Nataka kwenda Dubai, ni bei gani kufika?

Sorry sikuliona swali lako,maduka ya vipodozi yapo Deira mtaa wa Gold souq hapo ndipo nawakuta wafanya biz wa Kariakoo waliomo kwenye biz hii,niliwaikununua(lakini ni siku nyingi kidogo)ni cheap na havina kodi kubwa kwa DSM.Mfano dazani ya Cocoa butler lotion inauzwa bei ambayo ni kama Tsh 2100 ambazo madukani kwa Dar zinauzwa kama 7500-10000,nikipata details nzuri ntakupa.

nachukua no yako kwanza afu tutawasiliana kka pia natanguliza asante lucky sabasaba
 
Candid upo sawa kabisa lakini kwa Arabuni nadhani ni tofauti kidogo,kipindi cha summer ni summer kweli ata wafanyakazi wa hotelini wanaombwa kuchukua likizo maana hakuna wageni,sasa kipindi hicho ticket zinakuwa cheap sana,nakumbuka mwaka jana nili invite rafiki kuja kutembea tulitumia Etihad airline Nairobi-Abu dhabi ilikuwa $300 two ways na Visa ya mwezi mzima $80,lakini kwa wazoefu hawanunui mzigo Dubai wananunua Sharjah ambayo ni nje kidogo ya Dubai..Lakini fanya uchunguzi wa nini unachotaka kununua na kodi yake kwa Tz.Mimi kwa mda mrefu sana huku sijawai kuona wafanyabiashara wa kongo au west afrika wakiwa mmojammoja,siku zote wanaungana na kuwa kundi la watu kama saba na kuendelea,faida yake ni kuwa wananunua mzigo mkubwa kwa pamoja hivyo wanapata punguzo kubwa(factory price)faida nyingine ni kwenye hoteli wanazofikia ambazo ni maalumu kwa wafanyabiashara vyumba vinakuwa cheaper maana wana share,faida nyingine ni pindi wanapotuma mzigo,container la futi 20 kulisafirisha toka Dubai mpaka Tz ni $1700 hawa jamaa uchukua container zima na kuweka vitu vyao sasa utakuta wanachanga kama $300 kila mmoja na mzigo unakuwa safe,faida nyingine ni kwenye ushuru,hasara pekee wanayoipata ni mzigo wao unakuwa unafanana kama wale wafanyabiashara wa nguo kariakoo ila wanapata faida kubwa sana.Hivyo nakushauri tafuta mtu mwenye biashara kama yako ili muungane biashara ya kusafiri nje kwa peke yako ni nzuri lakini ni nzuri zaidi kama ukiungana...Two heads are better than one...Nikupe mfano mmoja niliwaikukutana na kijana wa ki TZ akaniomba nimwoshe wapi atapata parfume nikampeleka dukani kufika pale akaomba apewe pcs 80 bei aliyopewa haikuwa nzuri lakini angekuwa na vijana wenzake at least watatu wangeitaji pcs 250 wao ndio wangepanga bei ya zile parfume,ukiwa peke yako taxi utakodi peke yako na siti zote za nyuma utazilipia,utapanga chumba ambacho mngekaa watatu lakini ukiwa peke yako ni shiiidaaa unless una mtaji mkubwa na uzoefu....ukifika Dubai nitafute +971504374387

Shule si darasani tu asante kwa ushauri murua.
 
Naomba kujua nauli ya kwenda na kurudi Dubai na je kule ni kweli bidhaa za electronics zinapatikana kwa bei rahisi kidogo ukilinganisha na huku kwetu?:shock:



Habari,

Wakuu kuna mtu yyte anaeweza kutupa mrejesho kuhusu biashara ya cement wengi wetu tulikua na hamu ya kufanya hii biashara kipindi cha nyuma.

Lakini pia me mwenzenu kila nikipiga mahesabu ambayo napewa hapa bado naona faida ni ndogo sana ama mahesabu ya biashara yananipiga chenga mfano kwa hesabu ambazo zimetolewa hapa:
dollar 1=1700
Cement kununua ni 3900*800= 3,120,000
kupakia ni $2950 sawa na 5,015,000
utoaji tuseme 2,500,000(estimation)
ticket $750 tuseme nisawa na 1,275,000
hotel hapo na matumizi labda ni $300 sawa na 510,000
hesabu ya hapo juu ni ya 40" ambayo
TOTAL =12,420,000/800 mfuko unakusimamia kama 15,520 naona hamna faida bali ni hasara hebu niwekeni sawa wakuu please maana nisije nikauza kibanda changu nikalala njaa
 
Habari,

Wakuu kuna mtu yyte anaeweza kutupa mrejesho kuhusu biashara ya cement wengi wetu tulikua na hamu ya kufanya hii biashara kipindi cha nyuma.

Lakini pia me mwenzenu kila nikipiga mahesabu ambayo napewa hapa bado naona faida ni ndogo sana ama mahesabu ya biashara yananipiga chenga mfano kwa hesabu ambazo zimetolewa hapa:
dollar 1=1700
Cement kununua ni 3900*800= 3,120,000
kupakia ni $2950 sawa na 5,015,000
utoaji tuseme 2,500,000(estimation)
ticket $750 tuseme nisawa na 1,275,000
hotel hapo na matumizi labda ni $300 sawa na 510,000
hesabu ya hapo juu ni ya 40" ambayo
TOTAL =12,420,000/800 mfuko unakusimamia kama 15,520 naona hamna faida bali ni hasara hebu niwekeni sawa wakuu please maana nisije nikauza kibanda changu nikalala njaa

duu kumbe bei sawa na tz bongo tu..
 
duu kumbe bei sawa na tz bongo tu..

