Nataka mtoto

so wat do u suggest?

Hakikisha scientifically kama kweli ni mtoto wake. Hata kama ikidhibitihswa huyo mtoto ni wake is no a conclusive answer kuwa tatizo unalo wewe. Inawezekana alimzaa huyo mtoto wakati akiwa na nguvu na sasa hazipo? My suggestion na yeye akachunguzwe on his current biological status kama ulivyofanya wewe.
 
Endelea kuhangaika hospital na hata tiba za kina bibi za mitishamba na kuchuliwa. Asaa kheri. Mm my mom alikaa 10yrs ndoa akatuzaa. Inshaallh Km Mungu kakuandikia rizk ya baby utapata mwenye kheri na ww

sawa malaika umenena ya kweli.
 
hahahaaaa...!!. Mkuu mimi nmejitoa kwenye hiyo tenda ya kukuzalisha. naona kama vile hauko serious. hiyo kazi ya kukusaidia upate mtoto namwachia JASON BOURNE. Mi napenda mtu akiongea kitu namsaidia maisha yanaendelea. na ukiendelea kuchelewa plan zako za kuwa na mtoto kipindi kama hichi itashindikana coz mtoto atakaa tumboni mwako miezi9. so hiyo tenda yako najitoa rasmi na maelekezo hapo juu zingatia. Mia

huyo JB ndo nani mpaka umuachie tenda?
 
nashukuru sista kwa kulitambua hilo,kuna mtu alikua na tatizo kama hilo lakini saiv anaitwa mama fulani,kama vp nikuunganishe kwake kwa maelezo zaidi.

basi vizurii pata kufanya hivyo
 
Hakikisha scientifically kama kweli ni mtoto wake. Hata kama ikidhibitihswa huyo mtoto ni wake is no a conclusive answer kuwa tatizo unalo wewe. Inawezekana alimzaa huyo mtoto wakati akiwa na nguvu na sasa hazipo? My suggestion na yeye akachunguzwe on his current biological status kama ulivyofanya wewe.

thanx sana mkuu!ubarikiwe,
 
nimekumic mwali,upo?
Nipo dear, nakusoma tu... nilikua taiti kidogo na kazi za nyumbani.
Unanikumbusha ndugu yangu fulani. aliolewa ila hakupata mtoto kwa miaka tatu. yeye kama yeye (hata mume wake pia) hawakuona kua ni shida... ila familia zao ndio zikawa zinalalamika, hasa kina mama. baada ya miaka tano walikua still hawajapata mtoto, wakasafiri kwenda kuwafata wataalamu wa maswala ya uzazi kule uzunguni. Unajua dawa walio pewa? eti waliambiwa waende leave, mbali na familia zao, na waongee mambo mengine yooooote, kasoro ya mtoto. Ilisemeka kwamba ile pressure ya kutaka mtoto kwa udi na uvumba ndio ilisababisha mimba kutoshika (kama ni kweli sijui maana ndugu yangu nae kwa kukoleza story humuwezi!)
Walikaa wiki tatu, alafu wakarudi kwao. kupima tena baada ya mwezi, tayari ndugu yangu alikua mzito!
 
Wewe na mwenzio mnatakiwa kwenda kwa daktari ili wote mpate vipimo, kuna daktari bingwa arusha, st thomas hospital anaitwa Dr. Msuya, all the best!
 
Nipo dear, nakusoma tu... nilikua taiti kidogo na kazi za nyumbani.
Unanikumbusha ndugu yangu fulani. aliolewa ila hakupata mtoto kwa miaka tatu. yeye kama yeye (hata mume wake pia) hawakuona kua ni shida... ila familia zao ndio zikawa zinalalamika, hasa kina mama. baada ya miaka tano walikua still hawajapata mtoto, wakasafiri kwenda kuwafata wataalamu wa maswala ya uzazi kule uzunguni. Unajua dawa walio pewa? eti waliambiwa waende leave, mbali na familia zao, na waongee mambo mengine yooooote, kasoro ya mtoto. Ilisemeka kwamba ile pressure ya kutaka mtoto kwa udi na uvumba ndio ilisababisha mimba kutoshika (kama ni kweli sijui maana ndugu yangu nae kwa kukoleza story humuwezi!)
Walikaa wiki tatu, alafu wakarudi kwao. kupima tena baada ya mwezi, tayari ndugu yangu alikua mzito!

hiyo ni kali.me ndio niko njiani naelekea regency hospital now
 
Back
Top Bottom