Nataka kutoa fundisho kwa huyu Mzee

Nataka kutoa fundisho kwa huyu Mzee

Aliyesema mke wa mtu sumu hakukosea.

Ni hivi,nina miezi miwili toka nioe tena ndoa ya kanisani,mke wangu tunazungumza lugha moja (lugha ya mama) nikiwa na maana sisi wote ni kabila Moja.

Ni mwanamke tunaependana sana japo mi nimemuacha kama miaka mitano ki umri.Tabia yake na mitazamo yake ni vitu vilivyonishawishi kumuoa.

Leo ameamua kuniambia kuwa mme wangu nakupenda sana na sipo tayari kuharibu ndoa yangu nakupenda na naomba nikuambie ukweli.

Nimechoka na usumbufu wa huyu Mzee,(....) Amekuwa ananitongoza na kunitumia meseji zake za kijinga jinga na nimeshawaambia kuwa unatambua kuwa mi ni mke wa mtu,na wewe una mkeo,umemsikia mme wangu amekuja kumtongoza mkeo? Kwa nini unataka kuniharibia ndoa yangu? Hizi ni ujumbe kwenye simu ya mke wangu,

Na Leo kapiga simu mke wangu kaweka sauti kubwa Ili nimsikie vzr.Na akaniambia wewe angalia hata CCTV camera , amekuwa anakuja hapa nyumbani nimemjibu mke wangu niachie hilo suala itakuwa funzo hapa mtaani kwetu, nimemwambia mke wangu Asante kwa ujumbe ila sitamuua ila itakuwa fundisho juu yake na litaacha doa kwenye mwili wake.

Mimi simu yangu sijaweka password na mke wangu analitumia mda wotewote na nilishamwambia ukiona mwanamke ananiletea ukaribu wa kimapenzi malizana naye nitakupa ushirikiano.Nampenda sana mke wangu na sijaona mwanamke wa kunifanye niweze kumsaliti mke wangu,

Huyu Mzee nimepanga haya yafuatayo dhidi yake.

1.kupanga na mke wangu afanye kama amekubali Ili aje mpaka ndani chumbani nimkute chumbani Ili nimvunje mguu na mikono yote miwili,ushahidi ni CCTV camera itaonyesha Kila kitu maana maana nina camera ambazo ni za Siri zinazooneka na zisizoonekana kiurahisi,wazee wa misheni ngumu wananielewa.

2.nimwekee mitego ardhini ya kimesheni ajimalize yeye mwenyewe ,asubuhi polisi waje wafanye uchunguzi wa tukio maana nitakuwa kazini na kupigiwa simu kurudi nyumbani kwa tukio litalomkuta[emoji1][emoji1]

3 nitumie tu busara kwenda kumwambia acha hii tabia itakugarimu.
Mkuu, as time goes huyo utaweka password kwenye cm yako. Na utakuwa mkali pindi Mkeo akiishika.

Mark my words
 
😀😀😀hongereni endeleeni hivyohivyo

Ila je kila anaemtongoza anakuambia au ni huyo mzee tu
Wanawake washenzi Sana ,huyu jamaa anaminishwa Apo kua nakupenda Sana siwez kukusaliti kwa uyo mzee ambae ni wazi huyo mwanamke hampendi..Kuna siku atakuja kufa kwa presha akija kujua Kuna kijana wa nyumba ya jirani wa form 4 ndo anaem gongea mke wake..
 
Mkuu man up,wanaume sisi ni watu wa ajabu tunapenda kujaribu kila kitu,naweza mfananisha mwanamme na mchwa ambao huwa unajaribu kushambulia kila kitu hata jiwe.

Unaonekana wewe ni mshamba wa ndoa( samahani) bado unaishi kwa mihemko,tulia ,na huyo mkeo atakugombanisha na kila mtu,mwambie mkeo aache tabia ya umbea ,mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida,hivyo sishauri awe anakuambia kila linalojili hakika atakuua kwa presha na mwisho wa siku utagombana na kila mtu.


Mimi naamini hakuna mwanamme wa kuthubutu kumtongoza mwanamke ikiwa mwanamke atasema sitaki.huyo mke wako anasema sitaki nataka ndo maana huyo jamaa hakomi kumfuata.

Mwambie mkeo amalizane na watongozaji wake huko huko asikushirikishe,wanaume sisi wa ajabu sana,waweza kuta hata mjomba wako akataka gemu toka kwa mkeo,sasa akikwambia si atakugombanisha naye!!?
 
Pole sana ,kuna wajinga wanapenda sana kutongoza wake wa watu wanaoijiweza kwa kujidanganya kwamba wake wa wenye uwezo huwa hawaridhishwi na waume zao kisa wapo busy sana ,wao wanajifariji kwamba akimpata atampakia mkongo au kunywa energy na panadol kisha anapiga show za kibabe ili awe anaohongwa.

Cha msingi mwache aingie ndani kisha mfumanie ,wapange masela wala bangi andaa na ndomu na KY Jelly wamle kiboga iwe fundisho.
 
