Nataka nimwache, ana kifua cha flat screen

Nataka nimwache, ana kifua cha flat screen

Nawashukuru sana wadau wote kwa ushauri wenu nitazingatia kwa umakini sana
 
Nafahamu yote hayo,ukizingatia nilichukua medical course pale Bugando Mwanza,nili specialise kwenye Gynaecology kwa miaka mitatu bila kumalizia mwaka 1,nikaacha nikenda kusoma engineering abroad,anyway back to the topic,kuduu ni kila siku bhana,labda mkisha kuwa wazee(retired pensioners) hapo sawa.
mhhhh Mkuu wewe ni hatari au danger, mie siwezi mwenzio kuduu kila siku.

Kwani imekuwa dawa ya presha hiyo au?

hongera kwako ila mie sitaki kbsa kila siku.
 
Usijali mamii,mimi ni mtu wa kuwaondolea stress ma auntie,yaani nataka niwasuuze roho zenu mpate ile kitu roho inapenda,yaani laini kumeza kama divai ya kanisani.
once again thanks sana. thread zako kweli zilinisaidia sana cause wewe sio mtu wa hasira ya karibu.

Big up for that na utaenda mbali sana kimaisha.
 
Makubwa yana Raha yake especially pale yanaponesa nesa na majotro yake
hahahahahahah sasa Mkuu watu hawaeleweki, mara madogo ndo mazuri, mara makubwa ndo mazuri, yaani kila mtu anapenda kutokana na hisia zake bhana.

Watuache na manyonyo yetu ambao hawayapendi.
 
hahahahahahah sasa Mkuu watu hawaeleweki, mara madogo ndo mazuri, mara makubwa ndo mazuri, yaani kila mtu anapenda kutokana na hisia zake bhana.

Watuache na manyonyo yetu ambao hawayapendi.


You are blessed.
 
mhhhh Mkuu wewe ni hatari au danger, mie siwezi mwenzio kuduu kila siku.

Kwani imekuwa dawa ya presha hiyo au?

hongera kwako ila mie sitaki kbsa kila siku.
Kwani hujui? kuduu mara nyingi kunaifanya ngozi ya mwanamke kuwa nyororo,na pia unakuwa stress free,hakuna kununa,kisirani,dhiki na pia inaongeza apetite ya kula.
 
once again thanks sana. thread zako kweli zilinisaidia sana cause wewe sio mtu wa hasira ya karibu.

Big up for that na utaenda mbali sana kimaisha.
Ameen, na wewe pia,kumbuka huu ni mwanzo tu,mamabo mengi mazuri yatafuata.
 
Kwani hujui? kuduu mara nyingi kunaifanya ngozi ya mwanamke kuwa nyororo,na pia unakuwa stress free,hakuna kununa,kisirani,dhiki na pia inaongeza apetite ya kula.
maneno yote ni kuntu ila sio kila siku.

Loooh nisije zeeka mtoto wa mwenzio.
 
Hutazeeka mamii,uliona wapi raha ikamzeesha mtu?
mhhh labda ninyamaze tu maana shughuli ya huu upande wangu haifai kuwa kila siku best.

Maybe inategemea maana nakuwa kama nimetembea kilometa mia moja kwa siku.

so mapunziko lazima.
 
Back
Top Bottom