Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,317
- 108,373
Mimi ni mtanzania, zanzibar sio tanzania? Nina NIDA
Zanzibar ni mamlaka kamili kwenye baadhi ya mambo ikiwemo ardhi...
Mimi ni mtanzania, zanzibar sio tanzania? Nina NIDA
Mipori ilojaa kuanzia tu hapo Ruvu hamjaimaliza mnataka mkajazane kwenye kijikisiwa kiduchu kinachotegemea utalii,Zanzibar bado haijajaa bhana, umewahi kufika, Dunga, Mpapa, Uzini, Mitakawani, Mtule, Charawe, Ukongoroni, Bungi, Kibele, Jedele Kisakaka, Mkorongo, Bubwisudi, Dole, Miwani, nk nk, kote huko nyumba za kuhesabu,
Zanzibar kujaa itachukua muda mrefu sana
Muungano uwe wa fairMipori ilojaa kuanzia tu hapo Ruvu hamjaimaliza mnataka mkajazane kwenye kijikisiwa kiduchu kinachotegemea utalii,
Huu ubinafsi ni wa kiwango cha Epstein