Kasome vizuri Katiba ya JMT na historia darasa la nne la zamani (somo hili limefutwa kwy mtaala wa sasa wameweka civic & moral), utakubaliana nami kwamba hatujaungana kwa kila kitu. Rejea pia hati ya muungano.Nimemuuzia Mpemba mmoja Kiwanja hapa Kihonda Morogoro, hakuna kikwazo chochote alichopata kipindi cha kubadili umiliki wa kiwanja toka kwangu kwenda kwake. Sasa nataka namimi niende Unguja nikanunue kiwanja kwaajili ya makazi na biashara... Naamini sitakutana na kikwazo chochote maana hii ni nchi yetu sote. Vinginevyo muungano wetu utakuwa na tatizo la kiufundi.
Kwahiyo Mkristo hawezi kuwa rais Zanzibar hadi dunia itoweke? Au hadi apindue rais Muislamu? Na je, rais wa Zanzibar kikatiba ya muungano anapindulika?Kwani wewe ni muislamu? Kama sio thubutu ndo utajua kwamba Nyerere ndo alie jipendekeza kwa Zanzibar
Hahahaaaa reference nzuri hiyo, lbd Wakristo wanakula ile kitu haram kwa wenzao. Imani zinahitaji uvumilivu.Darul s salaam(dar es salaam) ni mji wa waislam,na una jina la kiarabu,nyerere alipoacha ualimu na kujiunga na siasa,waislam wakampa nyumba magomeni na kuhudumia familia yake mpaka aliposhika hatamu,wakiristo wengi wa dar walipanga majumba ya waislam kabla ya kujenga yao,unaposema penye waislam mkiristu kuishi shida unamaanisha nini!?..jaji agustino ramadhani ni mkiristu wa zanzibar
Mapadre walioshambuliwa kwa tindikali. Joke! Joke!Mateso gani!?..toa teso moja analopitia
Burundi, Kenyana Malawi.Watu wa visiwani kwa kawaida ni walowezi,kwa zbar wanatokea tanganyika,Moroni,shelisheli,comoro
Hali halisi iyo....Tukatae huu ujinga.
Duh!Waislam wa Tanganyika nitofauti na Waislamu wa Zanzibar mfano Hussein juzi alipewa muhariko kanisani akaenda kwasababu yeye ni muislam wa Tanganyika, lakini angekuwa Muislamu wa Zanzibar hasinge kajanga kanisani, sikukuu ya idd waislamu wa bara Wana pika chakula tunakula nao pamoja tuna wapa kuku wachinje tofauti na waislam wa Zanzibar sikuku ya idd hawa kukaribishi mtu ambaye siye wadini Yao kusherekea sikukuu ya dini Yao Kwa kifuti waislam wa Zanzibar Wana ubaguzi mkubwa Sana
Ila zaidi ya 70% ya wateja wa bidhaa za Bakhresa na MO ni Wakristu na dini zingine zisizo za kiislamu. Kwa mantiki hiyo basi kumbe ulaji (consumption) ya Wakristu ndiyo unampaisha MO kuongoza Afrika kwa utajiri (Billionaire).Sema hivi waislamu wa bara ni wanafiki tu, ila hawawapendi wa kurustu majumbani kwao, ni kwasbb ya ujilani na mambo ya kazi, ila baadhi ya wa kuristu wana chuki ya kudumu na dini ya uislamu
salamu ni ya kiislamu wanazingua sana kule sipati picha shuleni darasani inakuaje kwa watoto wa kikristuMateso gani!?..toa teso moja analopitia
Bara idadi ya watu wa kutengeneza soko la bidhaa zake ni kubwa kuliko Znz. Lkn 25% ya ardhi ya bara ndiyo inakaliwa na binadamu. Kwanini ahangaike km kikongwe mwenye macho mekundu?Ardhi syo Mali ya muungano ujue!
Alaf population ya watu huko sjui kama wanazid mln 5,sasa watu toka bara huku mkisema mkanunue ardhi huko si mtawamaliza?
Ila bado unaweza miliki ardhi huko
Kwa wazungu,wageni wamilikije huko
Wageni wote wanaomiliki maeneo huko hawakosi madem,wake toka huko
Ova
Waislamu wa kule sio wazuriWaislam wa Tanganyika nitofauti na Waislamu wa Zanzibar mfano Hussein juzi alipewa muhariko kanisani akaenda kwasababu yeye ni muislam wa Tanganyika, lakini angekuwa Muislamu wa Zanzibar hasinge kajanga kanisani, sikukuu ya idd waislamu wa bara Wana pika chakula tunakula nao pamoja tuna wapa kuku wachinje tofauti na waislam wa Zanzibar sikuku ya idd hawa kukaribishi mtu ambaye siye wadini Yao kusherekea sikukuu ya dini Yao Kwa kifuti waislam wa Zanzibar Wana ubaguzi mkubwa Sana
Labda Dunia ianze upya..Kwahiyo Mkristo hawezi kuwa rais Zanzibar hadi dunia itoweke? Au hadi apindue rais Muislamu? Na je, rais wa Zanzibar kikatiba ya muungano anapindulika?
Tiliambiwa FBI wamekuja kuchunguza,ikipewa matokeo!?..uliona kiongozi yoyote anatolea macho Tena!?..mbona raia mwema liliandika Sana kwamba walidhulumiana wenyewe kwenye mtandao wao dili!!?Mapadre walioshambuliwa kwa tindikali. Joke! Joke!
Assalaam alaykum Ina maana ya amani iwe juu yakosalamu ni ya kiislamu wanazingua sana kule sipati picha shuleni darasani inakuaje kwa watoto wa kikristu
Umeandika ukweli mtupu.Penye wakristo muislamu anaishi freshi lakini penye waislamu mkristo ni mtihani kuishi.
Kama wewe ni Muislam wa Zanzibar una utu huo wa kujali binadamu regardless of their religion jiongelee wewe kama wewe ila usiwatetee hao Waislam wengine wa Zanzibar ni WABAGUZI SANA.Idris abdulwakil,rais wa Zanzibar aliingia kanisani kujionea makanisa yanajaa kiasi gani jumapili..unaishi Zanzibar mji gani!?