Iyo kujistukia ilimkuta jamaa yangu, baada ya kula dawa alipo rudi nyumbani akamkuta mshua anamwamkia fresh. Katoka nje kuchota maji kamwamkia tena kurudi ndani wamekutana koridoni kamwamkia tena mshua akashangaa huyu bwana mbona heshima imezidi leo
Basi kumbana ikaonekana amekula dawa sasa ile kumwamkia mshua ilikuwa kuficha kama ametumia mzigo

nimecheka sana! ..Kwenye maisha usiruhusu starehe/kitu kikutawale jitahidi ww ndo ukitawale ...wengi wanashindwa kuachana na vilevi sababu vinawatala,,jamaa niliokuwa navuta nao miaka hiyo kuna ambao wameshindwa acha hadi leo mwingine kawa teja kabisa ila mimi niliamka siku tu nikaamua kuanzia leo sivuti bangi tena,ugoro naacha na mirungi pia nikaamua ulevi wangu utaendelea kuwa bia ambayo hadi leo nakunywa na haijawahi niletea tatizo na sijawahi lewa kiasi cha kutojielewa au kuharibu mambo yanguUliwezaje, si wanasema ina addiction ?? ..
Ulivuta kushabo,,yani fambaNimevuta bangi mara moja mwez huu wa saba , ila naumwa kikohoz hakiishi , sijui moshi wake umeninasa
Dar hongera sana mkuu kwa hatua hiyo ..Kwenye maisha usiruhusu starehe/kitu kikutawale jitahidi ww ndo ukitawale ...wengi wanashindwa kuachana na vilevi sababu vinawatala,,jamaa niliokuwa navuta nao miaka hiyo kuna ambao wameshindwa acha hadi leo mwingine kawa teja kabisa ila mimi niliamka siku tu nikaamua kuanzia leo sivuti bangi tena,ugoro naacha na mirungi pia nikaamua ulevi wangu utaendelea kuwa bia ambayo hadi leo nakunywa na haijawahi niletea tatizo na sijawahi lewa kiasi cha kutojielewa au kuharibu mambo yangu
Tena ile bangi tulokuwa tunavuta inatoka milima ya Meru-Kenya ilikuwa hatari huwezi maliza puli moja mwenyewe ukivuta sana ni mistari sita nashangaa siku hizi nakuta madogo anavuta bangi kama fegi puli nzima alafu eti anajidai hawezi acha...ni upuuzi
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Haya mambo ya skanka au kujifanya mjuzi wa kuchagua mimea ndio mwanzo wa kudumbukia kwenye mambo mengine.Skanka ndiyo habari sahvi watu wengi wanaipiga hiyo.....
Ova
Dah hii kitu nikikumbuka ilichonifanya 10 yrs ago siku ile saa 1 jioni aisee! Naona kama limetokea jana au leo. Kifupi siwezi kusahau aibu niliyoipata tena mtaani kwangu full nyomi la kutosha,dah ngoja niishie hapa
mkuu tupe kidogo story hiyo ..Tueleze wadau ilikuaje ili nasi tujifunzamo kituDah hii kitu nikikumbuka ilichonifanya 10 yrs ago siku ile saa 1 jioni aisee! Naona kama limetokea jana au leo. Kifupi siwezi kusahau aibu niliyoipata tena mtaani kwangu full nyomi la kutosha,dah ngoja niishie hapa