Nataka nirudi shule nikiwa na 36 kwa kusikia Marekani Waafrika waliosoma wanapewa ajira kiupendeleo na mishahara ni mirefu, nijilipue?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Nina ajira tayari lakini sioni nikifika mbali, 1.6x million take home baada ya makato

Kwa nchi kama Marekani wamarekani weusi wengi hawajaelimika, fursa hizi zinawapita, wameharibika na utamaduni wa kutukuza uhalifu, shortcuts, victim mentality, n.k. wengi wanaishia kuona ujanja ni kujiunga na magenge (gang banging), kuona uhalifu ndio ujanja wa kupata pesa mfano kuwatukuza wauza madawa, kujikita na sanaa / michezo kwa ndoto za kuja kuwa kama kina jay z (ni wachache sana wanatoboa), wale wanaoenda vyuoni ni wachache sana na wengi huchukua kozi ambazo hazina soko mfano degree za jinsia, degree za maisha, n.k.

Kwa hali hii inakuwa ngumu sana kuwakuta wamarekani weusi kwenye kazi zenye mishahara minono za uhandisi, udakari, IT, sheria, n.k. kazi hizi wamejazana wazungu na watu wa bara la asia (kasoro waarabu) kundi hili likiongozwa na wahindi ambao wanaoongoza kwa vipato vikubwa marekani

Kuna kitu kinaitwa Diversity (uwepo wa mchanganyiko wa watu wa matabaka mbali mbali sehem moja), wamarekani wana sera za diverity sehemu za kazi, hivyo inakuwa rahisi kwa mwafrika kupata ajira.

Mishahara ni minono sana kwa kazi nilizotaja, wastani wa mishahara ni shilingi milioni 21 kwa mwezi, makato ni tofauti kila jimbo ila wastani ni milioni 7, unabakiwa na take home milioni 14

Huwezi kutumia cheti cha bongo kuombea kazi Marekani, huwa wanaangalia cheti cha nchi uliyotokea watakwambia usome upya katika vyuo vyao

Mbele ya maokoto watu wanafika huko wakiwa na 45 wanapiga kitabu, sembuse mimi mwenye 35 ambae naweza kuanza kusoma nikiwa na 36 ?

NIPO TAYARI KURUDI CHUONI MIAKA MITATU KWA LENGO LA MAOKOTO YA AJIRA NONO

kwa wazoefu naweza kuanzia wapi ?
 
Naombeni koneksheni ya kufika nchi hizi(MAREKANI,U.K,CANADA,AUSTRALIA,DENMARK)kwa lengo la kufanya kazi au kusoma au vyote kwa pamoja
 
Kwa nchi kama Marekani wamarekani weusi wengi hawajaelimika wameharibika nautamaduni wa kutukuza uhalifu, shortcuts, vicyim mentality, n.k. wengi wanaishia kuona ujanja ni kujiunga na magenge (gang banging), kuona uhalifu ndio ujanja wa kupata pesa mfano kuuza madawa na kujiuza, kujikita na sanaa / michezo kwa ndoto za kuja kuwa kama kina jay z na will smith (ni wachache sana wanatoboa), wale wanaoenda vyuoni ni wachache sana na wengi huchukua kozi ambazo hazina soko mfano degree za jinsia, degree za maisha, n.k.

Kwa hali hii inakuwa ngumu sana kuwakuta wamarekani weusi kwenye kazi zenye mishahara minono za uhandisi, udakari, IT, sheria, n.k. kazi hizi wamejazana wazungu na watu wa bara la asia (kasoro waarabu) kundi hili likiongozwa na wahindi ambao wanaoongoza kwa vipato vikubwa marekani

Kuna kitu kinaitwa Diversity (uwepo wa mchanganyiko wa watu wa matabaka mbali mbali sehem moja), wamarekani wana sera za diverity sehemu za kazi, hivyo inakuwa rahisi kwa mwafrika kupata ajira.

Mishahara ni minono sana wastani wa kazi hizo nilizotaja mishara ni dola milioni 21 kwa mwezi, makato kwa wastani ni milioni 7 unabakiwa na take home milioni 14

Hayo ni mambo niliyofanyia uchunguzi, kwa wazoefu naweza kuanzia wapi ?
Kwa umri wako tayari ni kikongwe huko USA, somesha watoto wako uwapeleke USA wakalipwe hizo 21000 $.
 
Nina ajira tayari lakini sioni nikifika mbali, 1.6x million take home baada ya makato

Kwa nchi kama Marekani wamarekani weusi wengi hawajaelimika, fursa hizi zinawapita, wameharibika na utamaduni wa kutukuza uhalifu, shortcuts, victim mentality, n.k. wengi wanaishia kuona ujanja ni kujiunga na magenge (gang banging), kuona uhalifu ndio ujanja wa kupata pesa mfano kuwatukuza wauza madawa, kujikita na sanaa / michezo kwa ndoto za kuja kuwa kama kina jay z (ni wachache sana wanatoboa), wale wanaoenda vyuoni ni wachache sana na wengi huchukua kozi ambazo hazina soko mfano degree za jinsia, degree za maisha, n.k.

Kwa hali hii inakuwa ngumu sana kuwakuta wamarekani weusi kwenye kazi zenye mishahara minono za uhandisi, udakari, IT, sheria, n.k. kazi hizi wamejazana wazungu na watu wa bara la asia (kasoro waarabu) kundi hili likiongozwa na wahindi ambao wanaoongoza kwa vipato vikubwa marekani

Kuna kitu kinaitwa Diversity (uwepo wa mchanganyiko wa watu wa matabaka mbali mbali sehem moja), wamarekani wana sera za diverity sehemu za kazi, hivyo inakuwa rahisi kwa mwafrika kupata ajira.

Mishahara ni minono sana kwa kazi nilizotaja, wastani wa mishahara ni shilingi milioni 21 kwa mwezi, makato ni tofauti kila jimbo ila wastani ni milioni 7, unabakiwa na take home milioni 14

Mbele ya maokoto watu wanafika huko wakiwa na 45 wanapiga kitabu, sembuse mimi mwenye 35 ambae naweza kuanza kusoma nikiwa na 36 ?


NIPO TAYARI KURUDI CHUONI MIAKA MITATU KWA LENGO LA MAOKOTO YA AJIRA NONO

kwa wazoefu naweza kuanzia wapi ?
We kikongwe urudi shule wapi ....we kingongwe pambana tu.....
 
Tatizo lako kama lilivyo kwa wabongo wengi sio elimu (Education) maana tayari unayo, bali ni mtazamo wako, unahitaji mabadiliko ya kiakili (Mindset transformation) na pia kwa elimu yako uliyonayo unapaswa kujiuliza what can you DELIVER, yaani kwa elimu yako uliyonayo unaweza kufanya nayo nini? au italeta nini zaidi ya kusema tu kwamba 'nina elimu'

Kwa maelezo yako kama unafanya kazi sasa na unapata 1.6M (Bongo) ina maana tayari una kiwango fulani cha elimu, hongera sana kwa kulipwa kiwango hicho, ila inaonekana unakosa maarifa, unachohitaji ni kujiongeza kwenye maarifa na upeo (skills & exposure) hata huko nje unakotaka kwenda, hata kama una elimu (Education) kiasi gani bado wataangalia 'what kama can you deliver' halafu hayo mambo yako ya elimu yatakuja baadaye, na mwisho tambua kuna tofauti kubwa kati ya ELIMU, MAARIFA NA UPEO
 
Back
Top Bottom