Nataka mtoto

nataka mimba ambayo itaresult mtoto umenipata hapo??
Kaa na mumeo muongee juu ya nia hii na kukubaliana wote kwa pamoja, hakuna lisilowezekana maana madaktari wameshakupa uhakika ila bado tu upande wenu kulifanyia kazi hilo mliloambiwa na madaktari.
 
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani

Endelea na maisha yako wala usiipoteze furaha yako, madaktari wameshakupatia jibu la kibaolojia na imeonekana unaweza ku conceive, mtafute muda muende wote wawili kwa madaktari ili mfanyiwe uchunguzi wa pamoja labda baada ya zoezi hilo unaweza kupata mwanga zaidi wa ufahamu wako.
Pia unapaswa kuyaelewa maisha na madhumuni yake juu yako, inabidi ujitafute ili ujue nafasi yako katika hii dunia ni ipi ili uweze kuitumikia.
Kama ulivyosema "natamani kuzaa". Hiyo ni tamaa tu iliyojitengeneza ndani yako, baada ya kuona wanawake kama wewe wanazaa lakini labda nature inahitaji uwe mfano na kuonyesha upendo kwa kulea wa wenzako? (kwa mtazamo wa kiroho).
Pull yourself together and find yourself.
 
Kaa na mumeo muongee juu ya nia hii na kukubaliana wote kwa pamoja, hakuna lisilowezekana maana madaktari wameshakupa uhakika ila bado tu upande wenu kulifanyia kazi hilo mliloambiwa na madaktari.

nitafanya hvyo.
 
Endelea na maisha yako wala usiipoteze furaha yako, madaktari wameshakupatia jibu la kibaolojia na imeonekana unaweza ku conceive, mtafute muda muende wote wawili kwa madaktari ili mfanyiwe uchunguzi wa pamoja labda baada ya zoezi hilo unaweza kupata mwanga zaidi wa ufahamu wako.
Pia unapaswa kuyaelewa maisha na madhumuni yake juu yako, inabidi ujitafute ili ujue nafasi yako katika hii dunia ni ipi ili uweze kuitumikia.
Kama ulivyosema "natamani kuzaa". Hiyo ni tamaa tu iliyojitengeneza ndani yako, baada ya kuona wanawake kama wewe wanazaa lakini labda nature inahitaji uwe mfano na kuonyesha upendo kwa kulea wa wenzako? (kwa mtazamo wa kiroho).
Pull yourself together and find yourself.

thanx for a nyc advice
 
Nenda kwenye maombi pale kwa mzee wa upako mama hilo ni pepo linavuruga mbegu za mmeo ,NAKEMEA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ,NAKUAMURU KILA PEPO LILOFUNGA KIZAZI CHAKO YATOKE,MOTO WA ROHO MTAKATIFU USAFISHE MFUMO WOTE WA UZAZI NAWE UWE NA FURAHA KAMA WANAWAKE WENGINE.NAKUTABIRIA MAPACHA MWEZI KAMA HUU MWAKANI.Kama unaamini sema amen,utulie kwenye uwepo wa bwana Yesu na atakubari.
 
hello bnt pole na ucjali yote hyo ni mipango ya mungu bt u have 2 go kwa maspecialist wa mambo hayo thn uanze clinic afu umtafute the one u trust ambaye yuko fit halaf hyomkienda wote kwa doc atawapa schedule nzuri tu ya namna ya kutafuta mtt @ the end of the day utampata hyo mtt........
 
Back
Top Bottom