Majini yanapo jiita nasi ni wingi wa nini?Unataka kujua mambo kwa ubishi bwasheee
"Nasi" ni wingi.....MUNGU ,MALAIKA NA MITUME.....
Kiarabu ni lugha ya MASHAIRI....ni sawa na mimi nikukaribishe nyumbani kwangu halafu nitumie "polite language" hii...."karibu kwetu"....nikisema "kwetu" ina maana si "kwangu"?!!!!
Upanue ubongo bwasheee
Koran surah ya majini
5:Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu
8:Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo
10: Nasi hatujui kama wanatakiwa shari.........