Nataka kutoa fundisho kwa huyu Mzee

Nataka kutoa fundisho kwa huyu Mzee

Aliyesema mke wa mtu sumu hakukosea.

Ni hivi, nina miezi miwili toka nioe tena ndoa ya kanisani, mke wangu tunazungumza lugha moja (lugha ya mama) nikiwa na maana sisi wote ni kabila moja.

Ni mwanamke tunaependana sana japo mimi nimemuacha kama miaka mitano ki umri. Tabia yake na mitazamo yake ni vitu vilivyonishawishi kumuoa.

Leo ameamua kuniambia kuwa mume wangu nakupenda sana na sipo tayari kuharibu ndoa yangu nakupenda na naomba nikwambie ukweli.

Nimechoka na usumbufu wa huyu Mzee x, amekuwa ananitongoza na kunitumia meseji zake za kijinga jinga na nimeshawaambia kuwa unatambua kuwa mi ni mke wa mtu, na wewe una mkeo, umemsikia mume wangu amekuja kumtongoza mkeo? Kwanini unataka kuniharibia ndoa yangu? Hizi ni ujumbe kwenye simu ya mke wangu.

Na leo kapiga simu mke wangu kaweka sauti kubwa Ili nimsikie vizuri, na akaniambia wewe angalia hata CCTV camera, amekuwa anakuja hapa nyumbani. Nimemjibu mke wangu niachie hilo suala, itakuwa funzo hapa mtaani kwetu. Nimemwambia mke wangu asante kwa ujumbe, sitaua ila itakuwa fundisho juu yake na litaacha doa kwenye mwili wake.

Mimi simu yangu sijaweka password na mke wangu anaitumia muda wotewote na nilishamwambia ukiona mwanamke ananiletea ukaribu wa kimapenzi malizana naye nitakupa ushirikiano. Nampenda sana mke wangu na sijaona mwanamke wa kunifanye niweze kumsaliti mke wangu.

Huyu Mzee nimepanga haya yafuatayo dhidi yake;

1. Kupanga na mke wangu afanye kama amekubali ili aje mpaka ndani chumbani nimkute chumbani Ili nimvunje mguu na mikono yote miwili, ushahidi ni CCTV camera itaonyesha kila kitu, maana maana nina camera ambazo ni za siri zinazooneka na zisizoonekana kiurahisi, wazee wa misheni ngumu wananielewa.

2. Nimwekee mitego ardhini ya kimesheni ajimalize yeye mwenyewe, asubuhi polisi waje wafanye uchunguzi wa tukio maana nitakuwa kazini na kupigiwa simu kurudi nyumbani kwa tukio litalomkuta[emoji1][emoji1].

3. Nitumie tu busara kwenda kumwambia acha hii tabia itakugarimu.
sawa
 
Uyo Mzee alipata wapi number ya Mkeo? Yeye anajua ni Mke wa Mtu kwanini anagawa number kwa Mabazazi?
Amekwambia kumuhusu huyo mzee kwa sababu hajavutiwa nae..pia ni njia ya kujenga "trust" ambayo wanawake hupenda kuitumia ili uzidi kumwamini,hata kama kuna jambo analifanya usimtilie mashaka.
Hakika nakwambia akitongozwa na ambaye anavutiwa nae hata kama hayuko teyari kumkubali kwa sasa hatakwambia..

Ogopa sana mwanamke/mwanaume ambaye haweki simu yake "nywila". Hawa viumbe huwa makini zaidi kwa kila mawasiliano yao..
Na anakua amejijengea uaminifu kwako kua simu yake haina nywila,hakuna baya atendalo.
Siku ukigundua ukweli "lazima uwekewe dripu ya maji"
 
Ukiona wewe mwanaume unaanza kumuelewa mwanamke (hasa kwa kile anachokuambia) fahamu kwamba siku zako za kuishi zimekaribia kuisha.

Possibly hapo anaandaa kukupiga tukio au akuingize kwenye matatizo.

Wanawake ni washenzi kupita maelezo..tumia akili Mzee.
 
Ukiona wewe mwanaume unaanza kumuelewa mwanamke (hasa kwa kile anachokuambia) fahamu kwamba siku zako za kuishi zimekaribia kuisha.

Possibly hapo anaandaa kukupiga tukio au akuingize kwenye matatizo.

Wanawake ni washenzi kupita maelezo..tumia akili Mzee.
Aende Kwake na Huyo Mzee amueleze mkee wahuyo Mzee, aongewe na mumewake kua akae mbali na mke wake.
 
Amekwambia kumuhusu huyo mzee kwa sababu hajavutiwa nae..pia ni njia ya kujenga "trust" ambayo wanawake hupenda kuitumia ili uzidi kumwamini,hata kama kuna jambo analifanya usimtilie mashaka.
Hakika nakwambia akitongozwa na ambaye anavutiwa nae hata kama hayuko teyari kumkubali kwa sasa hatakwambia..

Ogopa sana mwanamke/mwanaume ambaye haweki simu yake "nywila". Hawa viumbe huwa makini zaidi kwa kila mawasiliano yao..
Na anakua amejijengea uaminifu kwako kua simu yake haina nywila,hakuna baya atendalo.
Siku ukigundua ukweli "lazima uwekewe dripu ya maji"
Hakika umemaliza kila kitu Mkuu nadhani hii thread ifungwe sasa🔨🔨🔨

Umesema kweli angetongozwa na anaempenda wala asingemwambia af Wanawake aina hii ni Wabaya sana siku akija kujua undani wake atakufa kwa HEART ATTACK

Ogopa sana mtu anaetumia nguvu kubwa aaminiwe.

