KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
With love au vipi?waiting.......
With love au vipi?waiting.......
Basi una bahati wewe,maana wenzio manalalamika kila siku,eti ooh huyu wangu hanifikishi ooh huyu wangu hajali hisia zangu,sasa wewe unapata ziada halafu unalaumu.mhhh labda ninyamaze tu maana shughuli ya huu upande wangu haifai kuwa kila siku best.
Maybe inategemea maana nakuwa kama nimetembea kilometa mia moja kwa siku.
so mapunziko lazima.
silaumu kabisa ila nimesema ninyamaze cause malalamiko sina kabisa jaman.Basi una bahati wewe,maana wenzio manalalamika kila siku,eti ooh huyu wangu hanifikishi ooh huyu wangu hajali hisia zangu,sasa wewe unapata ziada halafu unalaumu.
when time comes it will tellWith love au vipi?
mimi siwezi laumu aisee, nashangaa wanavyolalamika kila kukicha.Basi una bahati wewe,maana wenzio manalalamika kila siku,eti ooh huyu wangu hanifikishi ooh huyu wangu hajali hisia zangu,sasa wewe unapata ziada halafu unalaumu.
Ok ,sasa nimeelewa,yaani umenyamaza huku unafurahia moyoni,WOW,.,,...silaumu kabisa ila nimesema ninyamaze cause malalamiko sina kabisa jaman.
I got you mamii.when time comes it will tell
yap, unajua ukisema sana naweza viziwa na mimi nije na malalamiko hapa.Ok ,sasa nimeelewa,yaani umenyamaza huku unafurahia moyoni,WOW,.,,...
BravooooI got you mamii.
Action and reaction are equal but opposite in magnitude and direction,hilo nalo neno ha haaa.mimi siwezi laumu aisee, nashangaa wanavyolalamika kila kukicha.
cha msingi wanatakiwa wawe huru na kuelezena panapotakiwa kuguswa baaasi. Kileleni watafika tu hakuna namna.
hahhahahahahhah
Basi add me to your list au vipi?,siri hapa ni mahala pake au tuseme its my surname.yap, unajua ukisema sana naweza viziwa na mimi nije na malalamiko hapa.
Wanasema siri ya ndani ni ya wawili na si vinginevyo.
Vipi mamii jana uli drive distance gani?, au ndio kupiga misele na kumaliza fuel bure?,au huna gari?Leo hu drive?
Mbona umeingia mitini? au nimekugusa pabaya?Basi add me to your list au vipi?,siri hapa ni mahala pake au tuseme its my surname.
Wengine hata waguswe rohoni lakini wapi,ni numb kwa kwenda mbele,labda waende kinyume,maana shetani hachezi mbali,kazi yake kuziba huku halafu anafungua mlango ungine.mimi siwezi laumu aisee, nashangaa wanavyolalamika kila kukicha.
cha msingi wanatakiwa wawe huru na kuelezena panapotakiwa kuguswa baaasi. Kileleni watafika tu hakuna namna.
hahhahahahahhah
mhhhh watakuwa na shida hawaWengine hata waguswe rohoni lakini wapi,ni numb kwa kwenda mbele,labda waende kinyume,maana shetani hachezi mbali,kazi yake kuziba huku halafu anafungua mlango ungine.
Lete solution basi wanajamii wafaidike,nina imani na uelewa wako.mhhhh watakuwa na shida hawa
kama ni hvyo ulvyosema alete kwangu huo mzgo harakaWengi wenye flat screen kifuani, chini wanakuwaga na viuno na tako zito la uhakika ila kama pia uani ni flat screen duh sijui atakuwa kamkosea nini muumba.
All in All kama unampenda kweli hilo ni jambo dogo tu.
Mie sina gariVipi mamii jana uli drive distance gani?, au ndio kupiga misele na kumaliza fuel bure?,au huna gari?
Basi lift umepata,sema kingine basi mamii au siyo?,maana mimi sitakawia kufika mpaka mlangoni kwako,tena muda huu huu.Mie sina gari
Kingine kipi tena yakheeBasi lift umepata,sema kingine basi mamii au siyo?,maana mimi sitakawia kufika mpaka mlangoni kwako,tena muda huu huu.