kweli? Nitumie web nicheki details zaidi.
uki google tu,utapata
kweli? Nitumie web nicheki details zaidi.
Mark nakukumbuka sana kwa umahiri wako wa kuongea kiswahili na kimasai,Mbona hunitumii PM au huamini kama mimi ni mzungu kweli?Jina langu naitwa Mark TenHoove nimekaa Serengeti miaka 15 nikitibu Simba walipokuwa wakiugua ugonjwa wa Malale.Kwa sasa nimerudi kwetu lakini usiogope popote ulipo nitakufuata nikuondolee shida yako na I have registered today after seeing your post.PM please.
napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
Husninyo said:how and where do i get it?
katika wana wake ambao hawana huruma we wakwanza....yaani unadhani uwezo wako na mbwembwe zako zitaweza kuzidi uwepo wa baba kwenye maisha ya mtoto?
Where are you? If in Europe or US,sperm banks are to be found in special labs. Just use google in finding the nearest sperm bank. If in TZ,the nearest bank I heard is in Nairobi. Otherwise the idea of sperm bank would be redundant.
sio hivyo hash, mbona kuna watu wamezaliwa na kulelewa bila baba kwasababu moja au nyingine na makuzi yao yameenda fresh tu. Usinifikirie vibaya. Hivyo ndivyo moyo wangu unapenda.
Mi mzungu ni PM tujadili ili nione nitakusaidiaje
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
baba yake atakuwepo ila hakutakuwa na mawasiliano.
Hao watoto wanaitwa point 5, kwanza naturally huwa wana sychological instability ambayo inatokana na kukosa identity (inachukua muda sana
kujitambua na kuridhika kama yeye ni nani) kwenye waafrika hayupo wala uzungu (mf: Obama si mwafrika wala si mzungu). Kwako wewe
itakuwa furaha kuwa na watoto wenye rangi tofauti na yako lakini kwa mtoto huwa ni mateso makubwa sana kisaikolojia. Sasa wewe
wa kwako atakuwa mateso zaidi (ya kisaikolojia, manake umesema pesa unazo) kwakuwa hata baba yake hatamuona. Acha ubinafsi kwa
kufikiria namna ya kujipa furaha yako bila kufikiria hatma ya mtoto utakaye mzaa!
NB: Siyo africast wote watakuwa na bahati kama Obama. Mwisho nakushauri ingia kwenye maombi na umshirikishe Mungu katika huo mpango wako.