kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
Basi mimi nitakuwa mwafrika koko.
Soon nacheza karibu na mkorogo maana ushakuwa dili, niliumia siku moja kariakoo waliniita "cheusii naona siku hizi mmebaki wa sample tu". Hebu niulizie kwa kui nitapata wapi mkorogo usiosaliti.
Cheusi mangala mali weye! Asikuchuuze mtu. kui hana ujirani na mkorogo.
Hehe!, mpaka nimecheka.
Mmenikumbusha kisa kimoja kama cha espy. Haikuwa Kariakoo lakini, ilikuwa Posta nilienda kuzurura na cousin yangu, halafu yeye ni wale waliokolea rangi nyeupe akipigwa na jua mpaka anakuwa mwekundu.
Basi wakati tunakatiza mtaani, mara tukasikia mhuni mmoja eti akasema, "cheusi dawa na cheupe dawa njooni basi mnisalimu"
Tukaangaliana na cousin yangu ikabidi tucheke.