Nataka kuoa mwanamke wa kiarabu

Nataka kuoa mwanamke wa kiarabu

The good thing uliamua kucheza mbali na mkorogo. Huwa nacheka nikisikia mtu anasema mwarabu koko lol! Sijawahi kusikia mwafrika koko 🙂🙂🙂
Basi mimi nitakuwa mwafrika koko.
Soon nacheza karibu na mkorogo maana ushakuwa dili, niliumia siku moja kariakoo waliniita "cheusii naona siku hizi mmebaki wa sample tu". Hebu niulizie kwa kui nitapata wapi mkorogo usiosaliti.
 
Cheusi mangala mali weye! Asikuchuuze mtu. kui hana ujirani na mkorogo.


Basi mimi nitakuwa mwafrika koko.
Soon nacheza karibu na mkorogo maana ushakuwa dili, niliumia siku moja kariakoo waliniita "cheusii naona siku hizi mmebaki wa sample tu". Hebu niulizie kwa kui nitapata wapi mkorogo usiosaliti.
 
Kila la kheri mkuu ni-PM hata nikupatie namba zao huku tulipo wapo wa kutosha tu. Mpaka wengine wanaamua waoe wabantu tu. Ila wananuka vitunguu thomu(saum) hao muda mwingi sijui ni kwa sababu ya kula biriani na pilau.
Ukifanikiwa kumpata uwe mvumilivu tu. Manake wanapenda shughuli balaa, michango mpaka utamuamkia shikamoo wife.
 
waarabu wa Zanzibar na huko wa bara wanatofauti sana hata kama wote ni weupe na wana nywele laini.
Mie moyo wangu umewazimikia hawa wa Zanzibar sababu wanajua kujipenda sana na wengi wao wana malezi ya dini.
 
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi huu kutokana kuona ndoa zao zinadumu kwa kiwango kikubwa kuliko kuachana.

pia madada wa kiarabu sio rahisi kucheat kuliko wa kiswahili.

naenda kuoa Zanzibar niko katika maandalizi ya kutafuta.

naombeni baraka na kheri zenu wakuu.
Tena hawa wanapenda sana kutafunwa nyuma
 
Yaaani kabisa umeshindwa kwenda kuoa chato wewe ni kopuuu


Sizonjemadawa
 
mkuu unaweza kuvumilia kula Kachori na tangawizi asubuhi, mchana wapewa kababu pamoja na Uji wa shurbah hamna ugali hapo wala wali usiku wanakupikia Kababu na snacks ndogondogo na tangawizi na inakuwa let call it a day

√kama we wa kusini ushazoea nguna jeusi na mboga chungu nakwambia utakuwa unakula hotelini daily utarudi home kimbaombao
 
Back
Top Bottom