HahaaNjoo manyoni mkuu wamejaa tuna wafumua tu huku
usitishe mwache akajaribu baati yakenani alikuambia waarabu wanapatikana zanzibar,huko unaenda kwa waswahili wenye asili ya Uarabuni,tulia kijana usije rudi na jini
Kabisa tena wa hali ya juuKwa ufupi hao watu ni wabaguzi sana.
Vipi ulifanikiwa ?Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi huu kutokana kuona ndoa zao zinadumu kwa kiwango kikubwa kuliko kuachana.
pia madada wa kiarabu sio rahisi kucheat kuliko wa kiswahili.
naenda kuoa Zanzibar niko katika maandalizi ya kutafuta.
naombeni baraka na kheri zenu wakuu.
ngozi nyeusi ni ngozi ya mkunduni hausafishiki hata kwa majiHakuna binadamu asiye na kasoro unaweza ukatafuta ao unaowaita waarabu ndio ukajuta, ukakuta kheri ya sisi wa ngozi nyeusi.
Chunguza kwanza na sio upande wa kucheat pekee na mengine pia angalia.