Nataka kununua gari naomba ushauri!

Nataka kununua gari naomba ushauri!

The Boss asante kwa ushauri, but used za hapa siziamini kabisa ni bora nipigane niongeze bajeti rafiki.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Tena hiyo suzuki swift usithubutu kabisa hata kama ukianza Japan. Toyota vitz 7m ukiagiza Japan inatosha kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Mkatakiu kakushauri vizuri sana huitaji ushauri mwingine...kaka nchi yetu kwa sasa ukiagiza gari dogo kama toyota ist ya mwaka 2004 unaitaji almost 3.5ml kama ushuru na gharama za bandari..mimi nime base dubai kulituma kutoka hapa kwenda dar ni $680 bado hujalinunua.so kwa pesa ya 6ml wawezakupata bora gari lakini sio gari bora...tulia uongeze pesa kidogo at least 10ml wawezapata gari zuri...+971504374387 dubai

Dubai vimeo
 
nimependa uchangiaji wa mada ila nasema kumiliki gari sio mchezo kama mtu hauko vizuri usikimbilie kununua gari, na kama upo vizuri nunua the right car usikurupuke...mi sijawai miliki gari kuna wakati nilikuwa nataka kutafuta starlet ambayo ni used bongo lkn nilikosa ambalo liko kwenye hali nzuri na bajet yangu ilikuwa 4m.
 
Tena hiyo suzuki swift usithubutu kabisa hata kama ukianza Japan. Toyota vitz 7m ukiagiza Japan inatosha kabisa.

mkuu nilishanunua ka vitz.. kana karibia ku depriciate sasa ..tehe
 
Want to buy a car from BE FORWARD?Here is a little trick to get a massive DISCOUNT.
When filling CHOOSE YOUR DELIVERY OPTION section in step 1,write number 421723 in 'introduced by a BF SUPPORTER' section,then BOOM! A $15 discount in your purchase.
 
Kaka usiongee kitu usichokua na uhakika nacho,,, mi naitumia ndo nimekuja nayo kazini asubuh ina cc 1300 sasa kama wewe yako ina cc zaidi ya hiyo labda ni aina nyingine siwezi kukubishia,, ni Corolla 111 model ya 1997, kama unabisha unaweza ukafanya uchunguzi kama hakuna za cc nayokwambia..

USIBISHE KWA MBWEMBWE KAMA HUNA UHAKIKA HUMU TUNASAIDIANA MAWAZO UTAFUTE SIFA KWA NANI WAKATI HATUJUANI KIUHALISIA MAANA TUNATUMIA I'd

Nakupa na serial number of my Car ili uipeleleze vizuri. EE111-5037263 na engine yangu ni 4E-FE from Toyota motor corpolations,,,, hii gari imeingizwa 3 years ago na naitumia kila siku labda niwe safari... Na wakati tunaiagiza B mkubwa alitumia 7m only kwenye kila kitu hadi tunaiweka barabarani as kipindi kile TRA walitumia invoice price ku calculate Kodi,, hawakutumia data base price kama nowdays wanavyofanya...

Tuliosoma mzumbe watu kama nyinyi mnaobisha kwa kukurupuka halafu hamna uhakika huwa tunamalizia na neno PUMBAVU SANA FORM 1..

we kama unaona magari ishu ya kujitambia.. wengine toka tunazaliwa tunayaona yakitufata hospitali, miaka yote ya primary, secondary yanatupeleka na kutufata shule so sio kitu cha ajabu kama unavyodhani...

Na amini ungekuwa unanijua ungenuna hadi ungepasuka maana watu kama nyinyi mnaofikiri usuchokijua wewe yule hakijui au wewe unachowaza utakipata lini kuna watu wanawaza watakitupa lini binadamu tunatofautiana kuanzia tulipozaliwa hadi tutakapofia sasa usilete mbwembwe kwa usichokijua..

