Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,700
Hawa viumbe nawajua sana maana nishaishi nao
* Uwe nazo muda wote
* Kila ijumaa Birian au pilau
*Tegemea kupata mgeni muda wowote na usiulize ana muda gani
*Mama mkwe kuhamia kwako (Kama unazo) hahitaji taarifa
*Ukitokea msiba au harusi au kisomo hakuna kusema nakutafutia nauli, ukisuasua kwao wanatuma ndiyo heshima imeshuka hivyo
* Sex ni muda wowote hata kama umesahau daily nyumbani ukarudi saa nne lazima umpe.
Ni mengi tu ila jipange na kuachana ni kawaida sana kwao
* Uwe nazo muda wote
* Kila ijumaa Birian au pilau
*Tegemea kupata mgeni muda wowote na usiulize ana muda gani
*Mama mkwe kuhamia kwako (Kama unazo) hahitaji taarifa
*Ukitokea msiba au harusi au kisomo hakuna kusema nakutafutia nauli, ukisuasua kwao wanatuma ndiyo heshima imeshuka hivyo
* Sex ni muda wowote hata kama umesahau daily nyumbani ukarudi saa nne lazima umpe.
Ni mengi tu ila jipange na kuachana ni kawaida sana kwao