Nataka nimwache, ana kifua cha flat screen

Nataka nimwache, ana kifua cha flat screen

hahahhahaha jamani you are very fun.

thanks and nice evening
Usijali mamii,mimi ni mtu wa kuwaondolea stress ma auntie,yaani nataka niwasuuze roho zenu mpate ile kitu roho inapenda,yaani laini kumeza kama divai ya kanisani.
 
Mwanetu naona ww yule mwenye mashauzi wa taarab ndo anakufaa.. Ila kila mtu ana ugonjwa wake.. Unapenda mizigo kama ya sheikh kipozeo... Usimuache lakini huo ndo ushaur wangu kiukwel utazoe tu hio hal ni mambo ya kawaida sana
 
Hahahahaaa JF kuna mambo..angekuwa na mtindi ungekuja tena hapa kuanzisha thread..
 
kuna mahali umegusa kwenye point ila sihitaji kujieleza sana ila ndo hivyo tarehe mkuu zinatumika.
Na sio siku zote jaman kuduu. kumbuka danger days ni chache sana kwa mwezi.

keep that in your mind also.
Nafahamu yote hayo,ukizingatia nilichukua medical course pale Bugando Mwanza,nili specialise kwenye Gynaecology kwa miaka mitatu bila kumalizia mwaka 1,nikaacha nikenda kusoma engineering abroad,anyway back to the topic,kuduu ni kila siku bhana,labda mkisha kuwa wazee(retired pensioners) hapo sawa.
 
Unanibembelezaje kibabe hivo bana
Basi poole katoto kazuri enh hebu tema hapa tumchape huyu mbaya enh,yaani we Valentina hakika wewe ni mtoto wa mjini kinoma,nimekuzimikia kichizi ile mbaya,na ujue mimi najua kupiga ramli vizuri tu,lakini sio mchawi,na pia najua kusoma viganja,upo hapo?
 
Unataka ujuwe njoo pm na bx
Heheheheee we Mrembo mbona umenigandisha,sisi vijana wa kitaa tuna msemo wetu,eti demu flani kaniweka gadi(guard) yaani kama korokoroni,nimesubiri weee wapi demu hatokei daah basi baridi yangu,mvua yangu,giza langu,uwoga wangu,daah demu hajatokea,sasa ndio mimi ,kila nikichungulia PM nipate maelekezo ya ile thread, wapi nakuta holaaaa,sawa mamii acha nikonde mie.
 
Mkuu...
Minaona unazunguka mikono tuuuu.....
Wesema umesha mchoka.
Bas...
 
Bora ,una huruma na mimi,yaani umenisaidia kujibu,maana nimejaribu kusema ni nyoka asie na macho,ana mdomo usiokuwa na meno,akila huwa hamezi ila anatapika na pia anakalia mayai mawili.
He hee afu wewe nakufananisha flani hivi
 
Nashindwa kuelewa km unampenda binti wa watu au unamtaman.kwan matiti kitu gan km anakidhi vigezo vyote unavyo viitaji?

Sikia kaka km unampenda hiyo dada hana tatizo kabisa ila ni maumbile nae ndivo alivo,hatuwez wote tukawa sawa lkn km umemtaman bac anza kumtafutia sababu.

Upendo hauhusudu,hauhesabu mabaya,hautakabali,haujivun nk.

Hata ww unamapungufu yakwako hajamwambia mtu amekaanayo moyon na ameamua kuridhika na ww,we umekuja kumsema huku si vizur kabisa

Kakwambia anampenda?
 
Back
Top Bottom