Maisha pesa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 681
- 632
Nirushie namba yake huyo mtu ndo namtafuta siku nyingi
Anyway nakutakia ramli njema ili umalizie chemsha bongo,sasa hivi na log off coz naendesha gari ,nitarudi jukwaani baadae,thanks for your company,nimefurahi.Daslam,engineer tanrod![]()
No hiyo ni kwa upande wako nimekisiaIna maana hata niliposema Arusha nilikosea?,hee basi Jamii Forum ni kichaka kizito na kinene mno,ni kufungana kamba mtindo mmoja.
Huyu ni baba angu kabisaa![]()
![]()
![]()
![]()
we Asha boko atakufaa sana, ila sidhani kama ni tatizo ni maumbile tu hayo ila kila mtu na interest yake,nina mshkaji wangu mmoja (mwanaume) yeye anakwambia mwanamke akiwa mwembamba hata awe mzuri vipi hamtaki anataka mnene hata kama hana shape anakwambia mifupa haimvutii ila nyama nono aaaah!
Kwa hiyo umekisia kwamba naishi Arusha?No hiyo ni kwa upande wako nimekisia
Muda wote huo ulikua una drive?Kwa hiyo umekisia kwamba naishi Arusha?
Ndio,kwa sababu nilkuwa nakwenda kijiji fulani,na sasa ndio nimepiga kambi,haya nipe matokeo ya ramli yako.Muda wote huo ulikua una drive?
Mmh sema tu ulikua una drive kifua cha mtu weweNdio,kwa sababu nilkuwa nakwenda kijiji fulani,na sasa ndio nimepiga kambi,haya nipe matokeo ya ramli yako.
Leo naona ramli yako imegoma kabisa,yaani hooolaa kabisa,bado sijapata pozo la moyo,ndio maana najitahidi kutafuta wa kunidekesha lakini wapi,naona gundu limeniandama,coz kila naempata ananiambia bado anasoma na bla bla bla nyingi.Mmh sema tu ulikua una drive kifua cha mtu wewe
Mweeh... Basi ngoja nilale nshaanza kurembua apaLeo naona ramli yako imegoma kabisa,yaani hooolaa kabisa,bado sijapata pozo la moyo,ndio maana najitahidi kutafuta wa kunidekesha lakini wapi,naona gundu limeniandama,coz kila naempata ananiambia bado anasoma na bla bla bla nyingi.
Ok basi lala mtoto mzuri,lakini umenitamanisha sana kuhusu kurembua,yaani mrembo akirembua huo ndio ugonjwa wangu,basi nitakuletea zawadi ya wine aina ya Dom Perignon ili urembue zaidi,anyway nisikuchoshe na pia mzee anakusubiri RV ukampe haki yake,na na ight, CIAO.Mweeh... Basi ngoja nilale nshaanza kurembua apa
He heeeOk basi lala mtoto mzuri,lakini umenitamanisha sana kuhusu kurembua,yaani mrembo akirembua huo ndio ugonjwa wangu,basi nitakuletea zawadi ya wine aina ya Dom Perignon ili urembue zaidi,anyway nisikuchoshe na pia mzee anakusubiri RV ukampe haki yake,na na ight, CIAO.