Nataka kwenda kufanya biashara Mbeya, ushauri wenu tafadhali

cleverr

Senior Member
Mar 3, 2020
138
137
Habari zenu wakuu,Mimi ni kijana mpambanaji kwa sasa Niko Dar es laam nina mpango wa kwenda Mbeya kutafuta maisha rasmi....je ni sehemu zipi kati ya hizi: Kyela mjini, Border-Kasumulu, Tunduma na Mbeya Mjini.

Ambazo ziko vizuri kwa fursa za kiuchumi, population nk.... Msaada tafadhari......

NB;
-Nina ideas kidogo za kilimo
-Biashara asa products za kike
  • Elimu( bachelor in social protection)
  • Spendi kuishi dar es laam na sijawai waza
  • Mtaji upo tayari 1.2M.
Ahsante
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana mpambanaji kwa sasa Niko Dar es Salaam nina mpango wa kwenda Mbeya kutafuta maisha rasmi.

Je, ni sehemu zipi tajwa apo juu ambazo ziko vizuri kwa fursa za kiuchumi, population nk.

NB;
  • Nina ideas kidogo za kilimo
  • Biashara hasa products za kike
  • Elimu( bachelor in social protection)
  • Spendi kuishi dar es laam na sijawai waza
  • Mtaji upo tayari 1.2M.

Msaada tafadhari.

Ahsante
 
Nataka nianze na sendo za kike, baadae Mungu akijalia mambo yakikaa sawa niingie kwenye biashara ya mazao
 
Habari zenu wakuu,Mimi ni kijana mpambanaji kwa sasa Niko dar es laam nina mpango wa kwenda mbeya kutafuta maisha rasmi....je ni sehemu zipi tajwa apo juu.

Ambazo ziko vizuri kwa fursa za kiuchumi, population nk.... Msaada tafadhari......

NB;
-nna ideas kidogo za kilimo
-biashara asa products za kike
-elimu( bachelor in social protection)
-spendi kuishi dar es laam na sijawai waza
-mtaji upo tayari 1.2M.

Ahsante
Mkuu ata Mimi natak nijilipue niende tunduma border nikatfe michongo ya clearing and forwarding
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana mpambanaji kwa sasa Niko Dar es Salaam nina mpango wa kwenda Mbeya kutafuta maisha rasmi.

Je, ni sehemu zipi tajwa apo juu ambazo ziko vizuri kwa fursa za kiuchumi, population nk.

NB;
  • Nina ideas kidogo za kilimo
  • Biashara hasa products za kike
  • Elimu( bachelor in social protection)
  • Spendi kuishi dar es laam na sijawai waza
  • Mtaji upo tayari 1.2M.

Msaada tafadhari.

Ahsante
Jiripulie Chunya,990,000 majogoo 66 mnada wa kila jumapili unasafirisha tenga mpaka Itumbi Migodini kwa Tsh 40,000 kwenda na kurudi bila kulala maana lazima waishe kwa siku moja na kula Tsh. 10,000 maximum na utakuwa umetumia jumla ya Tsh. 1,040,000 utawauza hao jogoo kima cha chini Tsh.25,000 kwa kuku 66 sawa na TSh.1,650,000 toa gharama unabaki na faida ya Tsh.610,000 baada ya hapo unaendelea na shughuli zako za kiujasiliamali mbali na uuzaji kuku kusubiri jumapili nyingine ukawajumue tena
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana mpambanaji kwa sasa Niko Dar es Salaam nina mpango wa kwenda Mbeya kutafuta maisha rasmi.

Je, ni sehemu zipi tajwa apo juu ambazo ziko vizuri kwa fursa za kiuchumi, population nk.

NB;
  • Nina ideas kidogo za kilimo
  • Biashara hasa products za kike
  • Elimu( bachelor in social protection)
  • Spendi kuishi dar es laam na sijawai waza
  • Mtaji upo tayari 1.2M.

Msaada tafadhari.

Ahsante
Kyela unaweza ukawa unanunua cocoa kutoka vijijini na kuuza mjini au mawese
 
Kwa biashara ya mazao kwa ukanda wa nyanda za juu kucn kama ukitulia unatusua ila ujue unaingia kwenye VITA na "vita ni vita mura" Ukiona sehem wamejaa ndugu zetu wa makete hawa lazma ujipange vizur na hzo sehem ulizotaja ndio wapo kama wote pia unaweza ukajaribu Usangu kama ni mazao kule n mpunga tu
 
Back
Top Bottom