jiwe angavu JF-Expert Member Aug 28, 2015 19,109 35,941 May 27, 2022 #42 Mwisho wa mwaka nataka niende zenji..nikanunue hata 20×20 niweke makazi yangu huko. Naombeni mwongozo jinsi ya kupata kiwanja zenji. #MaendeleoHayanaChama
Mwisho wa mwaka nataka niende zenji..nikanunue hata 20×20 niweke makazi yangu huko. Naombeni mwongozo jinsi ya kupata kiwanja zenji. #MaendeleoHayanaChama
H HustlerD Senior Member May 15, 2021 131 425 May 27, 2022 #43 Njoo nikuuzie cha kwangu, kipo pale Jumbi, bei kitonga nirudi zangu bongo, mm siyo wa kunywea bia hapa kila siku,
Njoo nikuuzie cha kwangu, kipo pale Jumbi, bei kitonga nirudi zangu bongo, mm siyo wa kunywea bia hapa kila siku,