Nataka kwenda Dubai, ni bei gani kufika?

Nataka kwenda Dubai, ni bei gani kufika?

mkuu lucky sabasaba nimependa sana maelezo uliyoyatoa upo smart sana straight forward ata kwa wengine ambao hatujafikia level hizo ila inatupa mwanga mzuri wa kujua kinachoendelea na hapa ndio umuhimu wa jf unapoonekana huwezi kupata mtu kirahisi akakupa info za kutosha na kueleweka kama zako!! Keep it up bro na ubarikiwe sana sana!!!
 
mkuu lucky sabasaba nimependa sana maelezo uliyoyatoa upo smart sana straight forward ata kwa wengine ambao hatujafikia level hizo ila inatupa mwanga mzuri wa kujua kinachoendelea na hapa ndio umuhimu wa jf unapoonekana huwezi kupata mtu kirahisi akakupa info za kutosha na kueleweka kama zako!! Keep it up bro na ubarikiwe sana sana!!!

Kabisaa.Mungu akupe kila la kheri. wengine wachoyo wa ushauri
 
vp kuhusu cement, mabati, rangi, furniture etc, nikinunua huko kwa ajili ya ujenzi ukijumlisha na kodi na usafiri inaweza ikawa cheap kuliko huku??

Kwa vifaa vya ujenzi ni cheap kupita maelezo ila bati zipo juu,ndio maana siku hizi Tz utakuta mtu kajenga nyumba boma tu akaliacha,akaja Dubai kununua finishing material zote mpaka dirisha za aluminium utakalouziwa kwa tsh 300000 huku utalipata likiwa complete kwa tsh 42,000/rangi nyingi tunazotumia Tz zimetengenezwa arabuni very cheap.Tiles,sinks etc Furniture ndio kabisaa kuna kabati nilituma kuzunguka kariakoo nilikuta ni tsh 850,000 sikuamini macho yangu mimi nilinunua chini ya 250,000/,vifaa vya ujenzi havina ushuru mkubwa..isipokuwa cement ndio unatakiwa kukumbuka kuomba cheti cha ubora ili ikifika Tz Tra wasikusumbue,na cement wanaopata faida zaidi ni wafanyabiashara maana wakiweka kwa container kubwa ata wakitozwa ushuru mkubwa na wakauza kila mfuko kwa Tsh 8,500/ bado wana faida.vifaa vya umeme ndio kabisa mwaka jana nilinunua bunda la waya 1.5 kwa tsh 25,000..Kwa biashara ya nguo ni Thailand lakini kwa vifaa vya ujenzi,spare na electronics Dubai ni pazuri zaidi na sio mbali sana hivyo utumaji wa mzigo unachukua siku chache na gharama nafuu,kutuma container la ft 20 ni $1700 na kuna kampuni nyingine ni chini kidogo na ndani ya siku 10 mzigo upo port Dar.na kama utaki container kutuma kwa box CBM ni cheap pia.Cement nyingi inayotengenezwa Dubai sasa ina demand kubwa Qatar maana wana ujenzi mkubwa wa hotels na viwanja kwa ajiri ya world cup sasa bei imepanda wanauza tsh 3,900 kwa mfuko
 
mkuu dilisha za Pvc alminium kwa Dar sqm moja ni kama laki mbili ivi.Dubai bei zao zikoje
 
Sio lazima upakie cont zima kama mzigo wako mdogo unaweza kutuma loose cargo royal marine au yule jamaa wa home center inaitwa door to door ni rahisi sana wewe unakuja chukua mzigo wako dar anafanya kila kitu kwa uzoefu wangu wa dubei nakushauri usiende deira ni cheap quality nenda sehemu inaitwa dragon mart. Nje kidogo ya mji hapo utapata product zote hasa za china ukitaka sharjah vitu bei juu sana kuwa mwangalifu sana kuna watu watakutembeza. Na kupata comm zao dubei sio cheap county ukipata mwenyeji mwaminifu utaenjoy
 
Sio lazima upakie cont zima kama mzigo wako mdogo unaweza kutuma loose cargo royal marine au yule jamaa wa home center inaitwa door to door ni rahisi sana wewe unakuja chukua mzigo wako dar anafanya kila kitu kwa uzoefu wangu wa dubei nakushauri usiende deira ni cheap quality nenda sehemu inaitwa dragon mart. Nje kidogo ya mji hapo utapata product zote hasa za china ukitaka sharjah vitu bei juu sana kuwa mwangalifu sana kuna watu watakutembeza. Na kupata comm zao dubei sio cheap county ukipata mwenyeji mwaminifu utaenjoy
mwenyeji tunaye,si ni huyu sabasaba.
 
