Nataka Kununua Kiwanja Zanzibar

Mwisho wa mwaka nataka niende zenji..nikanunue hata 20×20 niweke makazi yangu huko.

Naombeni mwongozo jinsi ya kupata kiwanja zenji.

#MaendeleoHayanaChama
 
Njoo nikuuzie cha kwangu, kipo pale Jumbi, bei kitonga nirudi zangu bongo, mm siyo wa kunywea bia hapa kila siku,
20220513_182352.jpg
 
Back
Top Bottom