Nataka kununua kiwanja Zanzibar

Nataka kununua kiwanja Zanzibar

Nasikia muhimu uwe na kitambulisho cha mkazi

Ila wanaojua zaidi watakuja kuleta muongozo vuta subra
 
Mimi ni mtu wa mkoani sio zanzibar, ILA NAJUA INAWEZEKANA MAANA WA ZANZIBAR PIA WANANUNUA SANA MAENEO BARA

Hayo mambo yapo kisgeria nadhani, mzenji ana haki ya kumiliki ardhi zenji + bara. Kutoka huku kwenda kumiliki ardhi zenji inakatazwa kwa sababu ardhi hile ni ndogo.


Na hata kimtizamo wa kawaida utaungana nami kwamba wewe ungekua mzenji na wakaruhusu tuje kununua ardhi zenji muungano ungefia siku hiyohiyo.

SAsa kwanini bara anajitoa sana kuubeba muungwno huu, hapo nadhani nyerere na wafuasi waje waulizwe

Screenshot_20260223_102103_Chrome.jpg
 
Hatua gani nifuate nimiliki hata 20 kwa 20 hapo zenji, mimi ni mtu wa kupenda sana maeneo, mashamba, vitu kama hivyo yani.

Kwa ukubwa wa 20 kwa 20 meter, zanzibar nnje ya mji inaweza kua shngapi?
Mimi nilinunua kiwanja pemba lakini miaka mingi imepita na alinisaidia dada mmoja mpemba,lakini nahisi sheria zimebadilika sana toka kipindi hicho
 
Hayo mambo yapo kisgeria nadhani, mzenji ana haki ya kumiliki ardhi zenji + bara. Kutoka huku kwenda kumiliki ardhi zenji inakatazwa kwa sababu ardhi hile ni ndogo.


Na hata kimtizamo wa kawaida utaungana nami kwamba wewe ungekua mzenji na wakaruhusu tuje kununua ardhi zenji muungano ungefia siku hiyohiyo.

SAsa kwanini bara anajitoa sana kuubeba muungwno huu, hapo nadhani nyerere na wafuasi waje waulizwe

View attachment 3547480
Nyerere ni kama alitapeliwa
 
Back
Top Bottom