Nataka kutoa fundisho kwa huyu Mzee

Nataka kutoa fundisho kwa huyu Mzee

Mkuu man up,wanaume sisi ni watu wa ajabu tunapenda kujaribu kila kitu,naweza mfananisha mwanamme na mchwa ambao huwa unajaribu kushambulia kila kitu hata jiwe.

Unaonekana wewe ni mshamba wa ndoa( samahani) bado unaishi kwa mihemko,tulia ,na huyo mkeo atakugombanisha na kila mtu,mwambie mkeo aache tabia ya umbea ,mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida,hivyo sishauri awe anakuambia kila linalojili hakika atakuua kwa presha na mwisho wa siku utagombana na kila mtu.


Mimi naamini hakuna mwanamme wa kuthubutu kumtongoza mwanamke ikiwa mwanamke atasema sitaki.huyo mke wako anasema sitaki nataka ndo maana huyo jamaa hakomi kumfuata.

Mwambie mkeo amalizane na watongozaji wake huko huko asikushirikishe,wanaume sisi wa ajabu sana,waweza kuta hata mjomba wako akataka gemu toka kwa mkeo,sasa akikwambia si atakugombanisha naye!!?
Na ndivyooo wanawakee wenyee kunielewaaa hufanyaaa kutongozwaa mwanamkee ni kituu Cha kawaidaa Cha msingi tambuaa status yako basi
 
Ambition plus

Akiiiii am speechless [emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]

Hii imenifunza pakubwa sana..eeh

Miaka minne..yaan 4 good year’s? Aisee huyo ni Professional Prostitute

Mbona kwa hiyo chats tu anaonyesha ni Malaya aliekubuhu ameoza hafai

Uwiiiiiii yaan ungeoa bomu [emoji378] [emoji378] [emoji378]lingekulipukia anytime

Ila siku zote MWENYEZI MUNGU hamfichi Mnafki ata siku 1 ataku ectia wee lakin kuna siku 1 tu utapata kuyajua yote

Dah ivi hukulazwa kweli? Ulikua kwenye wakati gani Kiongozi? Yaan I can feel the pains you have undergone through

Pole sana jaman..then ulipomkata ivyo alikua kwenye situation gan? Alijiweza ata kusema chochote kile? O.M.G[emoji33] [emoji33] [emoji33]
Huyu ni gaidi,amemkana katakata.
Anaulimi mtam sana,ametumia kauli "Tam Tam " kumkana,Amelia sana na kumpigia simu mbele yangu japo nilimkataza, "eti mpenzi wangu amekamata sms zetu,hivi mimi nina mahusiano na wewe?"

Kuna wengine wanne amewakataa pia,mmoja ni mfanyakazi mwenzie,anamjulia hali yeye kakazana kumwita dear,kila asubuh anam-chartisha kumjulia hali.

Ukitumia moyo inakula kwako.hapa ni akili mtu wangu.

Anyway nitafungua uzi wangu,nitaweka screen shot zote,maneno makali nitaya-hide.
 
Huyu ni gaidi,amemkana katakata.
Anaulimi mtam sana,ametumia kauli "Tam Tam " kumkana,Amelia sana na kumpigia simu mbele yangu japo nilimkataza, "eti mpenzi wangu amekamata sms zetu,hivi mimi nina mahusiano na wewe?"

Kuna wengine wanne amewakataa pia,mmoja ni mfanyakazi mwenzie,anamjulia hali yeye kakazana kumwita dear,kila asubuh anam-chartisha kumjulia hali.

Ukitumia moyo inakula kwako.hapa ni akili mtu wangu.

Anyway nitafungua uzi wangu,nitaweka screen shot zote,maneno makali nitaya-hide.
Hiyo ndio kanuni namba moja ya msaliti mkuu, hakuna kukubali kosa labda mpaka umfumanie kifuani mwake.
 
Kwanini usimwambie mke wako akampa block? Eti umpime kwa kweli unashangaza na hauna fikra upo kiushamba.. tu. Majirani tukisikia umeenda ushahidi tunao humu uliyoyaandika..
 
[emoji3][emoji3][emoji3]hongereni endeleeni hivyohivyo

Ila je kila anaemtongoza anakuambia au ni huyo mzee tu
Jawajui wanawake huyu. Mwanamke atakwambia anatongozwa ikiwa anamtongoza hayuko interested nae
 
Hapo mke huna ndugu yetu! Kama hamtaki huyo Mzee asingeruhusu hata kutoa namba ya simu na Wala asingeruhusu mazoea Wala kukaribisha mazungumzo! Je wwaliomtongoza na akawakubalia nao amekwambia? Mwanamke kutongozwa ni kitu Cha kawaida ila yy ndo mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa!
Halafu ugoni sio kosa kisheria ww kamvunje miguu au mikono utaenda jela na mkeo atabaki analiwa vzr! Mwambie mkeo aache ufala ajisimamie la sivyo atakugombanisha na Hadi marafiki zako kisa wanamtongoza
 
Mkuu man up,wanaume sisi ni watu wa ajabu tunapenda kujaribu kila kitu,naweza mfananisha mwanamme na mchwa ambao huwa unajaribu kushambulia kila kitu hata jiwe.

Unaonekana wewe ni mshamba wa ndoa( samahani) bado unaishi kwa mihemko,tulia ,na huyo mkeo atakugombanisha na kila mtu,mwambie mkeo aache tabia ya umbea ,mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida,hivyo sishauri awe anakuambia kila linalojili hakika atakuua kwa presha na mwisho wa siku utagombana na kila mtu.


Mimi naamini hakuna mwanamme wa kuthubutu kumtongoza mwanamke ikiwa mwanamke atasema sitaki.huyo mke wako anasema sitaki nataka ndo maana huyo jamaa hakomi kumfuata.

Mwambie mkeo amalizane na watongozaji wake huko huko asikushirikishe,wanaume sisi wa ajabu sana,waweza kuta hata mjomba wako akataka gemu toka kwa mkeo,sasa akikwambia si atakugombanisha naye!!?
Huu ndio ushauri pekee anapaswa kuchukua. Long term solution
 
Tafuta Mzee mtu mzima kitaa azungumze Naye ataelewa,kama ataendelea na huo usumbufu nikodishe nije nikufanyie kazi moja ,ya kumtia adabu
Kuna jama kampa ushauri mzuri sana. Long term solution. Atakua anatafuta wazee kila mkewe anapotongozwa? Vikao vitakua haviishi
 
Back
Top Bottom