Sister kama unamsikiliza huyu jamaa endeleeni,,, I am sorry siwezi kuongea chochote hapa maana msaada umekuwa nakudanganya
Wewe ndio mpumbavu namba moja. Na ndio maana umesoma chuo cha kishamba. Ushamba huo kawaambie wenzako wa mzumbe. Hakuna gari yenye mairi ma 4 inayotumia mafuta ya elfu 20 kwa week katika jiji la dar. Labda ungeniambia unakaa posta na kufanyakazi posta. Stupid wahed. Kifupi wewe ni mshamba namba moja. Na magari umeyajulia kibaruani baada ya kusoma kwa Shida. Mtu aliyeishi smart life hawezi kuongea wala kufanana na wewe. Otherwise wewe ni mtoto wa kike na bado una ushamba wa mzumbe. Mzumbe ndio lilikuwa chaka letu la kuchukua madem washamba kama wewe. Ukipiga simu tu tayari huyoo kwenye abood anakuja kwa wanaume dar
 
Kaka usiongee kitu usichokua na uhakika nacho,,, mi naitumia ndo nimekuja nayo kazini asubuh ina cc 1300 sasa kama wewe yako ina cc zaidi ya hiyo labda ni aina nyingine siwezi kukubishia,, ni Corolla 111 model ya 1997, kama unabisha unaweza ukafanya uchunguzi kama hakuna za cc nayokwambia..

USIBISHE KWA MBWEMBWE KAMA HUNA UHAKIKA HUMU TUNASAIDIANA MAWAZO UTAFUTE SIFA KWA NANI WAKATI HATUJUANI KIUHALISIA MAANA TUNATUMIA I'd

Nakupa na serial number of my Car ili uipeleleze vizuri. EE111-5037263 na engine yangu ni 4E-FE from Toyota motor corpolations,,,, hii gari imeingizwa 3 years ago na naitumia kila siku labda niwe safari... Na wakati tunaiagiza B mkubwa alitumia 7m only kwenye kila kitu hadi tunaiweka barabarani as kipindi kile TRA walitumia invoice price ku calculate Kodi,, hawakutumia data base price kama nowdays wanavyofanya...

Tuliosoma mzumbe watu kama nyinyi mnaobisha kwa kukurupuka halafu hamna uhakika huwa tunamalizia na neno PUMBAVU SANA FORM 1..

we kama unaona magari ishu ya kujitambia.. wengine toka tunazaliwa tunayaona yakitufata hospitali, miaka yote ya primary, secondary yanatupeleka na kutufata shule so sio kitu cha ajabu kama unavyodhani...

Na amini ungekuwa unanijua ungenuna hadi ungepasuka maana watu kama nyinyi mnaofikiri usuchokijua wewe yule hakijui au wewe unachowaza utakipata lini kuna watu wanawaza watakitupa lini binadamu tunatofautiana kuanzia tulipozaliwa hadi tutakapofia sasa usilete mbwembwe kwa usichokijua..

Sister kama unamsikiliza huyu jamaa endeleeni,,, I am sorry siwezi kuongea chochote hapa maana msaada umekuwa nakudanganya
Duh aisee hivi mwanaume rijali unawezaje kumwambia mwanaume mwenzako akijua atanuna Hadi apasuke . Huyu mkata kiu sio ridhki. Nitakataa kabisa kama huyu mtu ni mwanaume. Halafu hiyo engine unayosema ya FE..4E ndio engine inayofungwa kwenye starlet, spacio, vitz, corola 110, carina....sasa mtu aje atoe ushahidi kama hizo gari unaweza tumia mafuta ya elfu 20 kwa week. hata ingekuwa na cc 600. Mkata kiu Acha kudhalilisha wanafunzi wa mzumbe wakaonekana vilaza either wewe ni dada au kaka poa.
 
Soon wakati naanza job nilipewa corolla 111 na B mkubwa inisaidie movement za mjini,,, nikawa nalalamika gari haina swaga si unajua ujana nini nikakopa hela somewhere nikanunua GX 110 mbona nilikoma kuanzia mafuta, spares mpaka nikaikumbuka corolla yangu niliyoirudisha home kwa kejeli..

Mambo yalivyozidi unga nikaliuzilia mbali tena kwa bei ya hasara nikarudi home kinyonge kuifata corolla yangu ya zawadi,, ndo nasukuma nayo mpaka leo mwaka wa pili huu lakini kama mpya, nakaa mwenge nafanya kazi town budget ya mafuta 20,000 wiki nzima na sishushi kioo,, vifaa bei rahisi mbaya nikagundua kweli ukubwa dawa,,, na sina mpango wa kubadilisha kabisa maana sitaki stress.. Nimeshaapa sitanunua magari ya mbwembwe mpaka nakufa nawashangaa tu vijana wanavyokimbilia Verossa nowdays,,, nawacheka tu na corolla yangu haina stress za mafuta mda wote unakula A.C kitu lita moja una km almost 15 za ac,,

Ila raum 2004 ina shape nzuri na inatumia spare za corolla haina stress kabisa,,
....Mkuu hebu tiririka pia kwa Toyota Sprinter manual
 
Back
Top Bottom