Nataka kwenda Dubai, ni bei gani kufika?

Ihwa jnr

Member
Feb 4, 2014
19
14
Naomba kujua nauli ya kwenda na kurudi Dubai na je kule ni kweli bidhaa za electronics zinapatikana kwa bei rahisi kidogo ukilinganisha na huku kwetu?:shock:

Candid upo sawa kabisa lakini kwa Arabuni nadhani ni tofauti kidogo,kipindi cha summer ni summer kweli ata wafanyakazi wa hotelini wanaombwa kuchukua likizo maana hakuna wageni,sasa kipindi hicho ticket zinakuwa cheap sana,nakumbuka mwaka jana nili invite rafiki kuja kutembea tulitumia Etihad airline Nairobi-Abu dhabi ilikuwa $300 two ways na Visa ya mwezi mzima $80,lakini kwa wazoefu hawanunui mzigo Dubai wananunua Sharjah ambayo ni nje kidogo ya Dubai..Lakini fanya uchunguzi wa nini unachotaka kununua na kodi yake kwa Tz.

Mimi kwa mda mrefu sana huku sijawai kuona wafanyabiashara wa kongo au west afrika wakiwa mmojammoja,siku zote wanaungana na kuwa kundi la watu kama saba na kuendelea,faida yake ni kuwa wananunua mzigo mkubwa kwa pamoja hivyo wanapata punguzo kubwa(factory price)faida nyingine ni kwenye hoteli wanazofikia ambazo ni maalumu kwa wafanyabiashara vyumba vinakuwa cheaper maana wana share,faida nyingine ni pindi wanapotuma mzigo,container la futi 20 kulisafirisha toka Dubai mpaka Tz ni $1700 hawa jamaa uchukua container zima na kuweka vitu vyao sasa utakuta wanachanga kama $300 kila mmoja na mzigo unakuwa safe,faida nyingine ni kwenye ushuru,hasara pekee wanayoipata ni mzigo wao unakuwa unafanana kama wale wafanyabiashara wa nguo kariakoo ila wanapata faida kubwa sana.

Hivyo nakushauri tafuta mtu mwenye biashara kama yako ili muungane biashara ya kusafiri nje kwa peke yako ni nzuri lakini ni nzuri zaidi kama ukiungana...Two heads are better than one...Nikupe mfano mmoja niliwaikukutana na kijana wa ki TZ akaniomba nimwoshe wapi atapata parfume nikampeleka dukani kufika pale akaomba apewe pcs 80 bei aliyopewa haikuwa nzuri lakini angekuwa na vijana wenzake at least watatu wangeitaji pcs 250 wao ndio wangepanga bei ya zile parfume,

Ukiwa peke yako taxi utakodi peke yako na siti zote za nyuma utazilipia,utapanga chumba ambacho mngekaa watatu lakini ukiwa peke yako ni shiiidaaa unless una mtaji mkubwa na uzoefu....

ukifika Dubai nitafute +971504374387
 
Naomba kujua nauli ya kwenda na kurudi Dubai na je kule ni kweli bidhaa za electronics zinapatikana kwa bei rahisi kidogo ukilinganisha na huku kwetu?:shock:

Inategemea na airline..zingine ni cheap na nyingine zipo juu,$800 inatosha kwa nauli,tatizo fanya utafiti wa ushuru,electronics zipo cheap lakini chunguza tax ilivyo huko Tz.Wazoefu wengi uwa wanasubiri kipindi cha sale(punguzo)wakati maduka yanasafisha mzigo wa zamani na kuweka mpya.mwezi wa tano au wa sita ni mzuri sana maana nauli zinakuwa chini,hoteli zinakuwa chini na bidhaa zinakuwa chini kutokana na joto.Narudia chunguza ushuru wa Tz maana uwa haupo stable,ongea na agent mzuri au mtu aliyewaikusafirisha mizigo.
 
Hello...Qatar ni kama usd 700 na Emirates 800..Electronics ni cheap sana pale Deira...ukifika airport utapata tax watakupeleka hotel na hapo deira ni maduka tupu utapata cheap sana.
 
uploadfromtaptalk1392327036000.jpg
 
Inategemea na airline..zingine ni cheap na nyingine zipo juu,$800 inatosha kwa nauli,tatizo fanya utafiti wa ushuru,electronics zipo cheap lakini chunguza tax ilivyo huko Tz.Wazoefu wengi uwa wanasubiri kipindi cha sale(punguzo)wakati maduka yanasafisha mzigo wa zamani na kuweka mpya.mwezi wa tano au wa sita ni mzuri sana maana nauli zinakuwa chini,hoteli zinakuwa chini na bidhaa zinakuwa chini kutokana na joto.Narudia chunguza ushuru wa Tz maana uwa haupo stable,ongea na agent mzuri au mtu aliyewaikusafirisha mizigo.

