kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,091
Kwa kupitia QnetMbona pesa ndogo sana hiyo
Mimi nilinunua Iphone kwa milioni 5 niliweka order kiwandani kwao nikatengenezeea simu maalum
Kwa kupitia QnetMbona pesa ndogo sana hiyo
Mimi nilinunua Iphone kwa milioni 5 niliweka order kiwandani kwao nikatengenezeea simu maalum
kujenga nyumba ni kuwekeza.. huwezi kusema kununua simu ni kuwekeza.. hapo ni kufanya ufahari.. ila kwakuwa umesema mfuko wako unakuruhusu.. sawa we nunua
Ni wapi amesema yeye hajafanya mambo yake ya msingi? njaa yako usiwahusishe na wengine.haya Maghorofa unayoyaona mjini humu yote ni ya watu na watu wenyewe ndio sisi au unataka tukaishi mars tuwaachie hii dunia yenu?Mkuu, kwanini hasinunue sim ya 70 halafu 930 akafanyia mambo ya msingi?
Lets say,mfano Ukitaka kumuuzia mtu utafanya bei gani?Hiyo simu iko vizuri kwa hizo specifications muundo mie ni kitu kidogo pia haijaundwa kwa Gorilla glass ila mie ndiyo natumia.
We jamaa weweeeNi wapi amesema yeye hajafanya mambo yake ya msingi? njaa yako usiwahusishe na wengine.haya Maghorofa unayoyaona mjini humu yote ni ya watu na watu wenyewe ndio sisi au unataka tukaishi mars tuwaachie hii dunia yenu?
Asante kwa maelezo yakoHata kununua simu nzur had roho yako ikaridhika ni kuwekeza, sema unakuwa umewekeza kwenye kitu flan intangible kinaitwa "peace of mind" unapokuwa na peace of mind ya kutosha....bhasi na uwezo wako wa kutafuta hela unaongezeka na kufanikiwa zaidi...
Kibongobongo tumezoea kusema " mwenye nacho anaongezewa" na watu wote tunaamin kwenye mazingaombwe haya, pasipo kujua yanafanyaje kazi.
Mawazo ya watu wenye njaa haya..Umelogwa na nani? Buni mradi achana na hiyo makitu, Ikidondoka chini unahisi mkojo pmoja na malalamiko mengii..ooh nilichukua mkopo benk
Ni wapi amesema yeye hajafanya mambo yake ya msingi? njaa yako usiwahusishe na wengine.haya Maghorofa unayoyaona mjini humu yote ni ya watu na watu wenyewe ndio sisi au unataka tukaishi mars tuwaachie hii dunia yenu?
Wakuu habarini za Muda. Mimi ni Member mgeni japo si sana.
Nina budget ya Milion moja. Natàka kununu Simu nzuri . Naombeni Mnishari simu nzuri kwa Experience yako na wapi naweza kununua. Na vipi kuhusu kununua kwa maduka ya Mtandaoni kama Alieexpress, Alibaba,ebay Amazon na mengine.
Msaada wenu pls
Kwa simu za mwaka huu kuna choice kama 4 kwa hio budge.
1. One plus 6 (narecomend hii zaidi)
2. Xiaomi mi 8
3. Asus zenfone 5z
4. Pocofone F1
@Mwl.RCT
Huyo ndio anaagizishia.
Naomba tuwasiliane nikupe hela uniagizie
Simu kali sana iyoo inapatikana wapi na kwa sh ngapi?View attachment 870440
Nunua Cubot Power kule Alibaba na Aliexpress ni bonge moja la simu 128 GB , 6 GB RAM na betri la uwezo wa 6000mAh. Cheki hapa Cubot Power Review - Surprisingly Solid 128GB Smartphone with Good Camera! - Gizmochina
Pesa ya mkopo wa serikali unaifanyia mchezo?Wakuu habarini za Muda. Mimi ni Member mgeni japo si sana.
Nina budget ya Milion moja. Natàka kununu Simu nzuri . Naombeni Mnishari simu nzuri kwa Experience yako na wapi naweza kununua. Na vipi kuhusu kununua kwa maduka ya Mtandaoni kama Alieexpress, Alibaba,ebay Amazon na mengine.
Msaada wenu pls
Wacha tuzike tuu mkuu ila natabiri hili kabuli litafukuliwa kwa kilio kizitoKwanza karibu JF, hongera kupata Millioni 1, vipi uliuza nyanya or matikiti!?..
Nakukumbusha tu hutaweza ifuta hii thread huko mbeleni!..
Ni ya China sijaiona eBay: Redirect na kule Amazon.com: Online Shopping for Electronics, Apparel, Computers, Books, DVDs & more itafute Find quality Manufacturers, Suppliers, Exporters, Importers, Buyers, Wholesalers, Products and Trade Leads from our award-winning International Trade Site. Import & Export on alibaba.com na Find Quality Wholesalers, Suppliers, Manufacturers, Buyers and Products from Our Award-Winning International Trade Site. Wholesale Products from China Wholesalers at Aliexpress.com. au Wholesale – Buy China Wholesale Products on DHgate.comSimu kali sana iyoo inapatikana wapi na kwa sh ngapi?
UnawekajeMbona pesa ndogo sana hiyo
Mimi nilinunua Iphone kwa milioni 5 niliweka order kiwandani kwao nikatengenezeea simu maalum
Haitoshi hyo pesa kwa brand new labda secondNunua Samsung 8
Maisha yenyewe mafupi tumia pesaanhaa sawa utakuja kukumbuka maneno yangu.. muda huo unawaza kwanini usingenunua simu 150k alaf 850k ungewekeza sehemu..