EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
wamefanana copy right jamani hata huwezi uliza
The fact that the child has the looks of his does not mean that he is the father.
wamefanana copy right jamani hata huwezi uliza
The fact that the child has the looks of his does not mean that he is the father.
Nipe hiyo tenda, bao moja tu unaanza kulamba ndimu na kuusaka udongo mrembo!Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
Nipe hiyo tenda, bao moja tu unaanza kulamba ndimu na kuusaka udongo mrembo!
Sihitaji malipo wala senti tano, mi burudani yangu ni kukushughulikia kiunoni tu!
ulikua wapi?
hiyo haitoshi! lakini pia inawezekana wewe na mumeo hampo compatible, sio kimaumbile, hapana, ila ki-biology. Fanyeni utaratibu wa kuwaona specialist wa mambo ya uzazi kwa akina mama(gynaecology).wamefanana copy right jamani hata huwezi uliza
nshachoka sasa. mtu unatongozwa weee...hata huonyeshi ushirikiano. unataka nikupe mtoto au hutaki? mia
Pole saana! Kwanza napenda kufahamu umeolewa? km ndiyo ni kwa muda gani?
Umeolewa dear? ili nijue nikuombee vipi.
hiyo haitoshi! lakini pia inawezekana wewe na mumeo hampo compatible, sio kimaumbile, hapana, ila ki-biology. Fanyeni utaratibu wa kuwaona specialist wa mambo ya uzazi kwa akina mama(gynaecology).
Kneeology willl help. But only and only if with your Husband. sio kuzaa watoto vikopo. Pray together with your husband. wakati wa sara na ibrahim ulipofika Isaka alizaliwa. na wewe wakati wako ukifika hakika utazaa kama ndio matamanio yako. Ila uwe ndani ya ndoa!!!!
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
kumbe umenitongoza?sina habarii
Thue dat. anaweza kua wa kaka yake. :lol:The fact that the child has the looks of his does not mean that he is the father.