HAHAHAHAHH! 😂😂😂Nakusihi ata usijarbu vuta,
I remember the first time nilijarbu kuanza kwa kunusa kwa washkaji, nikiwa class five, baadae nikaamua kuvuta.....
Sas hapo ndio nilijua bange si chai,,,,,,,,,,kwani nilirudi nyumbani nikaingia jikon direct, nikakuta msosi nikaona niwangu wote,,,,,kucheki hamna mtu karbu nikaulamba wote na sikushiba. Ikawa sasa
kucheka hovyo hakuishi
Bado nikiwa na wenge mshua akaingia baada ya kumsalimia nikamuuliza hivi wewe nilikuonaga wapi tena???
Kilichofuata ilikua mwisho wa matumizi ya mjani
umeshavuta bangi?Kwema tu, niaje ?? ..
Mimi nimekula mjani kwa miaka mitano 2008-2012 sikupata tatizo lolote mpaka nilipoamua tu kuachaNiaje wakuu ..
Natarajia kuanza kula mjani as a way of boosting my confidence and self esteem, ninachohitaji kujua ni je kuna madhara yoyote ya kiafya yatokanayo na mjani huu mtukufu.
Vipi kuhusu kazi labda abroad haiwezi kuleta noma labda wakikupima afya alafu mjani ukawa detected ..
Karibuni ..
Pamoja bro ndo maisha haya no body knows kesho... nawaka to the max leo nimejichimbia idodomia hata nikikutana na israel anapewa kiswahili tu lazma aeleweKula bange 🌿 kijana, hakika hautojutia..😎
Hii yenyewePamoja bro ndo maisha haya no body knows kesho... nawaka to the max leo nimejichimbia idodomia hata nikikutana na israel anapewa kiswahili tu lazma aelewe
Welcome jua
Kuna dry na mixer.chaguo Ni lako
Mdomo utakuwa mweusi na umelegea
Kunywa maji sana
Inanukaga mno rahisi kushtukiwa
Ikikaa Sana kichwani inaficha homa siku homa ikilipuka RIP in advance
Ukivuta unajistukia hutaki mtu wa familia akujue Kama macho mekundu
Tamu Sana feeling alright hasa ukiwa UnaKula ngoma za hip-hop kina Roma,nikki,ghetto,kad go,ngwair,na wengineo wengi
View attachment 1887668
kama kawa man.., vp jan lilikukataa nin mbona hukuleta mrejeshoKwema tu, niaje ?? ..
Tayari ishafika mahala pake..Pamoja bro ndo maisha haya no body knows kesho... nawaka to the max leo nimejichimbia idodomia hata nikikutana na israel anapewa kiswahili tu lazma aelewe