Uyo Mzee alipata wapi number ya Mkeo? Yeye anajua ni Mke wa Mtu kwanini anagawa number kwa Mabazazi?
Kuna biashara nilifanya naye na hii namba anayotumia mke wangu ilikuwa namba yangu,alipopiga akauliza mwenye namba Yuko wapi ,mke akamjibu mi ni mke wake,mke akamtumia namba yangu,hapo ndo alipopata namba
 
Ni wazi kabisa mkeo naye mzinguaji, sababu mbona ni swala la kawaida!?? Anakuambiaga yote!??? Within 5 years ya ndoa unafikirii ni huyo mzee pekee yake ndio amemtongoza!??

Na ww maamuzi ya kutaka kuleta balaa kwa kumvunja mzee wa watu miguu na mikono mkuu end of the days utakuja kujutia tu, cha kufanya ongea na mkeo anyooshe maelezo kwa huyo mzee basi inatosha....

Akiendelea mfuate mwambie akae mbali na mkeo, ila swala la kuchukua matukio ya movie na kuyaleta kwenye real life UTAFA!!![emoji28]
 
Busara NI njema zaidi kuliko unachotaka kufanya maana haitakufaidisha chochote mwanaume mwenzio akiwa kilema na ukute ni tegemeo.
We cha kufanya hata kama vithibitisho vipi,muite muongee kiume halafu usiamin Sana wanawake na kuwa makini Sana na mkeo ...maana ukijenga maswali ya logic kwenye scenario hiyo ni kama anajenga defence kuwa yeye si mchepukaji ili akikupiga tukio usielewe chochote.
Akili MTU wangu
 
Aliyesema mke wa mtu sumu hakukosea.

Ni hivi, nina miezi miwili toka nioe tena ndoa ya kanisani, mke wangu tunazungumza lugha moja (lugha ya mama) nikiwa na maana sisi wote ni kabila moja.

Ni mwanamke tunaependana sana japo mimi nimemuacha kama miaka mitano ki umri. Tabia yake na mitazamo yake ni vitu vilivyonishawishi kumuoa.

Leo ameamua kuniambia kuwa mume wangu nakupenda sana na sipo tayari kuharibu ndoa yangu nakupenda na naomba nikwambie ukweli.

Nimechoka na usumbufu wa huyu Mzee x, amekuwa ananitongoza na kunitumia meseji zake za kijinga jinga na nimeshawaambia kuwa unatambua kuwa mi ni mke wa mtu, na wewe una mkeo, umemsikia mume wangu amekuja kumtongoza mkeo? Kwanini unataka kuniharibia ndoa yangu? Hizi ni ujumbe kwenye simu ya mke wangu.

Na leo kapiga simu mke wangu kaweka sauti kubwa Ili nimsikie vizuri, na akaniambia wewe angalia hata CCTV camera, amekuwa anakuja hapa nyumbani. Nimemjibu mke wangu niachie hilo suala, itakuwa funzo hapa mtaani kwetu. Nimemwambia mke wangu asante kwa ujumbe, sitaua ila itakuwa fundisho juu yake na litaacha doa kwenye mwili wake.

Mimi simu yangu sijaweka password na mke wangu anaitumia muda wotewote na nilishamwambia ukiona mwanamke ananiletea ukaribu wa kimapenzi malizana naye nitakupa ushirikiano. Nampenda sana mke wangu na sijaona mwanamke wa kunifanye niweze kumsaliti mke wangu.

Huyu Mzee nimepanga haya yafuatayo dhidi yake;

1. Kupanga na mke wangu afanye kama amekubali ili aje mpaka ndani chumbani nimkute chumbani Ili nimvunje mguu na mikono yote miwili, ushahidi ni CCTV camera itaonyesha kila kitu, maana maana nina camera ambazo ni za siri zinazooneka na zisizoonekana kiurahisi, wazee wa misheni ngumu wananielewa.

2. Nimwekee mitego ardhini ya kimesheni ajimalize yeye mwenyewe, asubuhi polisi waje wafanye uchunguzi wa tukio maana nitakuwa kazini na kupigiwa simu kurudi nyumbani kwa tukio litalomkuta[emoji1][emoji1].

3. Nitumie tu busara kwenda kumwambia acha hii tabia itakugarimu.
Jiulize namba ya simu ya mkeo aliipataje, mkeo aseme ukweli kuwa wameachana
 
Wanawake washenzi Sana ,huyu jamaa anaminishwa Apo kua nakupenda Sana siwez kukusaliti kwa uyo mzee ambae ni wazi huyo mwanamke hampendi..Kuna siku atakuja kufa kwa presha akija kujua Kuna kijana wa nyumba ya jirani wa form 4 ndo anaem gongea mke wake..
Kijana wa form4? Mtoto wa miaka 16? Labda kwa walioanza standard one wakiwa na miaka 15
 
Back
Top Bottom