaba mubasharaa.....

Hahahahahaa yule mgombea urais wa France akili yake haiko sawa...
Acha uchokozi bana Kasie ni mzee ila si mtamu kama unavyodhani hehehehe.
 
hahahahahaha, le Wi - Fi la ukweli eeeeh, waiting to have a privacy meeting to brief you about our BOMA
No problem am available, at your time we can have a brief meeting....
Thanks wifii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom