The Dick
Member
- Dec 4, 2010
- 46
- 0
Mark nakukumbuka sana kwa umahiri wako wa kuongea kiswahili na kimasai,
da Husninyo jaribu bahati yako kwa Mr Mark (The Dic), wadhungu ni nadra sana kuingia humu JF.
Tell her ma men,cause she doesnt believe me.
Mark nakukumbuka sana kwa umahiri wako wa kuongea kiswahili na kimasai,
da Husninyo jaribu bahati yako kwa Mr Mark (The Dic), wadhungu ni nadra sana kuingia humu JF.
ha ha ha ha! Ako baki nacho mwenyewe.
naogopa kisije kikajitoa muhanga. Lol!
sio mnene, nina elimu na ninajiweza.
sidhani kama una elimu: Huwezi kushobokea mtoto chotara siye na baba! Ni haki ya mtoto kumjua baba yake, na mtoto si mali yako kama property. Hayo mawazo yako yana ulimbukeni ndani yake.
Kwanza unazngua watu tu wewe, ni mwanaume-tena mwanafunzi......! Soma kwanza.
Sidhani kama una elimu: Huwezi kushobokea mtoto chotara siye na baba! Ni haki ya mtoto kumjua baba yake, na mtoto si mali yako kama property. Hayo mawazo yako yana ulimbukeni ndani yake.
Kwanza unazngua watu tu wewe, ni mwanaume-tena mwanafunzi......! Soma kwanza.
sio kweli. Nashangaa kwanini watu hawachangii hoja wanachangia mtoa hoja. Eti brandon jf ndio inataka hivyo au?
nikipata tu kitambi nakustua ili uanze kuandaa zawadi. Kape hi ka kwako. Mwambie namtaftia wa kucheza nae.
dada acha ushamba! That is not good sound at all.
Why dont u say just unataka mtoto tu? Badala yake unasema chotara?
Je unaukataa uhalisia wako? Unawalaumu wazazi wako kwa kukuzaa black?
Unalizarau bara la africa na watu wake? Acha hizo mtu wangu! We sema unataka mtoto basi.
Nyie ndiye mnaowapandisha chati wazungu vishuka,wahindi na waarabu.
hayo unayasema wewe. Una uhuru wa kuongea ila sa nyingine kukaa kimya ni busara kuliko kuongea.