Nenda chuo binafsi kinachotoa kozi ya CLINICAL MEDICINE omba nafasi ya kujiunga..
Kwanini Uende Chuo Private?
... Ni kwa sababu ukiomba kwa chuo cha government au ukiomba direct kupitia NACTE kupata ni ngumu kwani hauko eligible kwa sababu umemaliza O-Level kitambo sana.
Baada ya Kusoma Clinical Medicine utakua Clinical Officer (Afisa Tabibu)
Kisha utafanya kazi miaka 2, utaomba nafasi ya Kusoma kwa DMO wako then utaenda Chuo kikuu Miaka Mitano na Kusoma Degree ya udaktari wa binaadamu (Doctor of Medicine)
Karibu Mjomba