Nataka kwenda kufanya biashara Mbeya, ushauri wenu tafadhali

Kwa biashara ya mazao kwa ukanda wa nyanda za juu kucn kama ukitulia unatusua ila ujue unaingia kwenye VITA na "vita ni vita mura" Ukiona sehem wamejaa ndugu zetu wa makete hawa lazma ujipange vizur na hzo sehem ulizotaja ndio wapo kama wote pia unaweza ukajaribu Usangu kama ni mazao kule n mpunga tu
Mkuu itabidi nkomae kiume kwa kumtumia Sana Sir.God sababu me sio mdau wa superpower aisee....
 
Jiripulie Chunya,990,000 majogoo 66 mnada wa kila jumapili unasafirisha tenga mpaka Itumbi Migodini kwa Tsh 40,000 kwenda na kurudi bila kulala maana lazima waishe kwa siku moja na kula Tsh. 10,000 maximum na utakuwa umetumia jumla ya Tsh. 1,040,000 utawauza hao jogoo kima cha chini Tsh.25,000 kwa kuku 66 sawa na TSh.1,650,000 toa gharama unabaki na faida ya Tsh.610,000 baada ya hapo unaendelea na shughuli zako za kiujasiliamali mbali na uuzaji kuku kusubiri jumapili nyingine ukawajumue tena
Duh ahsante San mkuu,ni idea nzuri Sana....je izo kuku tunazitoa wap? Manake huwez kukusanya kwa siku moja na eneo moja....lazima uzunguke kutafuta vijiji tofaut
 
Jiripulie Chunya,990,000 majogoo 66 mnada wa kila jumapili unasafirisha tenga mpaka Itumbi Migodini kwa Tsh 40,000 kwenda na kurudi bila kulala maana lazima waishe kwa siku moja na kula Tsh. 10,000 maximum na utakuwa umetumia jumla ya Tsh. 1,040,000 utawauza hao jogoo kima cha chini Tsh.25,000 kwa kuku 66 sawa na TSh.1,650,000 toa gharama unabaki na faida ya Tsh.610,000 baada ya hapo unaendelea na shughuli zako za kiujasiliamali mbali na uuzaji kuku kusubiri jumapili nyingine ukawajumue tena
Yaaani kuandika raha sana kaka 😅😅😅
 
Sina idea hiyo brother,pia serikari now inazingua Sana izo biashara wanadai ni utakatishaji fedha
kumbe wewe mlokole unataka biashara za halali? hahaha biashara za tunduma ni magendo, ushirikina, vishoka... la sivyo hako kamtaji kako katakata na mpaka nauli ya kurudi kwenu utakopa...tunduma mpaka wachaga wamekushindwa... me0pa
 
kumbe wewe mlokole unataka biashara za halali? hahaha biashara za tunduma ni magendo, ushirikina, vishoka... la sivyo hako kamtaji kako katakata na mpaka nauli ya kurudi kwenu utakopa...tunduma mpaka wachaga wamekushindwa... me0pa
Hajui aslimia kubwa ya biashara kama zinalindwa na ndumba
 
kumbe wewe mlokole unataka biashara za halali? hahaha biashara za tunduma ni magendo, ushirikina, vishoka... la sivyo hako kamtaji kako katakata na mpaka nauli ya kurudi kwenu utakopa...tunduma mpaka wachaga wamekushindwa... me0pa
dah na mbeya mjini je... Papoje pale mkuu nsaidie info kidogo
 
Jiripulie Chunya,990,000 majogoo 66 mnada wa kila jumapili unasafirisha tenga mpaka Itumbi Migodini kwa Tsh 40,000 kwenda na kurudi bila kulala maana lazima waishe kwa siku moja na kula Tsh. 10,000 maximum na utakuwa umetumia jumla ya Tsh. 1,040,000 utawauza hao jogoo kima cha chini Tsh.25,000 kwa kuku 66 sawa na TSh.1,650,000 toa gharama unabaki na faida ya Tsh.610,000 baada ya hapo unaendelea na shughuli zako za kiujasiliamali mbali na uuzaji kuku kusubiri jumapili nyingine ukawajumue tena
Duuu utakuja kuua mtu kwa presha maana hapa umemjaza upepo
 
Back
Top Bottom