Kuna air Arabia inaanzia nairobi 2 sharjah nauli mpaka 200 USD (return)
Mji ni huo huo Dubai sema ngozi nyeusi wengi tunakimbiliaga DEIRA kuna treni ya metro toka Airport mpaka Deira au ukipanda AIR ARABIA unashukia SHARJAH ambako ni nafuu kiasi au kama upo vizuri unaweza kuchukua taxi popote unapotaka kwenda. bei ya hoteli waweza kuangalia www.booking.com ingawa usi-book kupitia hao wanaongeza cha juu, ukishapata jina la hoteli na bei nenda kwenye website ya hoteli waandikie email au piga simu kuweka booking.
Ivi ukifika uwanja Wa ndege unaweza kumkuta mkalimani na kukutembeza kokote kwenye maduka na wanakuwaga waaminifu?
Ridculouz Dubai ukifanya kazi hukatwi kodi ndo raha yake.
duuu assee hii hali ingekuwepo hivi mtaa wa Congo k/koo pale, mbona tungekuwa tunakunywa hadi supu.Unawezanunua mzigo ukautoa dukani ukauweka nje na kesho ukaukuta
Dubai imeharibiwa na wanaija ndo vibaka kule
Biashara za huko tafta watu mchangie ndo zinafaida
Ondoa hofu. Dubai ni crime free city. Mwezi wa 9 nilienda na rafiki yangu alisahau wallet kwenye taxi baada ya siku 3 walimrudishia bila kupungua hata noti mojaUsalama vp?
Minha Bazar mtaa wa maduka ya bei poa kabisaSio lazima upakie cont zima kama mzigo wako mdogo unaweza kutuma loose cargo royal marine au yule jamaa wa home center inaitwa door to door ni rahisi sana wewe unakuja chukua mzigo wako dar anafanya kila kitu kwa uzoefu wangu wa dubei nakushauri usiende deira ni cheap quality nenda sehemu inaitwa dragon mart. Nje kidogo ya mji hapo utapata product zote hasa za china ukitaka sharjah vitu bei juu sana kuwa mwangalifu sana kuna watu watakutembeza. Na kupata comm zao dubei sio cheap county ukipata mwenyeji mwaminifu utaenjoy