Nataka kununua kiwanja Zanzibar

Nataka kununua kiwanja Zanzibar

Ulishaambiwa zanzibar ni ndogo na ardhi yake haiongezeki, hivyo basi ibaki kama hifadhi tu ya utalii we unataka ukapate ardhi huko, hutapata. Nenda bara kuna mahekari na mahekta ya ardhi hayana mmiliki zaidi ya serikali tu. Bara utajipatia hata kijiji kizima ukitaka utapata
 
Hatua gani nifuate nimiliki hata 20 kwa 20 hapo zenji, mimi ni mtu wa kupenda sana maeneo, mashamba, vitu kama hivyo yani.

Kwa ukubwa wa 20 kwa 20 meter, zanzibar nnje ya mji inaweza kua shngapi?
Tukubali tukatae Nyerere na waliofuata hawakuwatendea haki Watanganyika.
1. Ili umiliki kiwanja au shamba Zanzibar sharti uwe mzawa au Mzanzibari mkaazi mwenye sifa, uwe na Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi,

2. Kama hauna ID ya Mzanzibari Mkaazi utalazimika kukodishwa hiyo Ardhi kama ambavyo wawekezaji wa kigeni wanakodishwa.
NB;
Mzanzibari kumiliki ardhi Tanganyika hakuna masharti.

Je Tanganyika ina wanasheria wenye weledi kweli?
Je Tanganyika ina wanasheria wazalendo kweli?
 
Tukubali tukatae Nyerere na waliofuata hawakuwatendea haki Watanganyika.
1. Ili umiliki kiwanja au shamba Zanzibar sharti uwe mzawa au Mzanzibari mkaazi mwenye sifa, uwe na Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi,

2. Kama hauna ID ya Mzanzibari Mkaazi utalazimika kukodishwa hiyo Ardhi kama ambavyo wawekezaji wa kigeni wanakodishwa.
NB;
Mzanzibari kumiliki ardhi Tanganyika hakuna masharti.

Je Tanganyika ina wanasheria wenye weledi kweli?
Je Tanganyika ina wanasheria wazalendo kweli?
Yaani ni kama CHETU CHAO,CHAO CHAO...ila huko mbeleni tuendako, ni GIZA
 
Tukubali tukatae Nyerere na waliofuata hawakuwatendea haki Watanganyika.
1. Ili umiliki kiwanja au shamba Zanzibar sharti uwe mzawa au Mzanzibari mkaazi mwenye sifa, uwe na Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi,

2. Kama hauna ID ya Mzanzibari Mkaazi utalazimika kukodishwa hiyo Ardhi kama ambavyo wawekezaji wa kigeni wanakodishwa.
NB;
Mzanzibari kumiliki ardhi Tanganyika hakuna masharti.

Je Tanganyika ina wanasheria wenye weledi kweli?
Je Tanganyika ina wanasheria wazalendo kweli?
Ulishawahi kufika Znz?
Kile kisehemu kilivyo kidogo waruhusu wasukuma na waluguru mkajazane hapo kisiwa si kitatumbukia jamani,

Hebu tupumzisheni na nyie, Bagamoyo hampawezi sembuse Znz
 
Zenji wapo tayar kumuuzia ardhi msudani au mkenya lakin siyo mtanganyika, ukitaka kununua labda umtumie mwenyej yeye ndiye aonekane anainunua ila ni mbaya siku mkija kubadilikiana.
 
Zenji wapo tayar kumuuzia ardhi msudani au mkenya lakin siyo mtanganyika, ukitaka kununua labda umtumie mwenyej yeye ndiye aonekane anainunua ila ni mbaya siku mkija kubadilikiana.
Hatari sana
 
Labda ununue Kwa ajili ya urembo sio kwenda kuishi.haupawezi kule
 
Ulishawahi kufika Znz?
Kile kisehemu kilivyo kidogo waruhusu wasukuma na waluguru mkajazane hapo kisiwa si kitatumbukia jamani,

Hebu tupumzisheni na nyie, Bagamoyo hampawezi sembuse Znz
Zanzibar bado haijajaa bhana, umewahi kufika, Dunga, Mpapa, Uzini, Mitakawani, Mtule, Charawe, Ukongoroni, Bungi, Kibele, Jedele Kisakaka, Mkorongo, Bubwisudi, Dole, Miwani, nk nk, kote huko nyumba za kuhesabu,
Zanzibar kujaa itachukua muda mrefu sana
 
Yaani ni kama CHETU CHAO,CHAO CHAO...ila huko mbeleni tuendako, ni GIZA
Cha msingi muungano uwe wa fair pande zote, mtanganyika akienda kufanya kazi Zanzibar makato ya mfuko wa Jamii hapati, anaambiwa hadi atakapostaafu miaka 55 ya hiari au 60 ndio apate, na ukiangalia ni sekta binafsi mikataba yao haielewiki,
Mzanzibari akifanya kazi Tanganyika mwaka mmoja akiacha kazi au kuachishwa Nssf wanampa hela yake.
Huu muungano ni wa kiseng** sana, unanufaisha wanasiasa zaidi
 
Back
Top Bottom