Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
- Thread starter
- #41
habari,
Ukosawa kwa maoni na mawazo yako na unaweza ukaufanikiwa ukitia juhudi juu ya hilo,ila sasa kutakuwa na sababu gani ya kumnyima mtoto haki yake ya kumfahamu baba yake.
hofu yangu kama kutakuwa na mawasiliano btn baba na mtoto ipo cku baba anaweza akataka akaishi nae huko na mimi nataka nikae na baby wangu hapa hapa tz mwanzo mwisho.