Ambition plus
 
Sijui kua hajui kua wanawake nao wanatamani na kupenda ..akiombwa na mjamaa kamuelewa hutajua watu wanakuchora tu mtaani
Si bado mshamba wacha dunia imfundishe. Ogopa sana wanawake wanaotongozwa wakakuambia fulani anantaka ukiona hivyo jua huyo hapendwi akijitokeza yule ambae akimuona anasisimka alooo chap kwa haraka analiwa.

Mke kama anajiheshimu hayo maswala hutakaa umsikie akisema atayamaliza tu maana mwanamke kama hataki jambo kumlazimisha ni ngumu sana
 
Kuna biashara nilifanya naye na hii namba anayotumia mke wangu ilikuwa namba yangu,alipopiga akauliza mwenye namba Yuko wapi ,mke akamjibu mi ni mke wake,mke akamtumia namba yangu,hapo ndo alipopata namba
Basi naomba tafuta Mzee wa Makamo mpange akaongee na huyo Mzee apewe ⚠️ warning ⛔️ malizana na huyo Mzee Ki hekma

Pia mwambie mke wako aache kucheka cheka na Mabazazi

Nikwambie tu..kwasisi Wanawake kama Mwanamke hujamchekea chekea Mwanaume wala hiyo guts ya kukutongoza anaikosa kabisa

Yeye ni Mke wa Mtu alinde mipaka yake na aithamini nafasi yake kama Mke

Kila la kheri
Midazolam
 
Hakika umemaliza kila kitu Mkuu nadhani hii thread ifungwe sasa[emoji375][emoji375][emoji375]

Umesema kweli angetongozwa na anaempenda wala asingemwambia af Wanawake aina hii ni Wabaya sana siku akija kujua undani wake atakufa kwa HEART ATTACK

Ogopa sana mtu anaetumia nguvu kubwa aaminiwe.

Ambition plus
Ushawahi kua na mpenzi mwaminifu?
Simu yake ipogo hapo mezani saa zote na hakuna anayepiga wala kutuma sms..
Bahati mbaya kanunua Samsung, hana utaalam sana wa simu,kila akiwasiliana anafuta sms zinaenda kwenye "trash- recycle bin" na wala hajui...
Siku nikakagua huko, yaliyonikuta dah!
Usimwamini mtu.
 
Ushawahi kua na mpenzi mwaminifu?
Simu yake ipogo hapo mezani saa zote na hakuna anayepiga wala kutuma sms..
Bahati mbaya kanunua Samsung, hana utaalam sana wa simu,kila akiwasiliana anafuta sms zinaenda kwenye "trash- recycle bin" na wala hajui...
Siku nikakagua huko, yaliyonikuta dah!
Usimwamini mtu.
Ambition plus
Aisee pole sana Kiongozi em share tupate kujifunza zaidi

Kumbe hawa wanao act waaminifu ni Wabaya sana🙃🙃🙃

Naogopa
 
Ambition plus
Aisee pole sana Kiongozi em share tupate kujifunza zaidi

Kumbe hawa wanao act waaminifu ni Wabaya sana[emoji854][emoji854][emoji854]

Naogopa


Mpenzi wangu anafahamika had kwa ndugu zangu,siku ya mfanano kuzaliwa kwangu alimleta dadangu(anaishi mkoa mwingine) kama surprise bila kunijulisha....alimleta dadangu sababu anajua ni ndugu yangu ninayempenda sana sana.

So dadangu alifikia kwake(kwa mpenzi wangu)

Siku nilikamata sms za mabwana wengi tofauti,siku aliyokuwa anaombwa mizagamuano niligundua ni siku ambayo dadangua alifikia kwake.

Just imagine, we have good four years,four good years, sijawahi kumuhisi wala kumshuku...mipango mwezi wa 10 nipeleke mahari.

Hio ni sms moja katika nyingi,zingine Zina maudhui mabaya yenye lugha ngumu hayastahili kutazamika.
Screenshot_20230412-102220_Messages.jpg
 
Lengo ni kujifunza, Moderator msifute comment yangu...

Mpenzi wangu anafahamika had kwa ndugu zangu,siku ya mfanano kuzaliwa kwangu alimleta dadangu(anaishi mkoa mwingine) kama surprise bila kunijulisha....alimleta dadangu sababu anajua ni ndugu yangu ninayempenda sana sana.

So dadangu alifikia kwake(kwa mpenzi wangu)

Siku nilikamata sms za mabwana wengi tofauti,siku aliyokuwa anaombwa mizagamuano niligundua ni siku ambayo dadangua alifikia kwake.

Just imagine, we have good four years,four good years, sijawahi kumuhisi wala kumshuku...mipango mwezi wa 10 nipeleke mahari.

Hio ni sms moja katika nyingi,zingine Zina maudhui mabaya yenye lugha ngumu hayastahili kutazamika.View attachment 2603814
Ambition plus

Akiiiii am speechless 🤐🤐🤐🤐🤐

Hii imenifunza pakubwa sana..eeh

Miaka minne..yaan 4 good year’s? Aisee huyo ni Professional Prostitute

Mbona kwa hiyo chats tu anaonyesha ni Malaya aliekubuhu ameoza hafai

Uwiiiiiii yaan ungeoa bomu 💣 💣 💣lingekulipukia anytime

Ila siku zote MWENYEZI MUNGU hamfichi Mnafki ata siku 1 ataku ectia wee lakin kuna siku 1 tu utapata kuyajua yote

Dah ivi hukulazwa kweli? Ulikua kwenye wakati gani Kiongozi? Yaan I can feel the pains you have undergone through

Pole sana jaman..then ulipomkata ivyo alikua kwenye situation gan? Alijiweza ata kusema chochote kile? O.M.G😱 😱 😱
 
Back
Top Bottom