Kwel hata me mwenyew nimemuelewa so nice ila vijana kwet changamto kubwa ni mitaji tu-kep it up mkuu
 
Mkuu inatia moyo kuwa na watu waungwana kama wewe.
 
Dubai.....i will be there very soon kwa anayetaka kuongozana na mini ani pm
 
Kwa vifaa vya ujenzi ni cheap kupita maelezo ila bati zipo juu,ndio maana siku hizi Tz utakuta mtu kajenga nyumba boma tu akaliacha,akaja Dubai kununua finishing material zote mpaka dirisha za aluminium utakalouziwa kwa tsh 300000 huku utalipata likiwa complete kwa tsh 42,000/rangi nyingi tunazotumia Tz zimetengenezwa arabuni very cheap.Tiles,sinks etc Furniture ndio kabisaa kuna kabati nilituma kuzunguka kariakoo nilikuta ni tsh 850,000 sikuamini macho yangu mimi nilinunua chini ya 250,000/,vifaa vya ujenzi havina ushuru mkubwa..isipokuwa cement ndio unatakiwa kukumbuka kuomba cheti cha ubora ili ikifika Tz Tra wasikusumbue,na cement wanaopata faida zaidi ni wafanyabiashara maana wakiweka kwa container kubwa ata wakitozwa ushuru mkubwa na wakauza kila mfuko kwa Tsh 8,500/ bado wana faida.vifaa vya umeme ndio kabisa mwaka jana nilinunua bunda la waya 1.5 kwa tsh 25,000..Kwa biashara ya nguo ni Thailand lakini kwa vifaa vya ujenzi,spare na electronics Dubai ni pazuri zaidi na sio mbali sana hivyo utumaji wa mzigo unachukua siku chache na gharama nafuu,kutuma container la ft 20 ni $1700 na kuna kampuni nyingine ni chini kidogo na ndani ya siku 10 mzigo upo port Dar.na kama utaki container kutuma kwa box CBM ni cheap pia.Cement nyingi inayotengenezwa Dubai sasa ina demand kubwa Qatar maana wana ujenzi mkubwa wa hotels na viwanja kwa ajiri ya world cup sasa bei imepanda wanauza tsh 3,900 kwa mfuko

Asante sana mkuu wangu, umenifundisha mengi sana
 
Mungu akupeni baraka kwa maelezo mazuri! ipo siku nitafikia uwezo wa kufanya biashara za ukubwa huo!
 
Kwa vifaa vya ujenzi ni cheap kupita maelezo ila bati zipo juu,ndio maana siku hizi Tz utakuta mtu kajenga nyumba boma tu akaliacha,akaja Dubai kununua finishing material zote mpaka dirisha za aluminium utakalouziwa kwa tsh 300000 huku utalipata likiwa complete kwa tsh 42,000/rangi nyingi tunazotumia Tz zimetengenezwa arabuni very cheap.Tiles,sinks etc Furniture ndio kabisaa kuna kabati nilituma kuzunguka kariakoo nilikuta ni tsh 850,000 sikuamini macho yangu mimi nilinunua chini ya 250,000/,vifaa vya ujenzi havina ushuru mkubwa..isipokuwa cement ndio unatakiwa kukumbuka kuomba cheti cha ubora ili ikifika Tz Tra wasikusumbue,na cement wanaopata faida zaidi ni wafanyabiashara maana wakiweka kwa container kubwa ata wakitozwa ushuru mkubwa na wakauza kila mfuko kwa Tsh 8,500/ bado wana faida.vifaa vya umeme ndio kabisa mwaka jana nilinunua bunda la waya 1.5 kwa tsh 25,000..Kwa biashara ya nguo ni Thailand lakini kwa vifaa vya ujenzi,spare na electronics Dubai ni pazuri zaidi na sio mbali sana hivyo utumaji wa mzigo unachukua siku chache na gharama nafuu,kutuma container la ft 20 ni $1700 na kuna kampuni nyingine ni chini kidogo na ndani ya siku 10 mzigo upo port Dar.na kama utaki container kutuma kwa box CBM ni cheap pia.Cement nyingi inayotengenezwa Dubai sasa ina demand kubwa Qatar maana wana ujenzi mkubwa wa hotels na viwanja kwa ajiri ya world cup sasa bei imepanda wanauza tsh 3,900 kwa mfuko

Lucky Sabasaba, you are great man!!!
Maelezo mazuri na toshelevu..
 
