Nataka Kurudi Tanzania-Ushauri

Nina masters yangu ya Logistics,nimeifanyia Canada,na First degree yangu ni ya Accounts nimeifanyia Australia,working Experience 3 Yrs now,nafikilia kurudi nyumbani nimechoka kukaa ukimbizini kwa mda mrefu na nimemiss jamaa zangu kwa mda mrefu.

Kabla sijarudi naomba mnipe hali ya upepo huko kunalipa au hakuna kitu nitulie zangu huku,na kama ni ajira niombe wapi ambapo wanalipa fresh zaidi.

Kwani upo nchi gani kwa sasa?Kama ni Canada ni nchi nzuri..ka huko huko upige mzigo,njoo usalimie na utimke zako kufanya kazi mpka hapo badae labda ndo ufikirie kuja lakn sio sahizi...
 
"Walio nje wanatamani kuingia, wakati walio ndani, wanatamani kutoka"
Ingia ndani uone. "Uliomba kazi, ukapata Kazi. Usione kazi kufanya kazi, ukiona kazi kufanya kazi, acha kazi uone kazi"
 
kujiajiri hilo alinisumbui hata kidogo kwa sababu najua naweza kujiajili..maisha yangu yako kwenye mstari kidogo,na mtaji ni nao wa kutosha.hata hapa ninapofanya wanalipa pesa nzuri najua hata kwa bongo hawezi kufikia robo ya malipo ninayopata..shida najisikia stress na kama hatia vile..napenda kuishi na jamaa zangu kwa karibu zaidi.kuna kitu naona kama kimenza kupungua hasa kuwa mbali na wazazi wangu na jamaa zangu kwa mda mrefu.kila nikija nakaa week mbili au tatu nakuondoka.kaka yangu ,mdogo wangu napenda kuwa nao karibu sana.sioni kazi kama inanipa furaha ninayotoka..
kruuuuuuuuuuuuppp!! hiyo ni break..baada ya mbio ndef!!
ila huko uliko umeajiriwa?? au una kazi???
bro maisha ni popote nakushaur bak tu huko mana huku bongo mziki wake twaujua sisi yan dah...nahis as if unamkufuru mungu vile(am joking)
ILA MKAKA BAKI HUKO PIGA MZIGO UKIJA HUKU NI KAMA HIVYO KUTEMBELEA NDUGU!! ABOVE ALL SKIZA MOYO WAKO NA JUA BAHATI HAIJ MARA MBILI!!! NAWAKILISHA!!!
 
kujiajiri hilo alinisumbui hata kidogo kwa sababu najua naweza kujiajili..maisha yangu yako kwenye mstari kidogo,na mtaji ni nao wa kutosha.hata hapa ninapofanya wanalipa pesa nzuri najua hata kwa bongo hawezi kufikia robo ya malipo ninayopata..shida najisikia stress na kama hatia vile..napenda kuishi na jamaa zangu kwa karibu zaidi.kuna kitu naona kama kimenza kupungua hasa kuwa mbali na wazazi wangu na jamaa zangu kwa mda mrefu.kila nikija nakaa week mbili au tatu nakuondoka.kaka yangu ,mdogo wangu napenda kuwa nao karibu sana.sioni kazi kama inanipa furaha ninayotoka..
kruuuuuuuuuuuuppp!! hiyo ni break..baada ya mbio ndef!!
ila huko uliko umeajiriwa?? au una kazi???
bro maisha ni popote nakushaur bak tu huko mana huku bongo mziki wake twaujua sisi yan dah...nahis as if unamkufuru mungu vile(am joking)
ILA MKAKA BAKI HUKO PIGA MZIGO UKIJA HUKU NI KAMA HIVYO KUTEMBELEA NDUGU!! ABOVE ALL SKIZA MOYO WAKO NA JUA BAHATI HAIJ MARA MBILI!!! NAWAKILISHA!!!
 
Hivi Tz hii watu bado wana ndoto za kuajiriwa mm naonkuajiriwa ni kupoteza muda mtu kama una shule yako
achana na kasdumba zxa kuajiriwa
 
JF ni zaidi,nitakuja kutest zali,nikiona kugumu nageuza zangu sitakaa zaidi ya miezi 3,muhimu nina VISA yangu mda wowote naondoka kama nikiona hakuna muelekeo au mnasemaje??
 
Tafuta CAPITAL ie 1million dollars ndo urudi uanzishe kampun lako mwenyewe

yaan elimu yako bado unawaza kuajiriwa? utakufa maskini, be creative, ndo tatizo la elimu za watanzania
 
Its hi time sasa watu waondoe mentality ya kuajiriwa, una exposure na una rite experience,unaweza piga mzigo wa nguvu for one more year huko save kiasi cum up na kitu n start up ur own, opportunities huku bado nyingi sana. All the best n karibu


Wachache sana wanaweza kusave. Mfumo wa maisha ya USA na Canada unakufanya uishi kwa raha sana. Yanakupa maisha bora ukiwa hukohuko/humohumo lakini huwezi au ukizubaa huwezi toka na maisha hayo kwenda nayo au kurudi nayo home. Inahitaji ujasiri binafsi
 
JF ni zaidi,nitakuja kutest zali,nikiona kugumu nageuza zangu sitakaa zaidi ya miezi 3,muhimu nina VISA yangu mda wowote naondoka kama nikiona hakuna muelekeo au mnasemaje??

