dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
naomba tulijadili hili kesho
hata mimi nimo aisee
naomba tulijadili hili kesho
hata mimi nimo aisee
hana tatizo kabisaaa
Umejuaje? Kama upo serious hamishia hii thread jukwaa la madaktari. Hapa naona utapata chit chat tuu unless that is what you want.
naomba tulijadili hili kesho
sawa mama watoto wangu. nakutakia usku mwema. mia
teari ana mtoto yeye.
makubwaaa
Kaa na mumeo muongee juu ya nia hii na kukubaliana wote kwa pamoja, hakuna lisilowezekana maana madaktari wameshakupa uhakika ila bado tu upande wenu kulifanyia kazi hilo mliloambiwa na madaktari.nataka mimba ambayo itaresult mtoto umenipata hapo??
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
Umejuaje huyo mtoto ni wake?
nshakuambia achana na figganigga, njoo mimi nikuzalishe. ova
Kaa na mumeo muongee juu ya nia hii na kukubaliana wote kwa pamoja, hakuna lisilowezekana maana madaktari wameshakupa uhakika ila bado tu upande wenu kulifanyia kazi hilo mliloambiwa na madaktari.
Endelea na maisha yako wala usiipoteze furaha yako, madaktari wameshakupatia jibu la kibaolojia na imeonekana unaweza ku conceive, mtafute muda muende wote wawili kwa madaktari ili mfanyiwe uchunguzi wa pamoja labda baada ya zoezi hilo unaweza kupata mwanga zaidi wa ufahamu wako.
Pia unapaswa kuyaelewa maisha na madhumuni yake juu yako, inabidi ujitafute ili ujue nafasi yako katika hii dunia ni ipi ili uweze kuitumikia.
Kama ulivyosema "natamani kuzaa". Hiyo ni tamaa tu iliyojitengeneza ndani yako, baada ya kuona wanawake kama wewe wanazaa lakini labda nature inahitaji uwe mfano na kuonyesha upendo kwa kulea wa wenzako? (kwa mtazamo wa kiroho).
Pull yourself together and find yourself.
Ng'ombe mnyama. Yaani namaanisha ng'ombe kabisa, yule anayefugwa.
kamuadopt bujibuji