Nataka mtoto

Nenda kwenye maombi pale kwa mzee wa upako mama hilo ni pepo linavuruga mbegu za mmeo ,NAKEMEA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ,NAKUAMURU KILA PEPO LILOFUNGA KIZAZI CHAKO YATOKE,MOTO WA ROHO MTAKATIFU USAFISHE MFUMO WOTE WA UZAZI NAWE UWE NA FURAHA KAMA WANAWAKE WENGINE.NAKUTABIRIA MAPACHA MWEZI KAMA HUU MWAKANI.Kama unaamini sema amen,utulie kwenye uwepo wa bwana Yesu na atakubari.

ameen!ubarikiwe na bwana!
 
hello bnt pole na ucjali yote hyo ni mipango ya mungu bt u have 2 go kwa maspecialist wa mambo hayo thn uanze clinic afu umtafute the one u trust ambaye yuko fit halaf hyomkienda wote kwa doc atawapa schedule nzuri tu ya namna ya kutafuta mtt @ the end of the day utampata hyo mtt........

thank u dear for ur advice.
 
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani

Tafuta dume la mbegu imara, inaonekana huyo uliyenaye ana matatizo
 
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani

pamoja na kwamba madaktari wamekueleza kuwa unaweza kupata ujauzito,kuna mambo mawili unahitaji kuyafuatilia
1.yakupasa mwenzawako akapimwe ili kujua kama mbegu zake zinaweza rutubisha yai lako
2.wewe mwenyewe yakupasa ukapime tena kuna kaugonjwa kanasumbua sana kanaitwa UTERINE MYOMA ni vyema ucheki hilo,maana wadada wengi hawajui kuwa wanaumwa lakini kiukweli hilo ni tatizo kubwa sana ktk kuzuia ujauzito kwa akinamama
 
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani

Nitafute bana kwa nini uteseke?
 
pamoja na kwamba madaktari wamekueleza kuwa unaweza kupata ujauzito,kuna mambo mawili unahitaji kuyafuatilia
1.yakupasa mwenzawako akapimwe ili kujua kama mbegu zake zinaweza rutubisha yai lako
2.wewe mwenyewe yakupasa ukapime tena kuna kaugonjwa kanasumbua sana kanaitwa UTERINE MYOMA ni vyema ucheki hilo,maana wadada wengi hawajui kuwa wanaumwa lakini kiukweli hilo ni tatizo kubwa sana ktk kuzuia ujauzito kwa akinamama

roger that!will take it into consideration!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom