profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,133
Wazoefu naomba msaada,nataka kununua gari kwa jamaa,lakini yeye aliuziwa na kampuni,ila hakubadili jina,linasoma la kampuni,,documents za mauziano anazo,naomba kujua taratibu za kufuata wakuu.