kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Mimi nikijana Nina mke na watoto 3
Baba mwenye nyumba wangu yeye na mke wake walishikwa na polisi
Uku mwalimu wa mtoto wangu naye ivo ivo akiwa anaumwa
Mke wangu aliniambia kuwa baba Mkwe wangu ( yaani baba yake na mke wangu ) naye tulikuwa naye kwenye club usiku wa Jana
Mimi nilivyo cheka tu Yule askari akafikiri nacheka dirishani kumbe sisi wote tulikuwa ndani
Nafikiria saana Jambo ili sipati majibu Naombeni msaada wa ushauri wenu
Baba mwenye nyumba wangu yeye na mke wake walishikwa na polisi
Uku mwalimu wa mtoto wangu naye ivo ivo akiwa anaumwa
Mke wangu aliniambia kuwa baba Mkwe wangu ( yaani baba yake na mke wangu ) naye tulikuwa naye kwenye club usiku wa Jana
Mimi nilivyo cheka tu Yule askari akafikiri nacheka dirishani kumbe sisi wote tulikuwa ndani
Nafikiria saana Jambo ili sipati majibu Naombeni msaada wa ushauri wenu