Kuhusu punguzo kuwapo na clearance sale nakubaliana nawe, lakini kuhusu cheap tickets kipindi cha summer umechanganya. Kipindi hiki ndicho tiketi za ndege ni nafuu kuliko kipindi cha summer po pote duniani na mashirika ya ndege kimataifa gharama za ticket ni universal. Kipindi hiki tiketi ni nafuu kwa sababu ya ushindani kwa vile abiria wachache, hii ni kwa sababu ya demand and supply. Summer tiketi ni ghali sababu abiria ni wengi kuliko ndege za kuwasafirisha, ndio maana wanadengua na kupandisha bei. Sawa na kipindi cha Christmas na Mwaka mpya gharama za kwenda Moshi na Arusha ni juu sababu magari machache lakini abiria wengi, hivi wenye magari hudengua na kupandisha nauli kipindi cha mavuno. Nilisafiri kwa ndege November toka Ethiopia hadi DC nilikuwa siti tatu peke yangu na tiketi nilipata kwa bei chini ya $1000. Nilitumia kama kitanda bila upinzani hadi chakula nikasahau kula.

Kama unaenda kununua siku hizi ni bora maana usafiri gharama ni chini, hivyo hata kama bidhaa bei itakuwa ni juu kidogo itakuwa imeshafidiwa na punguzo la cheap airticket.
 
Kuhusu punguzo kuwapo na clearance sale nakubaliana nawe, lakini kuhusu cheap tickets kipindi cha summer umechanganya. Kipindi hiki ndicho tiketi za ndege ni nafuu kuliko kipindi cha summer po pote duniani na mashirika ya ndege kimataifa gharama za ticket ni universal. Kipindi hiki tiketi ni nafuu kwa sababu ya ushindani kwa vile abiria wachache, hii ni kwa sababu ya demand and supply. Summer tiketi ni ghali sababu abiria ni wengi kuliko ndege za kuwasafirisha, ndio maana wanadengua na kupandisha bei. Sawa na kipindi cha Christmas na Mwaka mpya gharama za kwenda Moshi na Arusha ni juu sababu magari machache lakini abiria wengi, hivi wenye magari hudengua na kupandisha nauli kipindi cha mavuno. Nilisafiri kwa ndege November toka Ethiopia hadi DC nilikuwa siti tatu peke yangu na tiketi nilipata kwa bei chini ya $1000. Nilitumia kama kitanda bila upinzani hadi chakula nikasahau kula.

Kama unaenda kununua siku hizi ni bora maana usafiri gharama ni chini, hivyo hata kama bidhaa bei itakuwa ni juu kidogo itakuwa imeshafidiwa na punguzo la cheap airticket.

Candid upo sawa kabisa lakini kwa Arabuni nadhani ni tofauti kidogo,kipindi cha summer ni summer kweli ata wafanyakazi wa hotelini wanaombwa kuchukua likizo maana hakuna wageni,sasa kipindi hicho ticket zinakuwa cheap sana,nakumbuka mwaka jana nili invite rafiki kuja kutembea tulitumia Etihad airline Nairobi-Abu dhabi ilikuwa $300 two ways na Visa ya mwezi mzima $80,lakini kwa wazoefu hawanunui mzigo Dubai wananunua Sharjah ambayo ni nje kidogo ya Dubai..Lakini fanya uchunguzi wa nini unachotaka kununua na kodi yake kwa Tz.

Mimi kwa mda mrefu sana huku sijawai kuona wafanyabiashara wa kongo au west afrika wakiwa mmojammoja,siku zote wanaungana na kuwa kundi la watu kama saba na kuendelea,faida yake ni kuwa wananunua mzigo mkubwa kwa pamoja hivyo wanapata punguzo kubwa(factory price)faida nyingine ni kwenye hoteli wanazofikia ambazo ni maalumu kwa wafanyabiashara vyumba vinakuwa cheaper maana wana share,faida nyingine ni pindi wanapotuma mzigo,container la futi 20 kulisafirisha toka Dubai mpaka Tz ni $1700 hawa jamaa uchukua container zima na kuweka vitu vyao sasa utakuta wanachanga kama $300 kila mmoja na mzigo unakuwa safe,faida nyingine ni kwenye ushuru,hasara pekee wanayoipata ni mzigo wao unakuwa unafanana kama wale wafanyabiashara wa nguo kariakoo ila wanapata faida kubwa sana.

Hivyo nakushauri tafuta mtu mwenye biashara kama yako ili muungane biashara ya kusafiri nje kwa peke yako ni nzuri lakini ni nzuri zaidi kama ukiungana...Two heads are better than one...Nikupe mfano mmoja niliwaikukutana na kijana wa ki TZ akaniomba nimwoshe wapi atapata parfume nikampeleka dukani kufika pale akaomba apewe pcs 80 bei aliyopewa haikuwa nzuri lakini angekuwa na vijana wenzake at least watatu wangeitaji pcs 250 wao ndio wangepanga bei ya zile parfume,

Ukiwa peke yako taxi utakodi peke yako na siti zote za nyuma utazilipia,utapanga chumba ambacho mngekaa watatu lakini ukiwa peke yako ni shiiidaaa unless una mtaji mkubwa na uzoefu....

ukifika Dubai nitafute +971504374387
 
Lucky sabasaba mimi natafuta tiles kwa matumizi binafsi nasikia huko Dubai zinapatikana kwa bei rahisi. Naweza omba msaada kwako kuhusu tiles?
 
