swali zuri natamani kujua pia hasa hapo pa kuhusiana na mafuta
.
Dar es Salaam kiujasiriamali vitz, suzuki alto, corolla limited bado zinafaa sana.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu aongeza kwenye hiyo list Suzuki Swift ya mwaka 2003-2004, sio mbaya kwa misele ya mjini. Mafuta vinanusa, na mwendo wake unaweza hata kwenda kwenye East African Safari Rally. Ukitaka ipendeze, badilisha tairi na kuweka 185 x 70 x 14, rim inaweza kubaki ile iliyokuja nayo. Usifanya madoido ya kwenda kuinyanyua, gari inakakamaa, iankuwa hainese unapopita kwenye mabonde.
Hii inatumia hata maji
ila kama wapenda mashindano ya speed haifai
Mkata kiu shikamoo.
Umenikumbusha Suzuki Alto niliyokua natumia mda si mrefu. Gari tamu mpaka basi. Kidogo lakini kina nguvu balaa. 660cc mafuta ikiingia petrol station hata kama huweki ikinusa harufu tu inasepa.
Average ni kama lita 1 kwa kilomita 16 na AC juu.
Yani kwa mizunguko ya hapa hapa mjini imenisaidia sana. Mafuta ya elfu 30 namaliza wiki nzima na misele ya wikiendi juu.
Bado nawashauri watanzania wenzangu tubadilishe mitazamo juu ya magari. Wengi wananunua magari kufanya show off wakifika kituo cha mafuta wananuna na kukopa.
Balaa.
Dar es Salaam kiujasiriamali vitz, suzuki alto, corolla limited bado zinafaa sana.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hivi why watanzania tunathamini uongo au kujifanya tunajua wakati watujui au kujifanya tunacho wakati hatuna.
Toyota corolla 111 cc zake ni kuanzia 1490 hadi 2000 sasa basi kwa gari hiyo hata uipeleke kwa mchungaji ikaombewe haiwezi kutumia sh elfu 20 kwa week. Hata usipowasha ac. Mimi nimekaa bamaga na ofisi posta nilikuwa natumia starlet na kila nilikuwa naweka petrol elfu 10 . Great thinker tujitahidi tuwe wakweli. Kutokujua kitu si dhambi
Soon wakati naanza job nilipewa corolla 111 na B mkubwa inisaidie movement za mjini,,, nikawa nalalamika gari haina swaga si unajua ujana nini nikakopa hela somewhere nikanunua GX 110 mbona nilikoma kuanzia mafuta, spares mpaka nikaikumbuka corolla yangu niliyoirudisha home kwa kejeli..
Mambo yalivyozidi unga nikaliuzilia mbali tena kwa bei ya hasara nikarudi home kinyonge kuifata corolla yangu ya zawadi,, ndo nasukuma nayo mpaka leo mwaka wa pili huu lakini kama mpya, nakaa mwenge nafanya kazi town budget ya mafuta 20,000 wiki nzima na sishushi kioo,, vifaa bei rahisi mbaya nikagundua kweli ukubwa dawa,,, na sina mpango wa kubadilisha kabisa maana sitaki stress.. Nimeshaapa sitanunua magari ya mbwembwe mpaka nakufa nawashangaa tu vijana wanavyokimbilia Verossa nowdays,,, nawacheka tu na corolla yangu haina stress za mafuta mda wote unakula A.C kitu lita moja una km almost 15 za ac,,
Ila raum 2004 ina shape nzuri na inatumia spare za corolla haina stress kabisa,,
Kaka usiongee kitu usichokua na uhakika nacho,,, mi naitumia ndo nimekuja nayo kazini asubuh ina cc 1300 sasa kama wewe yako ina cc zaidi ya hiyo labda ni aina nyingine siwezi kukubishia,, ni Corolla 111 model ya 1997, kama unabisha unaweza ukafanya uchunguzi kama hakuna za cc nayokwambia..
