Gogo la choo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 708
- 293
Congrats young lady,, ushauri nunua gari common hapa bongo ili usipate shida spares maana ninajua ndo gari yako ya kwanza na ndio unaanza maisha sitaki upate stress za gari..
Sema budget yako ndo inatisha kama utaweza kupata gari from japan plus ushuru na kodi maana gari nyingi CIF value tu ndo inarange kiasi karibia na icho ulichonacho,,
But kwa ushauri Toyota Vitz, Raum 2004, Corolla 111, Spacio ya 2000 au hata 2003 nayo ni nzuri sema kila nikiumiza kichwa jibu linanijia atleast upate 10m ungepata gari hizo straight from japan nzuri kabisa..
But ushauri wa ziada kama upo na Mwenza jipange na mwenzako mnunue Raum ya 2004, IST au corolla.. ( Ila sio mbaya hata kama mwenyewe unaweza kujivuta kuongeza budget ufikie hiyo nayosema)
Angalizo magari ya mikonon kwa watu mara nyingi vimeo,,, simshauri mtu gari la kwanza atalohitaji kukaa nalo btn 3 to 4 years na zaidi anunue kwa mtu bongo
Hapa ndo ninapopapenda JF,yaani ni darasa tosha..thanks so much mkuu for ya elaborations..i learned a lot