Lucky sabasaba mimi natafuta tiles kwa matumizi binafsi nasikia huko Dubai zinapatikana kwa bei rahisi. Naweza omba msaada kwako kuhusu tiles?

Tiles na vifaa vya ujenzi kwa ujumla ni cheap sana na zipo za nchi mbalimba,box la grade A za china zipo 13 ndani ya box ni tsh 2800 na za India ni 3200 kwa box,kuna huyu bwana nilinunua kwake wawezapata maelezo zaidi mhfaraj@emirates.net.ae tel +97142268584
 
Na je unaweza kununua mzigo na ukaupiga kwenye begi na ukaja nao?

Kuna watu wanafanya hivyo airline kama KQ wanaruhusu kg 30,zinazozidi utalipia..ukifika Dar unatenga 'Chai' kidogo kwa wale wakaguzi pale airport uwa wana vijana wao ambao wanajifanya kukusaidia kubeba mzigo wako kwenye toroli akikutoa nje unampatia chake ndio wanavyofanya.Hii ni njia cheap lakini kwa mzigo mdogo kama 60kg
 
Kuna watu wanafanya hivyo airline kama KQ wanaruhusu kg 30,zinazozidi utalipia..ukifika Dar unatenga 'Chai' kidogo kwa wale wakaguzi pale airport uwa wana vijana wao ambao wanajifanya kukusaidia kubeba mzigo wako kwenye toroli akikutoa nje unampatia chake ndio wanavyofanya.Hii ni njia cheap lakini kwa mzigo mdogo kama 60kg



Tunashukuru kwa majibu mazuri. Sasa sijui tuanzie wapi sisi wajasiriamali, Dubai, China au Thailand. Daah!
 
Tiles na vifaa vya ujenzi kwa ujumla ni cheap sana na zipo za nchi mbalimba,box la grade A za china zipo 13 ndani ya box ni tsh 2800 na za India ni 3200 kwa box,kuna huyu bwana nilinunua kwake wawezapata maelezo zaidi mhfaraj@emirates.net.ae tel +97142268584

vp kuhusu cement, mabati, rangi, furniture etc, nikinunua huko kwa ajili ya ujenzi ukijumlisha na kodi na usafiri inaweza ikawa cheap kuliko huku??
 
vp kuhusu cement, mabati, rangi, furniture etc, nikinunua huko kwa ajili ya ujenzi ukijumlisha na kodi na usafiri inaweza ikawa cheap kuliko huku??

Nasubiria jibu la hili swali kwa hamu kubwa sana.ila kuna thread humu nilisoma kodi ya kontena la moja la mifuko ya cement ni 1.2M mpaka 3.8M,kuna mdau aliagiza kutoka Dubai cement
 
Candid upo sawa kabisa lakini kwa Arabuni nadhani ni tofauti kidogo,kipindi cha summer ni summer kweli ata wafanyakazi wa hotelini wanaombwa kuchukua likizo maana hakuna wageni,sasa kipindi hicho ticket zinakuwa cheap sana,nakumbuka mwaka jana nili invite rafiki kuja kutembea tulitumia Etihad airline Nairobi-Abu dhabi ilikuwa $300 two ways na Visa ya mwezi mzima $80,lakini kwa wazoefu hawanunui mzigo Dubai wananunua Sharjah ambayo ni nje kidogo ya Dubai..Lakini fanya uchunguzi wa nini unachotaka kununua na kodi yake kwa Tz.Mimi kwa mda mrefu sana huku sijawai kuona wafanyabiashara wa kongo au west afrika wakiwa mmojammoja,siku zote wanaungana na kuwa kundi la watu kama saba na kuendelea,faida yake ni kuwa wananunua mzigo mkubwa kwa pamoja hivyo wanapata punguzo kubwa(factory price)faida nyingine ni kwenye hoteli wanazofikia ambazo ni maalumu kwa wafanyabiashara vyumba vinakuwa cheaper maana wana share,faida nyingine ni pindi wanapotuma mzigo,container la futi 20 kulisafirisha toka Dubai mpaka Tz ni $1700 hawa jamaa uchukua container zima na kuweka vitu vyao sasa utakuta wanachanga kama $300 kila mmoja na mzigo unakuwa safe,faida nyingine ni kwenye ushuru,hasara pekee wanayoipata ni mzigo wao unakuwa unafanana kama wale wafanyabiashara wa nguo kariakoo ila wanapata faida kubwa sana.Hivyo nakushauri tafuta mtu mwenye biashara kama yako ili muungane biashara ya kusafiri nje kwa peke yako ni nzuri lakini ni nzuri zaidi kama ukiungana...Two heads are better than one...ukifika Dubai nitafute +971504374387

We jamaa safi sana, toka nijiunge jf ndio nakuona mtu kama wewe mkuu! Mungu akuzidishie
 
Back
Top Bottom