USIBISHE KWA MBWEMBWE KAMA HUNA UHAKIKA HUMU TUNASAIDIANA MAWAZO UTAFUTE SIFA KWA NANI WAKATI HATUJUANI KIUHALISIA MAANA TUNATUMIA I'd
Nakupa na serial number of my Car ili uipeleleze vizuri. EE111-5037263 na engine yangu ni 4E-FE from Toyota motor corpolations,,,, hii gari imeingizwa 3 years ago na naitumia kila siku labda niwe safari... Na wakati tunaiagiza B mkubwa alitumia 7m only kwenye kila kitu hadi tunaiweka barabarani as kipindi kile TRA walitumia invoice price ku calculate Kodi,, hawakutumia data base price kama nowdays wanavyofanya...
Tuliosoma mzumbe watu kama nyinyi mnaobisha kwa kukurupuka halafu hamna uhakika huwa tunamalizia na neno PUMBAVU SANA FORM 1..
we kama unaona magari ishu ya kujitambia.. wengine toka tunazaliwa tunayaona yakitufata hospitali, miaka yote ya primary, secondary yanatupeleka na kutufata shule so sio kitu cha ajabu kama unavyodhani...
Na amini ungekuwa unanijua ungenuna hadi ungepasuka maana watu kama nyinyi mnaofikiri usuchokijua wewe yule hakijui au wewe unachowaza utakipata lini kuna watu wanawaza watakitupa lini binadamu tunatofautiana kuanzia tulipozaliwa hadi tutakapofia sasa usilete mbwembwe kwa usichokijua..
Sister kama unamsikiliza huyu jamaa endeleeni,,, I am sorry siwezi kuongea chochote hapa maana msaada umekuwa nakudanganya
mkuu niliko bold inakuaga ni madoido?? au wakati mwingine huwa inalazimu hasa kwa gari zilizochini sana na kwa nature ya barabara zetu.
Kaka usiongee kitu usichokua na uhakika nacho,,, mi naitumia ndo nimekuja nayo kazini asubuh ina cc 1300 sasa kama wewe yako ina cc zaidi ya hiyo labda ni aina nyingine siwezi kukubishia,, ni Corolla 111 model ya 1997, kama unabisha unaweza ukafanya uchunguzi kama hakuna za cc nayokwambia..
USIBISHE KWA MBWEMBWE KAMA HUNA UHAKIKA HUMU TUNASAIDIANA MAWAZO UTAFUTE SIFA KWA NANI WAKATI HATUJUANI KIUHALISIA MAANA TUNATUMIA I'd
Nakupa na serial number of my Car ili uipeleleze vizuri. EE111-5037263 na engine yangu ni 4E-FE from Toyota motor corpolations,,,, hii gari imeingizwa 3 years ago na naitumia kila siku labda niwe safari... Na wakati tunaiagiza B mkubwa alitumia 7m only kwenye kila kitu hadi tunaiweka barabarani as kipindi kile TRA walitumia invoice price ku calculate Kodi,, hawakutumia data base price kama nowdays wanavyofanya...
Tuliosoma mzumbe watu kama nyinyi mnaobisha kwa kukurupuka halafu hamna uhakika huwa tunamalizia na neno PUMBAVU SANA FORM 1..
we kama unaona magari ishu ya kujitambia.. wengine toka tunazaliwa tunayaona yakitufata hospitali, miaka yote ya primary, secondary yanatupeleka na kutufata shule so sio kitu cha ajabu kama unavyodhani...
Na amini ungekuwa unanijua ungenuna hadi ungepasuka maana watu kama nyinyi mnaofikiri usuchokijua wewe yule hakijui au wewe unachowaza utakipata lini kuna watu wanawaza watakitupa lini binadamu tunatofautiana kuanzia tulipozaliwa hadi tutakapofia sasa usilete mbwembwe kwa usichokijua..
Sister kama unamsikiliza huyu jamaa endeleeni,,, I am sorry siwezi kuongea chochote hapa maana msaada umekuwa nakudanganya
Dada juu umeshauriwa vizuri sana,hachana na vitu vinavyoonekana cheap,vitz ya Mwaka 1999!!hiyo bei ukiweka na kuisafirisha italeta hesabu ile ile 9.5ml maana ushuru pamoja na gharama za Bandarini zawezafika 4++ml...jiandae upate kitu kizuri,ninauzoefu sana na magari yanayoonekana cheap online,Kama mkatakiu alivyokushauri mwanzo inatosha,
Kaka usiongee kitu usichokua na uhakika nacho,,, mi naitumia ndo nimekuja nayo kazini asubuh ina cc 1300 sasa kama wewe yako ina cc zaidi ya hiyo labda ni aina nyingine siwezi kukubishia,, ni Corolla 111 model ya 1997, kama unabisha unaweza ukafanya uchunguzi kama hakuna za cc nayokwambia..
