Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
Pole!
Hofu yangu ni kwa huyo mtoto "chotara".....kwa jinsi unavyojichejua, hata kweli ukampata nahofia hautaishi naye kwa amani kwa sababu wewe unataka wa kummiliki!!!
Hautaki aje kumjua baba yake mzazi, unataka awe wako tu,nina mashaka kama utamruhusu hatakuoa na kuhama kwako...huenda hata ukachimba mkwara kuwa na demu ukawa unamgea wewe! Nahofia utakibaka hiko kitoto, wana harakati mko wapi jamani!
sio mnene, nina elimu na ninajiweza.
Watu wengine Biology hawajasoma mpaka wamalize syllabus ya F4? Nani aliyekueleza kwamba ukizaa na mzungu LAZIMA mtoto atakuwa half cast? Hujui kwamba anaweza kuwa mweusi tu kama wewe? Au unataka sifa tu kwamba umelala na mzungu?
Maybe elimu unayo, lakini nadhani taaluma hauna. Kwanza, sijui wewe ni dini gani? Na kama hiyo dini yako inaruhusu mtoto wa nje ya ndoa (haramu). Unatangaza kuwa unataka fanya haramu uzalishwe, halafu Mungu wako utamueleza nini? Huyo mtoto utamueleza nini akikuwa na kujuwa kuwa ni product ya haramu.
Nakuomba achana na fikra Potovu na rudi kwa mola wako, tafuta mume wa halali na awe kabila lolote lile, hata huyo mzungu.
Usijifikirie matamanio yako tu, umfikirie na huyo mtoto umtakae, ataathirika ki saikolojia katika mazingira haya.
Nadhani umeelewa kwa nini nikakuambia huna taaluma.
pole sana wazungu wanajua sana kufuatilia watoto wao...
sana sana labda umpige bao halafu usimwambie..
maana akijua tu unamtoto wake halafu hujamwambia ni balaa buluu....
chunga sana hilo maana watoto nao wakikua wataanza uliza mama baba yangu ni yupi au yuko wapi??
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
najua watu huwa na uchungu na damu zao ila kwa case yangu itabidi tukubaliane before.
labda niwaulize watoto waliolelewa na baba walevi sana ambao pesa yao ilikuwa inaishia kilabuni badala ya kulea familia.
Pia niwaulize watoto ambao baba alikuwa na wake 4 halafu kila mke amezaa nae watoto zaidi ya tano na kazi ya baba ikiwa ni kulima bustani.
samahani. Hebu angalia maana ya taaluma kwenye kamusi halafu uje uniambie.
Usikasirike, inaonyesha wazi wazi huna taaluma. Umeona point huyo tu. Jee, hayo mengine yanayohusu "haramu" hukuyaona? Au hukuyapenda?
Nakusihi, achana na fikra potofu za kutaka kutenda dhambi ya makusudi kabisa. Huyo mtoto umtakae ni binadam na si toy. Na unapaswa kufikiria kwanza maisha ya huyo mtoto unaempangia asimjuwe baba yake, umzae nje ya ndoa, nje ya mapenzi. Halafu unajidai una elimu, elimu gani hiyo ya uharibifu. Wenye taaluma hutumia elimu zao kutengeneza na si kuharibu.
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
husninyo, nina marafiki kadhaa watasha ambao naamini
wanaweza kukupa hicho unachotaka. sasa kama upo serious ni pm nikuunganishe
kwa hao jamaa uchague mwenyewe. nikikupa connection mimi naishia utakalofanya
huko mbele ya safari mimi simo.
poa ahsante. Ila Unakubaliana na ninachotaka kufanya? Bado naendelea kusikiliza ushauri wa watu.
labda niwaulize watoto waliolelewa na baba walevi sana ambao pesa yao ilikuwa inaishia kilabuni badala ya kulea familia.
Pia niwaulize watoto ambao baba alikuwa na wake 4 halafu kila mke amezaa nae watoto zaidi ya tano na kazi ya baba ikiwa ni kulima bustani.