KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Duuh naona nakaribia kubambwa,hata mimi nakufananisha kwa asilimia 90,na nakuhakikishia ni wewe,sasa bisha,na kama hubishi basi guess who am i?He hee afu wewe nakufananisha flani hivi
Duuh naona nakaribia kubambwa,hata mimi nakufananisha kwa asilimia 90,na nakuhakikishia ni wewe,sasa bisha,na kama hubishi basi guess who am i?He hee afu wewe nakufananisha flani hivi
Sekta hiyo nina 0 kabisaSio mzee kiivyo bhana,hapo ulipofika ndio patamuuuu,coz full experience,yaani mauzoefu hadi mi nazirai.
Nabisha ndioDuuh naona nakaribia kubambwa,hata mimi nakufananisha kwa asilimia 90,na nakuhakikishia ni wewe,sasa bisha,na kama hubishi basi guess who am i?
Alafu uje na chapaa ya kutoshaHaya basi ,ujue nitakuwa mgeni wako au vipi?

Basi wewe ndio catalogue,yaani mali mpya kwenye dimba,huoni hiyo ni sifa(merrit),yaani low mileage au tuseme kilometre haijasoma sana,unastahili pongezi.Sekta hiyo nina 0 kabisa
Basi ngoja nipige ramli halafu tupinge,upo hapo?Nabisha ndio
Chapaa hapa ndio kwao au naweza kusema chapaa is my surname,na rangi yangu ni rangi ya benki,ushindwe wewe tu.Tatizo siyo chapaa,tatizo ni jinsi ya kuzitumia.Alafu uje na chapaa ya kutosha![]()
![]()
![]()
![]()
NipoBasi ngoja nipige ramli halafu tupinge,upo hapo?
Halafu wewe pretty young thing(pyt),ujue kila second nachungulia PM na sijaona hata single alphabet from your side.Alafu uje na chapaa ya kutosha![]()
![]()
![]()
![]()
,
Ngoja niseme kwa mafumbo,mama wawili,Kisongo Arusha,mfanya biashara ya nguo au vipodozi,Mmeru/Chagga..............other narration will follow.Nipo
Do you want me to upload my bank statement?, i will do so if you insist,nitakuwekea huko huko PM uisome halafu utaje mawe kiasi gani unahitaji,hapo ndio utajua kuna watu duniani.OK let me check but mfuko unasoma?.![]()
,
![]()
Si uje ujaribu uone? ukiona fix si unachomoka tu?,utahakikishaje kama hunitumii PM?OK let me check but mfuko unasoma?.![]()
,
![]()
Iiilooooooo.... UmechemkaNgoja niseme kwa mafumbo,mama wawili,Kisongo Arusha,mfanya biashara ya nguo au vipodozi,Mmeru/Chagga..............other narration will follow.

Basi mamii usiniaibishe,nilikuwa natupa mshale gizani nikijaribu bahati yangu,hata hivyo nimefeli coz nilizidisha confidence,kwa hiyo nakubali nimepata holaaa.Sasa zamu yako,hata ukikosa nitakulinda sikuaibishi basi.Iiilooooooo.... Umechemka![]()
Daslam,engineer tanrodBasi mamii usiniaibishe,nilikuwa natupa mshale gizani nikijaribu bahati yangu,hata hivyo nimefeli coz nilizidisha confidence,kwa hiyo nakubali nimepata holaaa.Sasa zamu yako,hata ukikosa nitakulinda sikuaibishi basi.

Umepata 30 percent only,therefore 70 percent failure on geographic location and emloyer,nakupa hint in bracket (diaspora).Daslam,engineer tanrod![]()
Ina maana hata niliposema Arusha nilikosea?,hee basi Jamii Forum ni kichaka kizito na kinene mno,ni kufungana kamba mtindo mmoja.Daslam,engineer tanrod![]()