USIBISHE KWA MBWEMBWE KAMA HUNA UHAKIKA HUMU TUNASAIDIANA MAWAZO UTAFUTE SIFA KWA NANI WAKATI HATUJUANI KIUHALISIA MAANA TUNATUMIA I'd
Nakupa na serial number of my Car ili uipeleleze vizuri. EE111-5037263 na engine yangu ni 4E-FE from Toyota motor corpolations,,,, hii gari imeingizwa 3 years ago na naitumia kila siku labda niwe safari... Na wakati tunaiagiza B mkubwa alitumia 7m only kwenye kila kitu hadi tunaiweka barabarani as kipindi kile TRA walitumia invoice price ku calculate Kodi,, hawakutumia data base price kama nowdays wanavyofanya...
Tuliosoma mzumbe watu kama nyinyi mnaobisha kwa kukurupuka halafu hamna uhakika huwa tunamalizia na neno PUMBAVU SANA FORM 1..
we kama unaona magari ishu ya kujitambia.. wengine toka tunazaliwa tunayaona yakitufata hospitali, miaka yote ya primary, secondary yanatupeleka na kutufata shule so sio kitu cha ajabu kama unavyodhani...
Na amini ungekuwa unanijua ungenuna hadi ungepasuka maana watu kama nyinyi mnaofikiri usuchokijua wewe yule hakijui au wewe unachowaza utakipata lini kuna watu wanawaza watakitupa lini binadamu tunatofautiana kuanzia tulipozaliwa hadi tutakapofia sasa usilete mbwembwe kwa usichokijua..
Sister kama unamsikiliza huyu jamaa endeleeni,,, I am sorry siwezi kuongea chochote hapa maana msaada umekuwa nakudanganya
Mkuu unajua wengine hawaelewi kuwa mtu anapouliza anataka msaada sasa unapodanganya sijui iweje!
Wakati namaliza high school nilitaka kwenda mzumbe wakati ilikuwa inatoa advance diploma . kuna prof mmoja akanishauri akaniambia mzumbe ni viwango duni. Pia akaniambia hata wakimaliza pale wakitaka kwenda kusoma masters mlimani hawa hawachukuliwi labda waanze na post graduate. Pia akaniambia ukitaka ku prove nenda katembee hapo mzumbe harafu sikiliza wanafunzi reasoning na vision zao.......nilikuja ku prove mwenyewe baadae .....sasa je kulikuwa na sababu yeyote ya kutueleza umemaliza mzumbe? Mzumbe na gari wapi na wapi. Watu wote hapa tunatumia I'd . Tunaweza kujitangaza lakini hapa si mahala pake. Kwa maelezo yako ni kuwa umewahi kumiliki gari lako mwenyewe la kununua as ulivyosema ni moja na likakushinda ukaliuza ukarudi kwenye gari la bure la mama yako [kijana wa kiume working class graduate unaweza kuingia kwenye social media na kujitangaza kuwa unatumia gari ya mama!] . Kwahiyo wewe magari huyajui au kwa lugha nyingine ni mshamba wa magari.hutakiwi kumpa mtu yeyote ushauri kuhusu gari labda bajaji.......kwa gari uliyoitaja let's say ina cc 1300 ukitumia na ac utatumia lita 1 kwa km 12 au 13 . Hiyo bila foleni....... Harafu unaufahamu umbali wa mwenge to posta per km? Kwenda na kurudi unasema week moja eti unatumia elfu 20 ya petrol. Labda hufanyikazi unafanya project ya form 4 mara mbili kwa week. Siku nyingine kwenye vijiwe vya wanaume usiongee story hizo watakushika masaburi [elfu 20 kwa week hiyo gari au pikipiki]