Nataka nianze kula mjani

Hao labda walikua wanachanganya na powder mkuu, mbona asilimia kubwa ya wanaotumia mjani tunadunda nao kitaani ..
Acha ujinga, majani yanamadhara makubwa kuliko faida.!

Kaka yng alienda kuponea Ilembula Njombe.
 
Mix na chapa shoka,ugoro yani andasi yake kama uko ibinza spain unakula maisha tu
 
Hyo ganja yenye nta namshauri siku yakuanza kuvuta apige lesi mbili au tatu zile konki lakin asijaribu kuvuta bomba Zima itamchengua Sana maana hzo ganja ni Kali Sana
 
Baada ya kelele nyingi za waoangaji wenzangu juu ya harufu ya bangi usiku nikitoka mishe basi nikaamua kubadilisha style... naenda kwa pusha nanunua makapi yale yote nikifika geto napikia chai nakunywa.... stimu zake sio za kindergatern
VIP kuhusu using mkuu maana Kuna mwanangu alijaribu hyo kitu,alilala kuanzia 6mchana Hadi 2usiku ilikuwa noma Sana🤣
 
Mkuu
Kwa kipindi kile nilichovuta na masela sikuona wakichanganya poda ilikuwa ni mjani pekee.
Nilimvutisha na dog wangu alitoka udenda na kuzimia baada ya kuzinduka alikuwa ni mkalii hata mimi hanitambui ndo nikaamini huu mjani si wakawaida.
Dog ulimvutishaje, maana nina shepherd mmoja ukali wake hauridhishi. Nataka awe mkali haswa
 
achana na hiyo kula miraa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…