Nataka kuoa mwanamke wa kiarabu

Nataka kuoa mwanamke wa kiarabu

mtu unamfanyia kila kitu,unampenda,unamjali,unampa matunzo,lakini sababu anaona uko busy na kazi basi anaona bora akusaliti mamammaeee akiona na mtoto wa kiarabu lazima ajitundike....salam zimfikie....
Ok,kwa hyo ww lengo lako ni kuoa muarabu ili umkomoe ex wako?
 
Kama unataka wa starehe sawa kama ni wa kuoa umeumia mkuu

(Ushauri) Nenda Shinyanga Babati(kwa wambulu) Singida (mipakani) huko utawapata wanaofanania na hao waarab unaowataka
 
nashkuru kwa ushauri,ila wadada wa kiarabu wazuri sana hata kwa kuwaangalia..hata kama nikikaa nae wiki nzima bila kumgusa moyo wangu utaridhika.
Huo sasa ugonjwa, eti wiki mbili bila kumdinya unaridhika[emoji15] [emoji15] nahisi unatafuta Gold fish [emoji225] [emoji225] wa kufuga na sio mke[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hawa viumbe nawajua sana maana nishaishi nao

* Uwe nazo muda wote
* Kila ijumaa Birian au pilau
*Tegemea kupata mgeni muda wowote na usiulize ana muda gani
*Mama mkwe kuhamia kwako (Kama unazo) hahitaji taarifa
*Ukitokea msiba au harusi au kisomo hakuna kusema nakutafutia nauli, ukisuasua kwao wanatuma ndiyo heshima imeshuka hivyo
* Sex ni muda wowote hata kama umesahau daily nyumbani ukarudi saa nne lazima umpe.
Ni mengi tu ila jipange na kuachana ni kawaida sana kwao
Aiseeee!!! kipengele cha mwisho kimenivutia sana mkuu! ngoja niungane na mleta mada. Hayo mengine nitakomaa nayo tu...
 
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi huu kutokana kuona ndoa zao zinadumu kwa kiwango kikubwa kuliko kuachana.

pia madada wa kiarabu sio rahisi kucheat kuliko wa kiswahili.

naenda kuoa Zanzibar niko katika maandalizi ya kutafuta.

naombeni baraka na kheri zenu wakuu.
Mkuu nenda wasikuchagize ...ila jipange me ndo kaugonjwa kangu..ila now nimefanikiwa...
 
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi huu kutokana kuona ndoa zao zinadumu kwa kiwango kikubwa kuliko kuachana.

pia madada wa kiarabu sio rahisi kucheat kuliko wa kiswahili.

naenda kuoa Zanzibar niko katika maandalizi ya kutafuta.

naombeni baraka na kheri zenu wakuu.
All the best
 
umesema mazuri yao je na kasoro zao unazojuwa?

kwanza wabariiidi tofauti na waswahili ,huwa wamoto na ndomana ulikuta warabu wengi walikuja kuzaa na waswahili tabota,

pili wavivu wa kila kitu napo kwambia wavivu nielewe niwavivu ,tena wavivuuuuu
.
wanachojuwa wao ni kujipamba tu si wafanyaji kazi hata maana wanachotaka,kila kitu kufanyiwa


kila la heri mkuuu, mimi natafta mswahili nataka joto mie staki baridiiii,kama yupo ....ani.....p......m .....
 
dada angu nakwambia hivyo sio kwamba sijawahi kuwa na mwanamke mweusi...Hapana!!! ila alochonifanyia nmeona bora kuchukua wanawake wa kiaraba maana cheat kwao ni % ndogo sana.
Alokwambia warabu hawachet nani mkuu,

nitafta nikuonyeshe wanavyofumuliwa uku kwetu ,tena wakipenda mpaka wanahonga hao
 
mtu unamfanyia kila kitu,unampenda,unamjali,unampa matunzo,lakini sababu anaona uko busy na kazi basi anaona bora akusaliti mamammaeee akiona na mtoto wa kiarabu lazima ajitundike....salam zimfikie....
kumbe mkuu ni mission ya kulipa kisasii ili umrushe roho x wako kisa alikusaliti?

mkuu fikiria kwa umakini sana hili jambo maana hata wao kama utamuowa na hajakupenda au kalazimisha kisa una mali jiandae mkuu
 
Aiseeee!!! kipengele cha mwisho kimenivutia sana mkuu! ngoja niungane na mleta mada. Hayo mengine nitakomaa nayo tu...
Kwel kabisa alivyosema mkuu wao sex ni daily hata urud saa kum usiku utamkuta hajalala anataka umpe ndo alale
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi huu kutokana kuona ndoa zao zinadumu kwa kiwango kikubwa kuliko kuachana.

pia madada wa kiarabu sio rahisi kucheat kuliko wa kiswahili.

naenda kuoa Zanzibar niko katika maandalizi ya kutafuta.

naombeni baraka na kheri zenu wakuu.
 
umesema mazuri yao je na kasoro zao unazojuwa?

kwanza wabariiidi tofauti na waswahili ,huwa wamoto na ndomana ulikuta warabu wengi walikuja kuzaa na waswahili tabota,

pili wavivu wa kila kitu napo kwambia wavivu nielewe niwavivu ,tena wavivuuuuu
.
wanachojuwa wao ni kujipamba tu si wafanyaji kazi hata maana wanachotaka,kila kitu kufanyiwa


kila la heri mkuuu, mimi natafta mswahili nataka joto mie staki baridiiii,kama yupo ....ani.....p......m .....
mkuu naona kama una chuki nao any way niko teyari kumhudumia,
moja katika sifa nnaemtaka awe mke wangu ni asiwe mfanya kazi yaani nikimuoa atakua anakaa home tu.
 
Kama unataka wa starehe sawa kama ni wa kuoa umeumia mkuu

(Ushauri) Nenda Shinyanga Babati(kwa wambulu) Singida (mipakani) huko utawapata wanaofanania na hao waarab unaowataka
kwanini nimeumia mkuu?
 
espy huna asili ya uarabu weye? Si yule mjomba wako alihamia Oman miaka mingi alikuambukiza uarabu? au?

Ujue huwa najiuliza sana! Yaani inawezekana kabisaaa aliniambukiza maana sio kwa huu ucheusi mangala!!
 
The good thing uliamua kucheza mbali na mkorogo. Huwa nacheka nikisikia mtu anasema mwarabu koko lol! Sijawahi kusikia mwafrika koko 🙂🙂🙂

Ujue huwa najiuliza sana! Yaani inawezekana kabisaaa aliniambukiza maana sio kwa huu ucheusi mangala!!
 
Back
Top Bottom