Nataka kununua gari naomba ushauri!

Nataka kununua gari naomba ushauri!

wakuu naombeni ushauri na msaada kukokotoa gharama za kodi hadi inaingia barabarani

Honda fit
yr = 2004
fob = $ 805
cif = $ 2024
cc= 1330

Toyota ist
yr = 2004
fob = $ 2000
cif = $ 3239
cc= 1290

Natakunguliza shukrani
 
wakuu naombeni ushauri na msaada kukokotoa gharama za kodi hadi inaingia barabarani

Honda fit
yr = 2004
fob = $ 805
cif = $ 2024
cc= 1330

Toyota ist
yr = 2004
fob = $ 2000
cif = $ 3239
cc= 1290

Natakunguliza shukrani

Honda fit ninayo 7.5m ipo dar
 
Mkata kiu shikamoo.
Umenikumbusha Suzuki Alto niliyokua natumia mda si mrefu. Gari tamu mpaka basi. Kidogo lakini kina nguvu balaa. 660cc mafuta ikiingia petrol station hata kama huweki ikinusa harufu tu inasepa.
Average ni kama lita 1 kwa kilomita 16 na AC juu.
Yani kwa mizunguko ya hapa hapa mjini imenisaidia sana. Mafuta ya elfu 30 namaliza wiki nzima na misele ya wikiendi juu.
Bado nawashauri watanzania wenzangu tubadilishe mitazamo juu ya magari. Wengi wananunua magari kufanya show off wakifika kituo cha mafuta wananuna na kukopa.
Balaa.
Dar es Salaam kiujasiriamali vitz, suzuki alto, corolla limited bado zinafaa sana.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Nakubaliana nawe kabisa, ila sasa kuna wengine huko tunakoishi yaani haya magari madogo unasikia yanakwaruzia na kugongea tumboni!
 
Nunua Suzuki Vitara lita1-km 9 to 10,lakini jamani wadau swala la fuel consumption kwa uzoefu wangu linategemea vitu vingi sana ikiwemo ukanyagaji wa mafuta,traffic jams,nature of the road(kama una shuka consumption inapungua,ukiwa unapandisha consumption inazidi)pia uwakaji wa AC ukilinganisha na weather na mengine mengi wataalamu nisaidieni hapo.
 
Nimejifunza mengi hapa.... Ila vipi kuhusu Suzuki Kei? Thanx

Suzuki Kei ipo poa sana pia. It delivers and above all fuel efficient. Bado naona kwa Dar hakuna ulazima wa kuwa na mgari mkuuubwaaaaa wakati misele yenyewe ni Home-ofisini-home na jumamosi church au kideti na demu wako ambaye hujamuoa. Sana sana kwa mama naniliu naona utakua unaenda kumsalimia naniliu kama bado hamuishi wote ila kama mnaishi wote basi mtakua mwaenda wote job na kupenzika. Tehe tehe tehe
 
6 m i dnt think so , may be if you were a man
 
Suzuki Kei ipo poa sana pia. It delivers and above all fuel efficient. Bado naona kwa Dar hakuna ulazima wa kuwa na mgari mkuuubwaaaaa wakati misele yenyewe ni Home-ofisini-home na jumamosi church au kideti na demu wako ambaye hujamuoa. Sana sana kwa mama naniliu naona utakua unaenda kumsalimia naniliu kama bado hamuishi wote ila kama mnaishi wote basi mtakua mwaenda wote job na kupenzika. Tehe tehe tehe

Asante mkuu hekimatele kweli haka kagari ni katamuu
Hivi kanaweza kuhimili safari ya kwenda kwa baba naniliu morogoro? mimi niko dar
 
Kama ukaapo barabara ni nzuri chukua IST ya 1290cc utaenjoy. . Kama road Sio nzuri jitahidi chukua jimny japo bei ni kali kidogo Ila utapata performance uitakayo.
 
Back
Top Bottom