Mkuu Ndetichia,

Sifikirii kama bei inaweza kua sawa na hapa maana bag ya cement ya 50kg inasimama kwa 3900*400 or 800 bei ni nzuri sana ila kuna sehemu lazima nakosea ndonataka watu wa biashara ambao wanafanya hii business ama walojaribu wanikosoe ama waone wapi nakosea. Asante pia kwa mchango wako
 
Safi sana kaka nimependa sana maelekezo yako japo mm sina mpango wa kufika dubai kwa sasa ila ntakapo kuwa tayar ntakutafuta naomba nitumie email yako hapa mindamambo@gmail.com
 
Hii posti ni yazamani ngoja tuizimue . tatizo watu waliofanikiwa kwenda awapo na kama wapo watupe mlegesho
 
Naomba kujua nauli ya kwenda na kurudi Dubai na je kule ni kweli bidhaa za electronics zinapatikana kwa bei rahisi kidogo ukilinganisha na huku kwetu?:shock:
ipo dubai ndogo zanzibar nauli ya kwenda dubai ya zanzibar ni rahisi sana na pia vitu vya electronics ni rahisi sanaaaaaaa
 
Du!mkuu nakuaona km mtu aloshushwa toka mbingun kuna kutusaidia sie maskin,VP mkuu kuusu biashara ya nywere za like mfano mawiving,rasta na mengineyo uko yanapatkana pia!
 
Du!mkuu nakuaona km mtu aloshushwa toka mbingun kuna kutusaidia sie maskin,VP mkuu kuusu biashara ya nywere za like mfano mawiving,rasta na mengineyo uko yanapatkana pia!
Hebu kwanza futa dhambi uliyosema kua nimeshushwa mbinguni pili ukitaka nywele za bandia nenda India
 
Nalo neno we Lin unapanga kwenda km ni mwishon mwa mwez wa sita sema tuwasiliane mkuu.
 
Demand ya mbao ni kubwa sana,kuna maduka mengi sana yanayouza mbao soko kubwa ni mbao toka Malaysia(japo si nzuri kama zetu) lakini ukitafuta wanunuzi wapo wengi sana,kuna wakenya wana supply nyasi Dubai & Oman soko ni kubwa pia,jaribu namba hii +97143435754 wanaitwa Meshrakh wana deal na mbao.Kikubwa watakuomba sample baada ya hapo kazi kwako....good lucky.

Endapo nitataka kuleta chakula dubai, mfano matunda, nafaka, maziwa na nyama ya kuku na ng'ombe natakiwa kufuata utaratibu gani? Soko lipoje?
 
Candid upo sawa kabisa lakini kwa Arabuni nadhani ni tofauti kidogo,kipindi cha summer ni summer kweli ata wafanyakazi wa hotelini wanaombwa kuchukua likizo maana hakuna wageni,sasa kipindi hicho ticket zinakuwa cheap sana,nakumbuka mwaka jana nili invite rafiki kuja kutembea tulitumia Etihad airline Nairobi-Abu dhabi ilikuwa $300 two ways na Visa ya mwezi mzima $80,lakini kwa wazoefu hawanunui mzigo Dubai wananunua Sharjah ambayo ni nje kidogo ya Dubai..Lakini fanya uchunguzi wa nini unachotaka kununua na kodi yake kwa Tz.Mimi kwa mda mrefu sana huku sijawai kuona wafanyabiashara wa kongo au west afrika wakiwa mmojammoja,siku zote wanaungana na kuwa kundi la watu kama saba na kuendelea,faida yake ni kuwa wananunua mzigo mkubwa kwa pamoja hivyo wanapata punguzo kubwa(factory price)faida nyingine ni kwenye hoteli wanazofikia ambazo ni maalumu kwa wafanyabiashara vyumba vinakuwa cheaper maana wana share,faida nyingine ni pindi wanapotuma mzigo,container la futi 20 kulisafirisha toka Dubai mpaka Tz ni $1700 hawa jamaa uchukua container zima na kuweka vitu vyao sasa utakuta wanachanga kama $300 kila mmoja na mzigo unakuwa safe,faida nyingine ni kwenye ushuru,hasara pekee wanayoipata ni mzigo wao unakuwa unafanana kama wale wafanyabiashara wa nguo kariakoo ila wanapata faida kubwa sana.Hivyo nakushauri tafuta mtu mwenye biashara kama yako ili muungane biashara ya kusafiri nje kwa peke yako ni nzuri lakini ni nzuri zaidi kama ukiungana...Two heads are better than one...Nikupe mfano mmoja niliwaikukutana na kijana wa ki TZ akaniomba nimwoshe wapi atapata parfume nikampeleka dukani kufika pale akaomba apewe pcs 80 bei aliyopewa haikuwa nzuri lakini angekuwa na vijana wenzake at least watatu wangeitaji pcs 250 wao ndio wangepanga bei ya zile parfume,ukiwa peke yako taxi utakodi peke yako na siti zote za nyuma utazilipia,utapanga chumba ambacho mngekaa watatu lakini ukiwa peke yako ni shiiidaaa unless una mtaji mkubwa na uzoefu....ukifika Dubai nitafute +971504374387
Gharama ya kutoa kontena bandarini ni bei gani?
 
Wakuu mm naenda dubai Juni mwishoni nafikiaga Deira toka airport nadandia treni Baniyas station pale natafuta hotel cheap 30 USD/night.
 
Back
Top Bottom