Candid upo sawa kabisa lakini kwa Arabuni nadhani ni tofauti kidogo,kipindi cha summer ni summer kweli ata wafanyakazi wa hotelini wanaombwa kuchukua likizo maana hakuna wageni,sasa kipindi hicho ticket zinakuwa cheap sana,nakumbuka mwaka jana nili invite rafiki kuja kutembea tulitumia Etihad airline Nairobi-Abu dhabi ilikuwa $300 two ways na Visa ya mwezi mzima $80,lakini kwa wazoefu hawanunui mzigo Dubai wananunua Sharjah ambayo ni nje kidogo ya Dubai..Lakini fanya uchunguzi wa nini unachotaka kununua na kodi yake kwa Tz.Mimi kwa mda mrefu sana huku sijawai kuona wafanyabiashara wa kongo au west afrika wakiwa mmojammoja,siku zote wanaungana na kuwa kundi la watu kama saba na kuendelea,faida yake ni kuwa wananunua mzigo mkubwa kwa pamoja hivyo wanapata punguzo kubwa(factory price)faida nyingine ni kwenye hoteli wanazofikia ambazo ni maalumu kwa wafanyabiashara vyumba vinakuwa cheaper maana wana share,faida nyingine ni pindi wanapotuma mzigo,container la futi 20 kulisafirisha toka Dubai mpaka Tz ni $1700 hawa jamaa uchukua container zima na kuweka vitu vyao sasa utakuta wanachanga kama $300 kila mmoja na mzigo unakuwa safe,faida nyingine ni kwenye ushuru,hasara pekee wanayoipata ni mzigo wao unakuwa unafanana kama wale wafanyabiashara wa nguo kariakoo ila wanapata faida kubwa sana.Hivyo nakushauri tafuta mtu mwenye biashara kama yako ili muungane biashara ya kusafiri nje kwa peke yako ni nzuri lakini ni nzuri zaidi kama ukiungana...Two heads are better than one...ukifika Dubai nitafute +971504374387

Safi sana kwa maelezo mazuri; wewe ni mtu mungwana sana
 
Tanzania hii watu wazuri tena wazalendo wapo, maneno haya hapa chini yametoka kwa mzalendo halisi, asante sana lucky.
Kwa vifaa vya ujenzi ni cheap kupita maelezo ila bati zipo juu,ndio maana siku hizi Tz utakuta mtu kajenga nyumba boma tu akaliacha,akaja Dubai kununua finishing material zote mpaka dirisha za aluminium utakalouziwa kwa tsh 300000 huku utalipata likiwa complete kwa tsh 42,000/rangi nyingi tunazotumia Tz zimetengenezwa arabuni very cheap.Tiles,sinks etc Furniture ndio kabisaa kuna kabati nilituma kuzunguka kariakoo nilikuta ni tsh 850,000 sikuamini macho yangu mimi nilinunua chini ya 250,000/,vifaa vya ujenzi havina ushuru mkubwa..isipokuwa cement ndio unatakiwa kukumbuka kuomba cheti cha ubora ili ikifika Tz Tra wasikusumbue,na cement wanaopata faida zaidi ni wafanyabiashara maana wakiweka kwa container kubwa ata wakitozwa ushuru mkubwa na wakauza kila mfuko kwa Tsh 8,500/ bado wana faida.vifaa vya umeme ndio kabisa mwaka jana nilinunua bunda la waya 1.5 kwa tsh 25,000..Kwa biashara ya nguo ni Thailand lakini kwa vifaa vya ujenzi,spare na electronics Dubai ni pazuri zaidi na sio mbali sana hivyo utumaji wa mzigo unachukua siku chache na gharama nafuu,kutuma container la ft 20 ni $1700 na kuna kampuni nyingine ni chini kidogo na ndani ya siku 10 mzigo upo port Dar.na kama utaki container kutuma kwa box CBM ni cheap pia.Cement nyingi inayotengenezwa Dubai sasa ina demand kubwa Qatar maana wana ujenzi mkubwa wa hotels na viwanja kwa ajiri ya world cup sasa bei imepanda wanauza tsh 3,900 kwa mfuko
 
Back
Top Bottom