Kumbe jibu unalo mkuu
 
karibu uje ushuhudie tunanyopukutika hakuna ajira,bodaboda zinatumaliza meli ndo usiseme,mara mafao mpaka utimize miaka 55,mikataba ya kipumbavu,mara mtu na mkewe wanaongoza shirika kama ni mali yao yaani we acha tuu
 
Pole sana ndugu,
unajua mimi binafsi naelewa kabisa unacho sema kwamba unataka kurudi na unafeel stress. Mimi nilikuwa katika hali kama yako four years back. Kama hiyo hali imekupata najua kabisa itakuwa inakukosesha usingizi, nyumbani ni nyumbani tu.

Sasa labda nitoe angalizo.
1. Najua huko wanalipa vizuri lakini matumizi yapo juu pia, kunawatu wamesema uzichange uje fungua bussiness yako. Wengi hawajua kwamba kuzichanga ni kazi sana kutokana na demands za day to day kuwa juu pia.
2. Ushauri, anza kutafuta kazi ukiwa huko huko tuma applications.
3. Ikitokea unarudi tafuta kazi kwanza ili akili yako imaster mazingira ya business za bongo. Usirush kufanya business kama huja establish links. Bongo kilakitu ni kujuana na 10%.
4. Hela utakayo ichanga nakurudi nayo usje ukafikiri ni nyingi sana, sana sana itakulast for six or 12 month, so it will drain ukiwa bado unatafuta kazi na business ya kufanya so be wise kwenye matumizi yako . watu wengi wanao toka ulaya wanadhani wanahela sana.
5. Ulaya ni kupoteza muda kwa mzalendo kama wewe. Njoo nyumbani ujiestablish.
Good luck​
 
Binafsi sioni sababu za mtu aliyekaa Canada kwa miaka mingi eti arudi na kuomba kazi tena hapa Bongo. Nakubariana na wote wanaosema tunza mtaji wakutosha na uje ufungue yako biashara. Hata sisi ndugu zako tutaona umuhimu wa wewe kuishi mbali nasi kwa miaka mingi kama utaweza kuanzisha kibiashara (hata kama ni kuuza nyanya) lakini ukaweza kutuajiri angalau watano tutakaokwenda kukubebea nyanya huko vijijini huku mwingine akipata ajira ya kuendesha gali la kubeba nyanya. Mchango wako utaonekana. Kutembeza vyeti barabarani kutakufanya mchango wako usithaminiwe.
 
Its hi time sasa watu waondoe mentality ya kuajiriwa, una exposure na una rite experience,unaweza piga mzigo wa nguvu for one more year huko save kiasi cum up na kitu n start up ur own, opportunities huku bado nyingi sana. All the best n karibu
usiwe unaongea tu ..weka experience yako hapa jinsi ulivyojiajiri na ulipata wapi capital ..ili tufuate nyayo zako. sawa?
 
Wachache sana wanaweza kusave. Mfumo wa maisha ya USA na Canada unakufanya uishi kwa raha sana. Yanakupa maisha bora ukiwa hukohuko/humohumo lakini huwezi au ukizubaa huwezi toka na maisha hayo kwenda nayo au kurudi nayo home. Inahitaji ujasiri binafsi
Hapo.kwenye ujasiri binafsi hapo.hapo, na kufungua kuanza biashara u need more of personal capital kuliko money/financial capital
 
usiwe unaongea tu ..weka experience yako hapa jinsi ulivyojiajiri na ulipata wapi capital ..ili tufuate nyayo zako. sawa?
Ok ni maelezo mengi kiasi ngoja nikikaka mahali poa/comfortable nitakuelezea
 
nina masters yangu ya logistics,nimeifanyia canada,na first degree yangu ni ya accounts nimeifanyia australia,working experience 3 yrs now,nafikilia kurudi nyumbani nimechoka kukaa ukimbizini kwa mda mrefu na nimemiss jamaa zangu kwa mda mrefu.

Kabla sijarudi naomba mnipe hali ya upepo huko kunalipa au hakuna kitu nitulie zangu huku,na kama ni ajira niombe wapi ambapo wanalipa fresh zaidi.

nakushauri utulie huko uendelee kusoma phd ukirudi huku utuletee mambo mapya hasa logistics za gesi na dhahabu utakuwa umetusaidia sana na wewe utakuwa na marikiti huku bongo,hapo ulipofikia huku bongo ni sawa na aliyekuwa na cheti cha ualimu enzi ya mwalimu
 
ndugu yangu nyumbani ni nyumbani we rudi 2 na shughuri zitapatikana . kama vp njoo hata miezi 2 usome ramani kisha . bongo yetu ni nzuri . unajua hata ukipata kazi ukalipwa pesa kidogo japo m1 na ukawa na furaha moyoni ni kitu kizuri kuliko ukalipwa mamailioni lakini huna amani. njoo nyumbani dogo
 
Rudi home mkuu,huku watu hatuna ajira lakini tunaishi.huoni kama ni sawa na tuko peponi?
 
Back
Top Bottom